Ndoto za Chato kuwa mkoa zayeyuka baada ya mikoa jirani kugoma kuachia maeneo yao

Uko sahihi mkuu, hakuna tija ya kugawa mikoa, ingebaki ile ile
 
Mods unganisha huu uzi
 
Mkuu kwani hizo huduma zikisogezwa bila kufanya Chato kuwa mkoa kuna tatizo gani? Mana mimi siyo mtaalamu kwenye mambo ya utawala
 
Mkuu kwani hizo huduma zikisogezwa bila kufanya Chato kuwa mkoa kuna tatizo gani? Mana mimi siyo mtaalamu kwenye mambo ya utawala
Kwani chato ina umaaarufu gani hapa nchini?
 
HONGERA SAMIA KWA KUWANYIMA CHATO MKOA, SASA WATU WA CHATO WAFIE KWENYE UMASIKINI KABISA. UNGEWAPA WANGEJIDAI.. HUKU BUKOBA, KIGOMA TUNAFIURHIA SANA KWA KUWAKOMESHA HASA HUYO JIWE
 
Kuna watu wa Mlimba ,Mahenge utazani wanaenda Kigoma masaa wanayotumia kusafiri ndani ya Mkoa

Kuna sehemu huko Mahenge mpaka jua liwake watu ndio wapatikane kwenye Simu..ni leo hii 2023.
Mkoa wa Morogoro ni mkubwa sana
 
ulikuwa upuuzi mkubwa sana, matakwa ya kikabila kugawa nchi kama chapati:
Ni ujinga tu hata kugawa mikoa kwa kisingizio cha huduma, kwani say mkoa wa Arusha usinge gawanywa na Manyara, hao wa Babati na kiteto wakajengewa hospitali kama mount meru, huduma za mkoani wakaafikishiwa wilayani kwao ingekuwa shida?
Nchi ina wapuuzi sana sometimes bora mkoloni angebaki tu
 
Hivi wewe kazi yako kutukana wasukuma tu? Kwanza tuoneshe sehemu ambayo Magufuli alisema anataka kuanzisha mkoa wa chato?
wacha watu wateme nyongo, watu kwa miaka 60 utumwani utafikiri miaka 400 ya waisreaeli Jangwani
 
Lkn bado kulikuwa na watu wanalifanya kama ni jambo la lazima hasa kipindi Magufuli yupo madarakani.
Yule jamaa angeendelea kuwepo NHC wangejenga magorofa mengi Chato

Wizara ya Utalii ingejenga hotel nyingi.

Ndege zingelazimishwa kutua kule
 
Asante Mungu kwa kutuondolea yule Ibilisi mfitini, mbinafsi, muuaji , fisadi kubwa na lichawi likubwa lililoharibu akili za wananchi wengi ambao mpaka sasa hawawezi kukaa kutwa bila kumtaja
Ndio ujue sometimes tunaishi na shetani bila kujua, damu za watu zinalia sana, Mama samia Mungu akupe maisha marefu , yani hutaki damu ya mtu mikononi mwako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…