Ndoto za Chato kuwa mkoa zayeyuka baada ya mikoa jirani kugoma kuachia maeneo yao

Ndoto za Chato kuwa mkoa zayeyuka baada ya mikoa jirani kugoma kuachia maeneo yao

Wazo la Wilaya ya Chato kuwa Mkoa liliibuka tangu enzi za utawala wa awamu ya tano ya Hayati Rais John Magufuli, hata hivyo limekuwa likijadiliwa katika ngazi mbalimbali kabla ya leo kukataliwa rasmi.
Tena wazo hili life na kuzikwa kabisa
 
hay
Yule jamaa angeendelea kuwepo NHC wangejenga magorofa mengi Chato

Wizara ya Utalii ingejenga hotel nyingi.

Ndege zingelazimishwa kutua kule
o yote yalisha lazimishwa na ile ajali ya bukoba ndio kabisa wangetengeneza ripoti kuwa kule hakufai kuwa na uwanja,
 
Kwani ni nani huyo , mana nishasahau yaliyopita , Sasa mambo yanasonga,
 
Daah! Yaani nafuhije mie!. Maana yule dikteta alikudia kukigeuza Kijiji cha Chato kuwa Jiji baada ya miaka 5
Sema watanzania wengi sana kwa sasa wana furaha sana ukiondoa changamoto za hali ya maisha.
 
B
Mie sijazunguzia chato,ninazunguza kumuona Magufuli Shetani kisa anataka kugawa Mkoa utafikiri ndiye Rais wa kwanza Tanganyika kufanya hivyo,kama mnasema chato ina ineo dogo mbona amlalamiki mikoa ya Zanzibar?
Hivi wewe bado hujaona tatizo la Magufuli kwenye hilo la kutaka kuundwa mkoa wa Chato?

Wadau hapa JF wanasema Chato haina sifa zozote za kuwa mkoa, Magufuli alipanga kuifanya Chato kuwa mkoa kwa sababu Chato ni nyumbani kwake. Na huo ndio upumbavu wa Magufuli unaopingwa.
 
Habari ndugu Wana jukwaa.

Ile ndoto ya Mwendazake kuifanya Chato kuwa Mkoa inaonekana kugonga mwamba Kama sio kuota mbawa kabisa kufuatia Mikoa Jirani Kugoma.

Taarifa kutoka huko Kigoma,Mwanza na Kagera Ni kwamba Wananchi wamekataa maeneo Yao kuwa sehemu ya Mkoa mpya wa Chato hivyo kuzika rasmi wazo la Mkoa wa Chato/Burigi Chato 😂😂.

Mie Ni mjumbe tuu ,someni wenyewe hapa 👇



Ndio wakati wa kwenda kununua viwanja. Kuna siku watu wataenda kutalii kule. Ila sio haya mambo yao ya kulazimisha uwe mkoa wakati hauna sifa hata moja.
kama vipi tuanze na Butiama
 
Hawa watu wanachuki binafsi na Magufuli akuna kingine unakuta Mtu anatoka Biaramulo anafuata uduma Bukoba njini ambapo ni mwendo wa masaa zaidi ya 7 hawezi kwenda na kurudi siku hiyo hiyo,sasa Biaramulo ikimegwa kudogo ikapelekwa Chato ambapo ni karibu kuna ubaya gani?

1. Waimarishe halmashauri na wilaya ili zitoe huduma zote wananchi wasisumbuke kufuata huduma hizo makao makuu ya mkoa.

2. Waongeze matumizi ya TEHAMA ili kuwezesha huduma mbalimbali kupatikana kwa haraka na kwa urahisi.
 
B

Hivi wewe bado hujaona tatizo la Magufuli kwenye hilo la kutaka kuundwa mkoa wa Chato?

Wadau hapa JF wanasema Chato haina sifa zozote za kuwa mkoa, Magufuli alipanga kuifanya Chato kuwa mkoa kwa sababu Chato ni nyumbani kwake. Na huo ndio upumbavu wa Magufuli unaopingwa.
unalazimisha member wa SUKUMA GANG atakuelewa?
makao makuu ya VETA walikuwa wanaanz kujenga chato, utalii kanda ziwa ujengwe chato, TRA na CRDB vijengwe chato, uwanja ndege na kila kitu, ila jamani tulipitia mateso sana.
 
Muhusika hayupo ingeshakuwa kitambo
na hiyo mikoa jirani ingemgwa tena vijiji anavyotaka yeye , ni kama upuuzi uliofanyika kumega mwanza , shinyanga kutengeneza simiyu, yaani sijui kwanini hatupendi muungano tunataka utengano?
 
No Comment.

Hakuna jipya kwenye mada wala kutoka kwa Wachangiaji.

Uhasama tu.

..After Comment tsk tsk
.
 
Hawa watu wanachuki binafsi na Magufuli akuna kingine unakuta Mtu anatoka Biaramulo anafuata uduma Bukoba njini ambapo ni mwendo wa masaa zaidi ya 7 hawezi kwenda na kurudi siku hiyo hiyo,sasa Biaramulo ikimegwa kudogo ikapelekwa Chato ambapo ni karibu kuna ubaya gani?
Kwani huduma zipi hizo za kufuata mkoani kwani kama ni matibabu anaweza kwenda chato hivihivi na akatibiwa mie niko kahama ninadra sana kwenda shinyanga kufuata huduma huduma zoote zinapatikana wilayani kama matibabu huwa tunapewa rufaa moja kwa moja bugando
 
Back
Top Bottom