Ndoto za usiku zinazo husiana na kuota nyoka ukiwa umelala

Ndoto za usiku zinazo husiana na kuota nyoka ukiwa umelala

Mi naota nimemuona nyoka mpaka nashtuka usingizini na usingizi unakata.
Na huwa ninakuwa na wasiwasi sana, sometime naweza nikawa na imagination ya kumuona nyoka reality of which si kweli. Sipendagi habari za nyoka.
Naweza nikaota kabisa hii leo kwa kusoma hii tu.
 
Mi naota nimemuona nyoka mpaka nashtuka usingizini na usingizi unakata.
Na huwa ninakuwa na wasiwasi sana, sometime naweza nikawa na imagination ya kumuona nyoka reality of which si kweli. Sipendagi habari za nyoka.
Naweza nikaota kabisa hii leo kwa kusoma hii tu.
Kuota nyoka mara kwa mara ni dalili ya wewe una Jini mahaba ana kuandama mwilini mwako ukiwa ni Mwanamme utakuwa una jini Mwanamke anaye kuharibia nguvu zako za kiume na kukuharibia kazi na maisha yako yanakuwa ni magumu kila unacho kifanya hakiwi. Ukiwa ni Mwanamke unaota kila mara nyoka ni dalili ya wewe kuwa una jini Mwanamme Jini Mahaba anaye kutia mikosi na kukuharibia Wanaume na kizazi chako na maisha yako fanya umtoe haraka.
 
Mzizi mi juzijuzi nimeota kobra ananifata nikawa namrushia mchanga nilipiga kelele kumuita ndugu yangu aje anisaidie lakini hakuja . yule nyoka alinitishia mwisho akaondoka zake. Mi nilikuwa namrushia mchanga tu.
Kumuota Kobra anakufuata unandamwa na maaduwi zako kwa ubaya jihadhari sana.
 
Kuota nyoka mara kwa mara ni dalili ya wewe una Jini mahaba ana kuandama mwilini mwako ukiwa ni Mwanamme utakuwa una jini Mwanamke anaye kuharibia nguvu zako za kiume na kukuharibia kazi na maisha yako yanakuwa ni magumu kila unacho kifanya hakiwi. Ukiwa ni Mwanamke unaota kila mara nyoka ni dalili ya wewe kuwa una jini Mwanamme Jini Mahaba anaye kutia mikosi na kukuharibia Wanaume na kizazi chako na maisha yako fanya umtoe haraka.
Namtoaje sasa??
 
Namtoaje sasa??
Nitafute kwa wakati wako nipate kukutibia upate kupona.
Ukiwa na Shida yoyote ile
Usipo pona kwa Dawa za Hospitali nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukihitaji matibabu yangu
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu.
 
Niliwah kuota napiga story na nyoka ety tunaongea kabisa yeye yuko juu ya tawi la mti mimi nimekaa chini ya mti af ni mtoto wa nyoka nyoka mkubwa katoka kaniacha na mtoto tunapiga story... N nini Maana yake?
 
Mi niliota nyoka mkubwa kaingia ndani nilipolalq na kuinua kichwa anataka kunigonga nikamuwahi nikamshika shingo yake nikashtuka
 
Zamani nilikuwa naota ndoto hizo sana. Nyoka wananikimbiza ila baadae nikaanza kuwa naota nawapiga vibaya kwa shoka nawakatakata vipande. Saa zingine naota nyoka anawakimbiza watu wengi ili awameze halafu Mimi naingilia kati namkimbiza joka huyo hadi mlimani namuua.
 
Mkuu MziziMkavu mimi kama mwezi mmoja uliopita niliota nyoka mkubwa anarangi ya kama majani Makavu ananikimbiza maeneo ya msasani(ndiko nilikokulia) Alinikimbiza mpaka tukafika barabara ya lami, Mimi nikadandia daladala ya Kariakoo na kumuacha yeye akihangaika kwenye lami pale na nikashtuka kutoka usingizini.

Jana, yaani usiku wa kuamkia Leo, nimeota nakimbizwa na Nyoka mweusi, mnene, mfupi, kadri nilivyokua nakimbia ndivyo alivyozidi kusogea, mwisho wa siku alipokaribia kabisa kugusa miguu yangu nikarukia juu kwenye kenchi lililokua mbele yangu, akapitiliza, hapo hapo nikashtuka kutoka usingizini, Ila sikujua Ni maeneo gani ingawa kulikua na milima milima kama kijiji flani hivi kilichochangamka.

Tafadhali nifumbulie fumbo hili Mkuu.
 
Ndoto Ni Km Unavyotasfiri Ww Mwenyewe Na Ku_control Unachokiota,,,mfano Mm Nikiota Nyoka Mweusi Anataka Kunigonga Inamana Kesho Yake Lazima Nitagombana Na Mtu,nikiota Nyoka Mweusi Amenigoga Mguu Inamana Kesho Yake Nikiamka Kunadalili Za Shari Ila Haitatokea,nikiua Nyoka Inamana Km Kuna Jambo Lipo Mbele Yangu Kibaya Basi Nitakuwanieupuka Au Kushnda,kwhyo Ndoto Niww Mwenyewe Kucontrol Nakuitasfiri
 
View attachment 514088

NDOTO NA NYOKA

Maana yake:-


Ndoto za Nyoka zinaashiria mtoto wa kiume, mtu asiyekuwa na heshima, Adui, mali iliyofichwa, ushirikina, mabadiliko, uwezo, kiongozi mbaya, na mwanamke.

Nyoka katika ndoto anawakilisha mtu anayeishi Bondeni, vilevile

Nyoka katika ndoto ni ishara ya uadui kutoka kwa wakwe zako au watoto au ni ishara ya uovu na wivu kutoka kwa majirani zako.

Ukiota unamuona nyoka maana yake ni kwamba utadanganywa na mkeo au mumeo.

Ukiota unapigana na nyoka ni ishara ya kuwashinda au kuwapindua adui zako.

Ukiota unakimbizwa na nyoka ni ishara ya uadui unaokujia kutoka kwa adui yako.

Ukiota umemuona nyoka mwenye vichwa saba ni ishara ya wewe kutenda dhambi au makosa makubwa.

Ukiota unamuona chatu anakushambulia ni ishara ya kwamba mwanamme au mwanamke mwenye uwezo ambaye ni adui yako atakusumbua sana. Kama ukiota ameshindwa kukuumiza maana yake utapewa sifa za uongo. Ukiota umemuuwa ni ishara ya kuwashinda maadui zako.

Ukiota nyoka amejikunja ni ishara ya kupatwa na hatari au kifungo. Pia ni ishara ya kupata maradhi na kuchukiwa na watu.
Ukiota nyoka amelala maana yake ni adui aliyelala hasa kwa mtu ambaye ni muovu.

Ukiota nyoka wa kwenye maji maana yake ni kwamba utapokea msaada au utapata uamuzi kuhusu jambo lako.
Ukiota unafuga nyoka au unamiliki nyoka hiyo ni ishara ya kupata uwezo au madaraka.

Ukiota nyama ya nyoka maana yake ni fedha za adui au ni ishara ya wewe kupata furaha.

Ukiota umevaa ngozi ya nyoka maana yake ni kwamba utamgundua adui yako.

Ukiota umemuua nyoka na damu yake ikakurukia kwenye mikono yako maana yake ni kwamba utamshinda vibaya adui yako.
Ukiota umemwona nyoka anauliwa barabarani hiyo ni ishara ya kutokea vita au magomvi.

Ukiota nyoka mdogo ni ishara ya matatizo kwa mtoto wako au mtoto yeyote unayemhudumia au kumsaidia.

Ukiota unawinda nyoka maana yake ni kwamba utamdanganya adui yako.

Nyoka mweusi katika ndoto ni ishara ya adui yako mwenye nguvu.

Nyoka mweupe katika ndoto ni ishara ya adui mnyonge.

Ukiota nyoka anakusemesha na anakuambia maneno mazuri maana yake ni kwamba utapata bahati ya kukaa vizuri na adui zako na utanufaika nao.

Ukiota nyoka anakusemesha na anakukaripia kwa maneno makali hiyo ni ishara ya kwamba adui yako atakutesa na kukunyanyasa.
Ukiota umegeuka nyoka ni ishara ya kwamba utatoka dini yako na kwenda dini nyingine.

Ukiota umegeuka nusu nyoka na nusu mtu huyo ni ishara ya kwamba utafanikiwa kupunguza nusu ya nguvu za adui yako.

Ukiota umegundua ngozi ya nyoka ambaye imetengenezwa kwa dhahabu maana yake ni kwamba utagundua mali iliyofichwa.

Ukiota nyoka anakumeza hiyo ni ishara ya kupata madaraka makubwa ya uongozi.

Ukiota nyoka amekukalia kichwnai hiyo ni ishara ya kupata heshima kubwa kutoka kwa watu wenye madaraka au viongozi.

Ukiota uwanja mkubwa uliojaa nyoka hiyo ni ishara ya kwamba itanyesha mvua kubwa ambayo italeta madhara.

Ukiota nyoka mwenye pembe ni ishara ya kupata mafanikio ya kibiashara.
Nyoka mweusi na chatu katika ndoto wanaashiria viongozi wa kijeshi.

Nyoka wa majini ni ishara ya pesa au utapata pesa.
Ukiota shamba lako limejaa nyoka ni ishara ya kwamba utapata mazao mengi msimu huo.

Ukiota nyoka anaondoka nyumbani kwako maana yake ni kwamba nyumba yako itavunjwa.

Ukiota umemuua nyoka ni ishara ya ndoa na vile vile utawashinda adui zako na wote wanaokuchukia.

Ukiota unakula na nyoka meza moja maana yake ni kwamba utatengana na rafiki yako.

Ukiota umemwona nyoka wa Jangwani maana yake ni kwamba mtavamiwa na majambazi.

TAFSIRI YA NDOTO 10 ZA KUMUONA NYOKA USINGIZINI

1.unapomuota nyoka amekufa,ni ishara Umeepushwa na uadui na shari yake

2-unapomuota nyoka mdogo ni biashara ya kupata mtoto

3-unapoota umemuuwa nyoka juu ya kitanda chako,utafiliwa na mkeo

4-ukiota umemuuwa nyoka kwa fimbo ni ishara ya kuwa utaowa

5-ukiota umemuuwa nyoka kwa jiwe ni dalili ya kupona sihri uliyonayo na kutoka kwa jini mwilini mwako

6-ukiota umemuuwa nyoka kwa upanga na kumgawa vipande v3 utamtaliki mkeo talaka 3

7-ukiota joka kubwa linajizongazonga mwilini mwako ni dalili ya jini aloingia mwilini anatafuta sehem ya kujificha ndani ako

8-ukiota nyoka anaungua kwa moto ni dalili ya kufanya kazi kwa kile kisomo cha Ruqya alicho fanyiwa mgonjwa

9-ukiota unafukuzwa na nyoka ni dalili ya kuwa jini aliekuingia hajakaa vizuri mwilini mwako,au ni jini afriti jini mbaya anakuandama

10-ukiota una nyoka shingoni mwako ukamkata kata utatoa talaka kwa mkeo

11. Kuota nyoka mara kwa mara ni dalili ya wewe una Jini mahaba ana kuandama mwilini mwako ukiwa ni Mwanamme utakuwa una jini Mwanamke anaye kuharibia nguvu zako za kiume na kukuharibia kazi na maisha yako yanakuwa ni magumu kila unacho kifanya hakiwi. Ukiwa ni Mwanamke unaota kila mara nyoka ni dalili ya wewe kuwa una jini Mwanamme Jini Mahaba anaye kutia mikosi na kukuharibia Wanaume na kizazi chako na maisha yako fanya umtoe haraka.

Ukiwa na Shida yoyote ile
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr.MziziMkavu Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169 au ni add facebook kwa jina hili mzizimkavu
Kuna mdogo wangu aliota amemkatakata nyoka akamchemsha soup akamla nyoka wote sasa sijui maana ya hiyo ndoto
 
Daa yaani watanzania wanandoto nyingi kumbe ndio maana watu wanaongea vitu vipya vipya tu mpaka unawashangaa kumbe wanaota usiku mzima mnakimbizwa na majoka asee hebu mkatengeneze na koo zenu muache kutusumbuwa mjin
 
Mkuu MziziMkavu nimeota nyoka mwenye makadilio ya futi 4, mwenye rangi ya cream akitoka ndani halafu baada ya dakika kadhaa akarudi tena ndani na kwenda kuota moto. Inaashiria nini hii kitu?
 
Mkuu ukiota nyoka anakutazama alafu amezibwa na kitambaa inamaanisha nn
 
Back
Top Bottom