Ndoto za Chato kuwa mkoa zayeyuka baada ya mikoa jirani kugoma kuachia maeneo yao

Ndoto za Chato kuwa mkoa zayeyuka baada ya mikoa jirani kugoma kuachia maeneo yao

Baada ya kusikia kuwa sukuma gang wanataka mkoa wahaya wakasanuka
Aliekwambia chato ni ya wasukuma nan?.Humu JF kuna watu mnaongea vitu utadhan vichwa hamna. Kwa faida tu kanda ya ziwa sio ya wasukuma tu, kuna wakurya,wahaya na zaid ya makabila 20+ madogo madogo.

Maguful hakushindwa kuforce chato iwe mkoa kipind kile, anamamlaka alikuanayo why hakuufany kuwa mkoa.Mbona simiyu ni mkoa toka kipindi cha JK yet mpaka leo 2023 simiyu still bado hakufai kuwa mkoa kwa izo hoja zenu.

Hatukatazwi kukosoa ila ukosoaji uliojaa chuki ni ukosaji weledi. Mtu anasema burigi national park ni kosa kuwa pale, serious [emoji15].Airport ya chato sio international ni normal, mtu na hili anakataa eti why chato kuwe na airport [emoji23][emoji23].

Mwingine anazungumzia hospital ya kanda why iko pale, kweli [emoji848]
 
Aliekwambia chato ni ya wasukuma nan?.Humu JF kuna watu mnaongea vitu utadhan vichwa hamna. Kwa faida tu kanda ya ziwa sio ya wasukuma tu, kuna wakurya,wahaya na zaid ya makabila 20+ madogo madogo.

Maguful hakushindwa kuforce chato iwe mkoa kipind kile, anamamlaka alikuanayo why hakuufany kuwa mkoa.Mbona simiyu ni mkoa toka kipindi cha JK yet mpaka leo 2023 simiyu still bado hakufai kuwa mkoa kwa izo hoja zenu.

Hatukatazwi kukosoa ila ukosoaji uliojaa chuki ni ukosaji weledi. Mtu anasema burigi national park ni kosa kuwa pale, serious [emoji15].Airport ya chato sio international ni normal, mtu na hili anakataa eti why chato kuwe na airport [emoji23][emoji23].

Mwingine anazungumzia hospital ya kanda why iko pale, kweli [emoji848]
Kwenye huu uzi tunaongelea sukuma gang ( team ).

Wacha kujiondoa akili yako.
 
Aliekwambia chato ni ya wasukuma nan?.Humu JF kuna watu mnaongea vitu utadhan vichwa hamna. Kwa faida tu kanda ya ziwa sio ya wasukuma tu, kuna wakurya,wahaya na zaid ya makabila 20+ madogo madogo.

Maguful hakushindwa kuforce chato iwe mkoa kipind kile, anamamlaka alikuanayo why hakuufany kuwa mkoa.Mbona simiyu ni mkoa toka kipindi cha JK yet mpaka leo 2023 simiyu still bado hakufai kuwa mkoa kwa izo hoja zenu.

Hatukatazwi kukosoa ila ukosoaji uliojaa chuki ni ukosaji weledi. Mtu anasema burigi national park ni kosa kuwa pale, serious [emoji15].Airport ya chato sio international ni normal, mtu na hili anakataa eti why chato kuwe na airport [emoji23][emoji23].

Mwingine anazungumzia hospital ya kanda why iko pale, kweli [emoji848]
Airport,Hospital hata yale mataa ya barabarani hayakustahili kuwepo pale maana chato haikukidhi vigezo.
 
Kwenye huu uzi tunaongelea sukuma gang ( team ).

Wacha kujiondoa akili yako.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sukuma gang kweny uzi wa NDOTO YA CHATO KUWA MKOA IMEYEYUKA

Hiv mnatumia vichwa gan?[emoji23][emoji23][emoji23]

How SUKUMA GANG kweny Chato kushindwa kuwa mkoa?
 
Habari ndugu Wana jukwaa.

Ile ndoto ya Mwendazake kuifanya Chato kuwa Mkoa inaonekana kugonga mwamba Kama sio kuota mbawa kabisa kufuatia Mikoa Jirani Kugoma.

Taarifa kutoka huko Kigoma,Mwanza na Kagera Ni kwamba Wananchi wamekataa maeneo Yao kuwa sehemu ya Mkoa mpya wa Chato hivyo kuzika rasmi wazo la Mkoa wa Chato/Burigi Chato 😂😂.

Mie Ni mjumbe tuu ,someni wenyewe hapa 👇


We sema CCM wamekataa msisingizie wananchi kana kwamba mnawapaga nafasi kihivyo kwenye mambo yenu.
 
Aliekwambia chato ni ya wasukuma nan?.Humu JF kuna watu mnaongea vitu utadhan vichwa hamna. Kwa faida tu kanda ya ziwa sio ya wasukuma tu, kuna wakurya,wahaya na zaid ya makabila 20+ madogo madogo.

Maguful hakushindwa kuforce chato iwe mkoa kipind kile, anamamlaka alikuanayo why hakuufany kuwa mkoa.Mbona simiyu ni mkoa toka kipindi cha JK yet mpaka leo 2023 simiyu still bado hakufai kuwa mkoa kwa izo hoja zenu.

Hatukatazwi kukosoa ila ukosoaji uliojaa chuki ni ukosaji weledi. Mtu anasema burigi national park ni kosa kuwa pale, serious [emoji15].Airport ya chato sio international ni normal, mtu na hili anakataa eti why chato kuwe na airport [emoji23][emoji23].

Mwingine anazungumzia hospital ya kanda why iko pale, kweli [emoji848]
Hakuna vigezo alikuwa anavuta mda
 
Chato ni kijiji tu na mtabakia hivyo hivyo dadeeekiii na mtalia sana
Ndo maana nasema unatumia kichwa gan kufikir, kama cha chini bas nsikushangae?

Em jibu hoja acha blablaa. Sikai chato ila napajua chato na kwa kuwa umeleta madai ya kuwa chato ni kijijin bas ni haki yako kuthibitisha madai yako. Nasubir uthibitisho wa chato ni kijijin?
 
Ndo maana nasema unatumia kichwa gan kufikir, kama cha chini bas nsikushangae?

Em jibu hoja acha blablaa. Sikai chato ila napajua chato na kwa kuwa umeleta madai ya kuwa chato ni kijijin bas ni haki yako kuthibitisha madai yako. Nasubir uthibitisho wa chato ni kijijin?
Kwishaaaa habari za chato
 
Yaani yule DIKTETA ali- misuse raslimali za nchi kwa kwenda kujenga miundombinu mikubwa kuliko mahitaji halisi ya kitongoji cha Chato, isitoshe kila alichofanya hakikuwa na approval ya Bunge, bado wanataka watushawishi TUBARIKI MAKOSA yake kwa kuipa Chato hadhi ya Mkoa? They are not serious.

Mungu ametuepushia hiyo DHAHMA kwa kuchukua roho ya mtu mwongo, mwizi na katili na mbinafsi ili tujipange vizuri, kama tutaupa Chato hadhi ya mkoa itakuwa ni KUFURU kwa Mungu wetu.

Ile Chato ni ya kubaki hivyo hivyo kama GBADOLITE ya Mobutu, ili vizazi vijavyo vije vitambue kuwa tuliwahi tawaliwa na mtu KICHAA kwa miaka 5 na siku 131
Gbadolite ya Chato Mr Sugu aliielezea vizuri sana Bungeni na ipo kwenye Hansard na abarikiwe
 
Back
Top Bottom