Binadamu anapolala basi Ubongo wenyewe unaendelea na kazi yake kwa hiyo bado unahitaji oxygeni tena kwa wingi... unapokosa au kupata pungufu ndiyo unaanza kuota unapanda milima na mabonde ama kukimbizwa na Simba, Chatu nk.
Na ndiyo maana ukishtuka ni lazima uvute hewa kwa fujo sana kufidia... Pia namna ya kulala ndiyo husababisha what called Jinamizi... ukitaka kupata ndoto za ajabu lala chali uone moto wake.. unaweza kuhama nyumba ukasema wanakuchawia.
Na ndiyo maana ukishtuka ni lazima uvute hewa kwa fujo sana kufidia... Pia namna ya kulala ndiyo husababisha what called Jinamizi... ukitaka kupata ndoto za ajabu lala chali uone moto wake.. unaweza kuhama nyumba ukasema wanakuchawia.