Nunua viatu vipya bro, acha kuvaa yebo na soksiNikiota nyoka wa kijani akinigonga kisigino maana yake nini?
kuna mtu anakuzuia usiende mbele kwenye biashara au kazi yakoNikiota nyoka wa kijani akinigonga kisigino maana yake nini?
kua makini hapo ulipo usije ukaangukaNje ya mada;
Mara nyingi sana naota nikiwa napaa, kuna anayepatwa na hili pia?
Tafsiri?
Suluhisho nifanyeje mkuukuna mtu anakuzuia usiende mbele kwenye biashara au kazi yako
kua makini na ndugu zako au marafiki ulionaoSuluhisho nifanyeje mkuu
Nomandugu yangu mwanamke ameota kakabwa na nyoka wawili wakubwa na wanamuingilia kimwili, hii ina maana gani?
Nimeota nyoka mdogo sn km mnyoo ameniingia kwenye kidole changu cha mkono ila nikiwa ndotoni bado nikapata hofu kuwa nyoka huyo mdg atakuwa mkubwa sana badae itakuwajee sasa wkt Yupo kidoleni mwangu, hii ndoto ina maana gani mkuu ?
Noma sana!Mi nimeota nyoka black alikuwa katika mti pembeni ya nyumba kisha akaingia ndani nikaanza kumfukuza. Akachomoka mbio akaingia nyumba ya jirani nako akafukuzwa akaingia shimoni.
Niliporudi nikakuta katika mti ule ule jirani na ninapoishi kuna nyoka wa kijani nikaanza kumfurusha tena akaanza kupiga kelele vibaya mno. Alipodondoka chini ya mti tu nikastuka. MziziMkavu naomba tafsiri mkuu
Sasa sisi wengine siyo kuota tu tunaamka asubuhi wako uvunguni mwa vitanda na wakati mwingine tumejifunika nao shukaNdoto za Nyoka zinaashiria mtoto wa kiume, mtu asiyekuwa na heshima, Adui, mali iliyofichwa, ushirikina, mabadiliko, uwezo, kiongozi mbaya, na mwanamke.
Nyoka katika ndoto anawakilisha mtu anayeishi Bondeni, vilevile
Nyoka katika ndoto ni ishara ya uadui kutoka kwa wakwe zako au watoto au ni ishara ya uovu na wivu kutoka kwa majirani zako.
Ukiota unamuona nyoka maana yake ni kwamba utadanganywa na mkeo au mumeo.
Mkuu mimi nimeota nimeng'atwa na nyoka wa kijani kichwani yule green mamba tukapambana tukamua. Alafu nikakimbizwa hospitalini kupewa huduma ndio nikashtuka . Sijui hii ndoto inamaana gani ?Unaandamwa na maaduwi zako kwa ubaya wa uchawi jihadhari sana.
Mkuu mimi nimeota nimeng'atwa na nyoka wa kijani kichwani yule green mamba tukapambana tukamua. Alafu nikakimbizwa hospitalini kupewa huduma ndio nikashtuka . Sijui hii ndoto inamaana ganikua makini hapo ulipo usije ukaanguka