Ndoto za usiku zinazo husiana na kuota nyoka ukiwa umelala

Ndoto za usiku zinazo husiana na kuota nyoka ukiwa umelala

View attachment 514088

NDOTO NA NYOKA

Maana yake:-


Ndoto za Nyoka zinaashiria mtoto wa kiume, mtu asiyekuwa na heshima, Adui, mali iliyofichwa, ushirikina, mabadiliko, uwezo, kiongozi mbaya, na mwanamke.

Nyoka katika ndoto anawakilisha mtu anayeishi Bondeni, vilevile

Nyoka katika ndoto ni ishara ya uadui kutoka kwa wakwe zako au watoto au ni ishara ya uovu na wivu kutoka kwa majirani zako.

Ukiota unamuona nyoka maana yake ni kwamba utadanganywa na mkeo au mumeo.

Ukiota unapigana na nyoka ni ishara ya kuwashinda au kuwapindua adui zako.

Ukiota unakimbizwa na nyoka ni ishara ya uadui unaokujia kutoka kwa adui yako.

Ukiota umemuona nyoka mwenye vichwa saba ni ishara ya wewe kutenda dhambi au makosa makubwa.

Ukiota unamuona chatu anakushambulia ni ishara ya kwamba mwanamme au mwanamke mwenye uwezo ambaye ni adui yako atakusumbua sana. Kama ukiota ameshindwa kukuumiza maana yake utapewa sifa za uongo. Ukiota umemuuwa ni ishara ya kuwashinda maadui zako.

Ukiota nyoka amejikunja ni ishara ya kupatwa na hatari au kifungo. Pia ni ishara ya kupata maradhi na kuchukiwa na watu.
Ukiota nyoka amelala maana yake ni adui aliyelala hasa kwa mtu ambaye ni muovu.

Ukiota nyoka wa kwenye maji maana yake ni kwamba utapokea msaada au utapata uamuzi kuhusu jambo lako.
Ukiota unafuga nyoka au unamiliki nyoka hiyo ni ishara ya kupata uwezo au madaraka.

Ukiota nyama ya nyoka maana yake ni fedha za adui au ni ishara ya wewe kupata furaha.

Ukiota umevaa ngozi ya nyoka maana yake ni kwamba utamgundua adui yako.

Ukiota umemuua nyoka na damu yake ikakurukia kwenye mikono yako maana yake ni kwamba utamshinda vibaya adui yako.
Ukiota umemwona nyoka anauliwa barabarani hiyo ni ishara ya kutokea vita au magomvi.

Ukiota nyoka mdogo ni ishara ya matatizo kwa mtoto wako au mtoto yeyote unayemhudumia au kumsaidia.

Ukiota unawinda nyoka maana yake ni kwamba utamdanganya adui yako.

Nyoka mweusi katika ndoto ni ishara ya adui yako mwenye nguvu.

Nyoka mweupe katika ndoto ni ishara ya adui mnyonge.

Ukiota nyoka anakusemesha na anakuambia maneno mazuri maana yake ni kwamba utapata bahati ya kukaa vizuri na adui zako na utanufaika nao.

Ukiota nyoka anakusemesha na anakukaripia kwa maneno makali hiyo ni ishara ya kwamba adui yako atakutesa na kukunyanyasa.
Ukiota umegeuka nyoka ni ishara ya kwamba utatoka dini yako na kwenda dini nyingine.

Ukiota umegeuka nusu nyoka na nusu mtu huyo ni ishara ya kwamba utafanikiwa kupunguza nusu ya nguvu za adui yako.

Ukiota umegundua ngozi ya nyoka ambaye imetengenezwa kwa dhahabu maana yake ni kwamba utagundua mali iliyofichwa.

Ukiota nyoka anakumeza hiyo ni ishara ya kupata madaraka makubwa ya uongozi.

Ukiota nyoka amekukalia kichwnai hiyo ni ishara ya kupata heshima kubwa kutoka kwa watu wenye madaraka au viongozi.

Ukiota uwanja mkubwa uliojaa nyoka hiyo ni ishara ya kwamba itanyesha mvua kubwa ambayo italeta madhara.

Ukiota nyoka mwenye pembe ni ishara ya kupata mafanikio ya kibiashara.
Nyoka mweusi na chatu katika ndoto wanaashiria viongozi wa kijeshi.

Nyoka wa majini ni ishara ya pesa au utapata pesa.
Ukiota shamba lako limejaa nyoka ni ishara ya kwamba utapata mazao mengi msimu huo.

Ukiota nyoka anaondoka nyumbani kwako maana yake ni kwamba nyumba yako itavunjwa.

Ukiota umemuua nyoka ni ishara ya ndoa na vile vile utawashinda adui zako na wote wanaokuchukia.

Ukiota unakula na nyoka meza moja maana yake ni kwamba utatengana na rafiki yako.

Ukiota umemwona nyoka wa Jangwani maana yake ni kwamba mtavamiwa na majambazi.

TAFSIRI YA NDOTO 10 ZA KUMUONA NYOKA USINGIZINI

1.unapomuota nyoka amekufa,ni ishara Umeepushwa na uadui na shari yake

2-unapomuota nyoka mdogo ni biashara ya kupata mtoto

3-unapoota umemuuwa nyoka juu ya kitanda chako,utafiliwa na mkeo

4-ukiota umemuuwa nyoka kwa fimbo ni ishara ya kuwa utaowa

5-ukiota umemuuwa nyoka kwa jiwe ni dalili ya kupona sihri uliyonayo na kutoka kwa jini mwilini mwako

6-ukiota umemuuwa nyoka kwa upanga na kumgawa vipande v3 utamtaliki mkeo talaka 3

7-ukiota joka kubwa linajizongazonga mwilini mwako ni dalili ya jini aloingia mwilini anatafuta sehem ya kujificha ndani ako

8-ukiota nyoka anaungua kwa moto ni dalili ya kufanya kazi kwa kile kisomo cha Ruqya alicho fanyiwa mgonjwa

9-ukiota unafukuzwa na nyoka ni dalili ya kuwa jini aliekuingia hajakaa vizuri mwilini mwako,au ni jini afriti jini mbaya anakuandama

10-ukiota una nyoka shingoni mwako ukamkata kata utatoa talaka kwa mkeo

11. Kuota nyoka mara kwa mara ni dalili ya wewe una Jini mahaba ana kuandama mwilini mwako ukiwa ni Mwanamme utakuwa una jini Mwanamke anaye kuharibia nguvu zako za kiume na kukuharibia kazi na maisha yako yanakuwa ni magumu kila unacho kifanya hakiwi. Ukiwa ni Mwanamke unaota kila mara nyoka ni dalili ya wewe kuwa una jini Mwanamme Jini Mahaba anaye kutia mikosi na kukuharibia Wanaume na kizazi chako na maisha yako fanya umtoe haraka.

Ukiwa na Shida yoyote ile
Usipo pona kwa Dawa za Hospitali nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukihitaji matibabu yangu
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu. Au boonyeza hapa.Mzizi Mkavu
Nimeota nyoka mdogo sn km mnyoo ameniingia kwenye kidole changu cha mkono ila nikiwa ndotoni bado nikapata hofu kuwa nyoka huyo mdg atakuwa mkubwa sana badae itakuwajee sasa wkt Yupo kidoleni mwangu, hii ndoto ina maana gani mkuu ?
 
Nimeota natokewa na nyoka maeneo ya nyumbani akatokea mtu simjui vizuri alikuwa nani ila akampiga yule nyoka ila akamkosa Yule Nyoka akakimbia speed siyo yakawaida. Mala tuka ona vinyoka vingine vidogovidogo tukawa tunavifagia tuna vitowa nje. Je na hii ndoto inamaana gani
 
Kawaida yangu nikilala naomba dua, sasa kutokana na kazi kuwa nyingi mda mwengine nikifika nyumbani nikijiegesha tu najikuta nimeshalala kwa saa kadhaa. Kwa hiyo dua huwa zinanipita kushoto kwa mtindo wa namna hiyo.

Wiki iliyopita nilijiegesha sebuleni baada ya kutoka kazini kwa ghafla usingizi ukanichukua kutokana na uchovi. Nikashangaa mahali nilipo lala kwenye kochi naamshwa, tena anayeniamsha ananiamsha kwa upole tuu. Nikashtuka! nikamuangalia, akaniambia amka, kuna watu wanaingia nyumbani mwako nenda hapo jikoni utawaona. Kufika jikoni nawaona ndiyo wanaanza kuingia cha ajabu hawajapitia mlangoni ila ndiyo wanaingia na walikuwa ni wawili mwanamke na mwanaume. Nikataja jina la Mungu halafu nikawashika wote, wakawa wanarudi kwa nyuma ili nisiwaone. Katika ile purukushani kuna fimbo fulani walikuwa wameishika wakanichoma nayo kwenye tumbo ubavuni mwa kulia, nilihisi maumivu makali. Nikawaacha.

Kwa ghafla tena nikashituka! Kumbe nilikuwa kwenye ndoto lakini ajabu ile sehemu ya tumbo waliyonipiga nilikuwa nahisi maumivu yale yale kama ya kwenye ndoto. Kuvua shati kujiangalia( kwa sababu kwa rangi Mimi ni maji ya kunde) aisee! Ile sehemu yenye maumivu nikajikuta nina alama ya kupigwa, pamekuwa pekundu na maumivu nayaugulia.

Halafu ilikuwa ni saa 10 ya usiku.
 
Kawaida yangu nikilala naomba dua, sasa kutokana na kazi kuwa nyingi mda mwengine nikifika nyumbani nikijiegesha tu najikuta nimeshalala kwa saa kadhaa. Kwa hiyo dua huwa zinanipita kushoto kwa mtindo wa namna hiyo.

Wiki iliyopita nilijiegesha sebuleni baada ya kutoka kazini kwa ghafla usingizi ukanichukua kutokana na uchovi. Nikashangaa mahali nilipo lala kwenye kochi naamshwa, tena anayeniamsha ananiamsha kwa upole tuu. Nikashtuka! nikamuangalia, akaniambia amka, kuna watu wanaingia nyumbani mwako nenda hapo jikoni utawaona. Kufika jikoni nawaona ndiyo wanaanza kuingia cha ajabu hawajapitia mlangoni ila ndiyo wanaingia na walikuwa ni wawili mwanamke na mwanaume. Nikataja jina la Mungu halafu nikawashika wote, wakawa wanarudi kwa nyuma ili nisiwaone. Katika ile purukushani kuna fimbo fulani walikuwa wameishika wakanichoma nayo kwenye tumbo ubavuni mwa kulia, nilihisi maumivu makali. Nikawaacha.

Kwa ghafla tena nikashituka! Kumbe nilikuwa kwenye ndoto lakini ajabu ile sehemu ya tumbo waliyonipiga nilikuwa nahisi maumivu yale yale kama ya kwenye ndoto. Kuvua shati kujiangalia( kwa sababu kwa rangi Mimi ni maji ya kunde) aisee! Ile sehemu yenye maumivu nikajikuta nina alama ya kupigwa, pamekuwa pekundu na maumivu nayaugulia.

Halafu ilikuwa ni saa 10 ya usiku.
Oa mkuu ungekuwa na mke yote yasingekukuta
 
Nimeota nyoka mkubwa anafika mita3 kwaurefu mweusi ananikimbia afu mumi namuendea yeye ananikimbia. Sasa hii naomba tafsiri yake.
 
View attachment 514088

NDOTO NA NYOKA

Maana yake:-


Ndoto za Nyoka zinaashiria mtoto wa kiume, mtu asiyekuwa na heshima, Adui, mali iliyofichwa, ushirikina, mabadiliko, uwezo, kiongozi mbaya, na mwanamke.

Nyoka katika ndoto anawakilisha mtu anayeishi Bondeni, vilevile

Nyoka katika ndoto ni ishara ya uadui kutoka kwa wakwe zako au watoto au ni ishara ya uovu na wivu kutoka kwa majirani zako.

Ukiota unamuona nyoka maana yake ni kwamba utadanganywa na mkeo au mumeo.

Ukiota unapigana na nyoka ni ishara ya kuwashinda au kuwapindua adui zako.

Ukiota unakimbizwa na nyoka ni ishara ya uadui unaokujia kutoka kwa adui yako.

Ukiota umemuona nyoka mwenye vichwa saba ni ishara ya wewe kutenda dhambi au makosa makubwa.

Ukiota unamuona chatu anakushambulia ni ishara ya kwamba mwanamme au mwanamke mwenye uwezo ambaye ni adui yako atakusumbua sana. Kama ukiota ameshindwa kukuumiza maana yake utapewa sifa za uongo. Ukiota umemuuwa ni ishara ya kuwashinda maadui zako.

Ukiota nyoka amejikunja ni ishara ya kupatwa na hatari au kifungo. Pia ni ishara ya kupata maradhi na kuchukiwa na watu.
Ukiota nyoka amelala maana yake ni adui aliyelala hasa kwa mtu ambaye ni muovu.

Ukiota nyoka wa kwenye maji maana yake ni kwamba utapokea msaada au utapata uamuzi kuhusu jambo lako.
Ukiota unafuga nyoka au unamiliki nyoka hiyo ni ishara ya kupata uwezo au madaraka.

Ukiota nyama ya nyoka maana yake ni fedha za adui au ni ishara ya wewe kupata furaha.

Ukiota umevaa ngozi ya nyoka maana yake ni kwamba utamgundua adui yako.

Ukiota umemuua nyoka na damu yake ikakurukia kwenye mikono yako maana yake ni kwamba utamshinda vibaya adui yako.
Ukiota umemwona nyoka anauliwa barabarani hiyo ni ishara ya kutokea vita au magomvi.

Ukiota nyoka mdogo ni ishara ya matatizo kwa mtoto wako au mtoto yeyote unayemhudumia au kumsaidia.

Ukiota unawinda nyoka maana yake ni kwamba utamdanganya adui yako.

Nyoka mweusi katika ndoto ni ishara ya adui yako mwenye nguvu.

Nyoka mweupe katika ndoto ni ishara ya adui mnyonge.

Ukiota nyoka anakusemesha na anakuambia maneno mazuri maana yake ni kwamba utapata bahati ya kukaa vizuri na adui zako na utanufaika nao.

Ukiota nyoka anakusemesha na anakukaripia kwa maneno makali hiyo ni ishara ya kwamba adui yako atakutesa na kukunyanyasa.
Ukiota umegeuka nyoka ni ishara ya kwamba utatoka dini yako na kwenda dini nyingine.

Ukiota umegeuka nusu nyoka na nusu mtu huyo ni ishara ya kwamba utafanikiwa kupunguza nusu ya nguvu za adui yako.

Ukiota umegundua ngozi ya nyoka ambaye imetengenezwa kwa dhahabu maana yake ni kwamba utagundua mali iliyofichwa.

Ukiota nyoka anakumeza hiyo ni ishara ya kupata madaraka makubwa ya uongozi.

Ukiota nyoka amekukalia kichwnai hiyo ni ishara ya kupata heshima kubwa kutoka kwa watu wenye madaraka au viongozi.

Ukiota uwanja mkubwa uliojaa nyoka hiyo ni ishara ya kwamba itanyesha mvua kubwa ambayo italeta madhara.

Ukiota nyoka mwenye pembe ni ishara ya kupata mafanikio ya kibiashara.
Nyoka mweusi na chatu katika ndoto wanaashiria viongozi wa kijeshi.

Nyoka wa majini ni ishara ya pesa au utapata pesa.
Ukiota shamba lako limejaa nyoka ni ishara ya kwamba utapata mazao mengi msimu huo.

Ukiota nyoka anaondoka nyumbani kwako maana yake ni kwamba nyumba yako itavunjwa.

Ukiota umemuua nyoka ni ishara ya ndoa na vile vile utawashinda adui zako na wote wanaokuchukia.

Ukiota unakula na nyoka meza moja maana yake ni kwamba utatengana na rafiki yako.

Ukiota umemwona nyoka wa Jangwani maana yake ni kwamba mtavamiwa na majambazi.

TAFSIRI YA NDOTO 10 ZA KUMUONA NYOKA USINGIZINI

1.unapomuota nyoka amekufa,ni ishara Umeepushwa na uadui na shari yake

2-unapomuota nyoka mdogo ni biashara ya kupata mtoto

3-unapoota umemuuwa nyoka juu ya kitanda chako,utafiliwa na mkeo

4-ukiota umemuuwa nyoka kwa fimbo ni ishara ya kuwa utaowa

5-ukiota umemuuwa nyoka kwa jiwe ni dalili ya kupona sihri uliyonayo na kutoka kwa jini mwilini mwako

6-ukiota umemuuwa nyoka kwa upanga na kumgawa vipande v3 utamtaliki mkeo talaka 3

7-ukiota joka kubwa linajizongazonga mwilini mwako ni dalili ya jini aloingia mwilini anatafuta sehem ya kujificha ndani ako

8-ukiota nyoka anaungua kwa moto ni dalili ya kufanya kazi kwa kile kisomo cha Ruqya alicho fanyiwa mgonjwa

9-ukiota unafukuzwa na nyoka ni dalili ya kuwa jini aliekuingia hajakaa vizuri mwilini mwako,au ni jini afriti jini mbaya anakuandama

10-ukiota una nyoka shingoni mwako ukamkata kata utatoa talaka kwa mkeo

11. Kuota nyoka mara kwa mara ni dalili ya wewe una Jini mahaba ana kuandama mwilini mwako ukiwa ni Mwanamme utakuwa una jini Mwanamke anaye kuharibia nguvu zako za kiume na kukuharibia kazi na maisha yako yanakuwa ni magumu kila unacho kifanya hakiwi. Ukiwa ni Mwanamke unaota kila mara nyoka ni dalili ya wewe kuwa una jini Mwanamme Jini Mahaba anaye kutia mikosi na kukuharibia Wanaume na kizazi chako na maisha yako fanya umtoe haraka.

Ukiwa na Shida yoyote ile
Usipo pona kwa Dawa za Hospitali nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukihitaji matibabu yangu
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu. Au boonyeza hapa.Mzizi Mkavu
Doooh!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kawaida yangu nikilala naomba dua, sasa kutokana na kazi kuwa nyingi mda mwengine nikifika nyumbani nikijiegesha tu najikuta nimeshalala kwa saa kadhaa. Kwa hiyo dua huwa zinanipita kushoto kwa mtindo wa namna hiyo.

Wiki iliyopita nilijiegesha sebuleni baada ya kutoka kazini kwa ghafla usingizi ukanichukua kutokana na uchovi. Nikashangaa mahali nilipo lala kwenye kochi naamshwa, tena anayeniamsha ananiamsha kwa upole tuu. Nikashtuka! nikamuangalia, akaniambia amka, kuna watu wanaingia nyumbani mwako nenda hapo jikoni utawaona. Kufika jikoni nawaona ndiyo wanaanza kuingia cha ajabu hawajapitia mlangoni ila ndiyo wanaingia na walikuwa ni wawili mwanamke na mwanaume. Nikataja jina la Mungu halafu nikawashika wote, wakawa wanarudi kwa nyuma ili nisiwaone. Katika ile purukushani kuna fimbo fulani walikuwa wameishika wakanichoma nayo kwenye tumbo ubavuni mwa kulia, nilihisi maumivu makali. Nikawaacha.

Kwa ghafla tena nikashituka! Kumbe nilikuwa kwenye ndoto lakini ajabu ile sehemu ya tumbo waliyonipiga nilikuwa nahisi maumivu yale yale kama ya kwenye ndoto. Kuvua shati kujiangalia( kwa sababu kwa rangi Mimi ni maji ya kunde) aisee! Ile sehemu yenye maumivu nikajikuta nina alama ya kupigwa, pamekuwa pekundu na maumivu nayaugulia.

Halafu ilikuwa ni saa 10 ya usiku.
Mkuu natamani kujua Nini kiliendelea kwenye maisha harisi katika eneo ambalo ulipigwa na hiyo fimbo (ndotoni) afu ukaona kuwa katika maisha harisi unaskia maumivu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
inaonyesha utapatwa na maradhi na utauguwa sana na kupona ndoto yako.
Mkuu nimeota nilikuwa baharini nimejipumzisha tu, polepole nikaona maji yanajitenga na inatokea njia yakupita kwa miguu nilipoanza kuifuata nikastuka naomba maana yake.

Nyingine Kuna muda marara kwa Mara nimekuwa nikiota mkewangu ananifanyia ukatili wakuniua mfano alinisukuma juu gorofani pili alizuia watu wasiniokoe nilipo kuwa nazama baharini


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi huwa haipiti mwezi lazima niote nipo msikitini naswali,, lakini nakuwa either naswali tofauti na wenzangu? Au miguu inashindwa kusimama kwenye swala,,,au naota nasoma QUR'AN,, na Mimi 70% ya ndoto zangu huwa ni kweli..je hizi ndoto zina maana gani? MZIZI MKAVU?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndoto yako ina ashiria ufanye ibada kam ni muislam swali na usome Qur'an na pia uwe unawasaidia masikini kw akutoa sadaka unatakiwa ufanye mema na ibada.
 
nimeota ndoto za nyoka kama mara 5 ivi,1, nyoka wawili wanenizunguka mapajani kisha wananitazama, 2,nyoka anapita kifuwani, 3, nyoka anakatiza shingoni kwa speed sana ,4 nyoka anapita miguuni ,5, nimegongwa na nyoka ila nikaanza kumtafuta nyoka mwenyewe alikuwa ametanuka sana zaidi ya cobra nikataka kumuuwa akanikimbia , nikajikuta nimezungukwa na chatu nikiwa mimi na baba yangu yule chatu alishambuliwa na maji ya mto akakimbia sifahamu aliye mwagia kuwa na mm au mtu mwengine , izo ndoto zinamaana gani mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Una pepo mchafu na ukugongw ana nyoka utapatwa na amradhi sehemu ya mwili uliyo gongwa jihadhari sana
 
Mkuu nimeota nilikuwa baharini nimejipumzisha tu, polepole nikaona maji yanajitenga na inatokea njia yakupita kwa miguu nilipoanza kuifuata nikastuka naomba maana yake.

Nyingine Kuna muda marara kwa Mara nimekuwa nikiota mkewangu ananifanyia ukatili wakuniua mfano alinisukuma juu gorofani pili alizuia watu wasiniokoe nilipo kuwa nazama baharini


Sent using Jamii Forums mobile app
Una shetani mwilini mwako amekupenda.
 
Nimeota natokewa na nyoka maeneo ya nyumbani akatokea mtu simjui vizuri alikuwa nani ila akampiga yule nyoka ila akamkosa Yule Nyoka akakimbia speed siyo yakawaida. Mala tuka ona vinyoka vingine vidogovidogo tukawa tunavifagia tuna vitowa nje. Je na hii ndoto inamaana gani
Ni dilili ya uaduwi unaokuandama utaushinda.
 
Mi nimeota nyoka black alikuwa katika mti pembeni ya nyumba kisha akaingia ndani nikaanza kumfukuza. Akachomoka mbio akaingia nyumba ya jirani nako akafukuzwa akaingia shimoni.

Niliporudi nikakuta katika mti ule ule jirani na ninapoishi kuna nyoka wa kijani nikaanza kumfurusha tena akaanza kupiga kelele vibaya mno. Alipodondoka chini ya mti tu nikastuka. MziziMkavu naomba tafsiri mkuu
 
Back
Top Bottom