Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
- Thread starter
- #41
Inaonyesha wewe una mizimu aka mashetani ya ukoo katika familia yenu yana kufuata fuata.Mkuu MziziMkavu nimeota nyoka mwenye makadilio ya futi 4, mwenye rangi ya cream akitoka ndani halafu baada ya dakika kadhaa akarudi tena ndani na kwenda kuota moto. Inaashiria nini hii kitu?