Ndugai acha kuwaona watanzania ni wajinga. Kama Hayati Magufuli alipotoshwa, wewe kama Spika kwanini haukumshauri?

Ndugai Mtu mbaya sana atueleze ukweli akina Halima Mdee alivyo waingiza katika bunge lake kupitia kuwaapishia gereji ilikuwa kwa amri ya nani? Maana katiba haiwatambui vipi anakurupukia bandari ya Bwaga Moyo?

Huyu Ndugai ni wa kuburuzwa Mahakamani kwa Pilato
 
Ndugai ni mtu asieaminika wala simsemi zaidi. ni Huyu aliesema Magufuli aongezewe muda atake asitake..Ni huyu huyu aliesema amekutana na watu kwa bahati mbaya huko China....Hivi unawezaje kukutana na mtu kwa bahati mbaya mkafanyiana Presentation???

Wewe Mzee huaminiki...Ingekua nchi nyingine wangekulazimisha ujiuzulu...Shukuru Mungu hapa mnacheza Makida makida hamna msimamo
 
Rais wa CCM, Bunge la CCM, Jeshi la CCM, Nchi ya CCM, Bandari ya Dar ya CCM na Bandari mpya ni CCM. Sisi wananchi ni kama mchepuko tu! Mwanaume anakujia siku anakutaka na huna ruhusa ya kuhoji uko wapi, njoo nina hamu, nk.
Mifano yenu ya kimalaya muwe mnaweka huko facebook
 
Ndugai alimshambulia CAG Assad na kuwafungia Lema na Mdee kwa kusema bunge ni dhaifu leo anakiri udhaifu bila kutamka wazi. Awatake radhi.
 
Mamlaka ya bunge kushauri na kuhoji yapo kikatiba zaidi, kwa hiyo ilikuwa jambo jema wakahoji , na kuisimamia serikali isipotoshwe.
 
Usikute na ww ni mwanaume halafu unamuita mwanaume nwenzio mwanaume wa shoka
 
Tuna spika wa bunge wa ajabu Sana, yaani wanasubiri jpm kafariki, ndipo wanaanza kumponda.Kiujumla mnyonge mnyongeni, haki zake mpeni.Ndugai anazingua...
 
*******'s statement can be summarised by three simple Swahili words."Bunge ni dhaifu"
 
Hata kama ingekuwa wewe ndiyo Ndugai bado ungefuata fikra za Rais...

Rais ana nguvu sana!!!!

Dawa ni kubadili Katiba kwanza.....

Kumpunguzia Madaraka Rais itatusaidia kupata Kiongozi msikivu kwa mujibu wa Katiba....
 
Je kwa hali hii Bunge litaaminika kweli kumshauri Rais aliyepo na serikali yake au kuisimamia serikali ipasavyo? Nisaidieni.
 
Hata kama ingekuwa wewe ndiyo Ndugai bado ungefuata fikra za Rais...

Rais ana nguvu sana!!!!

Dawa ni kubadili Katiba kwanza.....

Kumpunguzia Madaraka Rais itatusaidia kupata Kiongozi msikivu kwa mujibu wa Katiba....
Basi km ndivyo hivyo Rais alishauriwa vibaya. Bunge liongoze kudai katiba mpya. Litaeleweka zaidi kaika kuleta mabadiliko ya mifumo.
 
Kumbuka bunge ni la kijani rais alikua wa kijani mbabe nani angeweza kumpinga? nani angeweza kumshauri? Aliminya uhuru wa kujieleza nani angeweza kuandika? Wengine wanashukuru Mungu ameliona hili ndio maana akampa uongozi mama samia

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
****** ndo alikuwa kiungo mchezeshaji wa Tapeli shujaa wa Wezi mwendezake.
Lile Tapeli mfu lilikuwa likimuagiza wew wale wapinzani wanao kosoa wafukuze bungeni kwa kuwa mle wakiongea wana kinga waje kuongea huku nje ili niwashugulikie.
Pimbi ****** Hawezi kujitenga na uharo wa Tapeli meko.
 
Ulitaka aseme alafu am-tundu lissu..
 
Mzee MNAFIKI SANA huyo
 
Nilimsikia na kumuona kwa macho yangu Spika akitoa ushauri juu ya bandari ya Bagamoyo pale bungeni wakati Magufuli yupo. Na nikaja kusikia na kuona majibu ya Magufuli mwenyewe. So ushauri alitoa. Swala iwe je ulikuwa mzuri au mbaya.

Mwendazake alikuwa anajua kila kitu yeye ni Mr I know it all!
 
Tuweke rekodi sahihi
1. Ni lini hasa mkuu wa nchi alianza kupotoshwa?
2. Ni wakina nani walimpotosha mkuu wa nchi?
3. Ni lini hasa bunge liliacha kazi yake ya kuisimamia serikali na kutoa mapendekezo yake?
4. Je Supika anafikiria kuwa tunamuelewa kwa hii fantastic turn around yake hasa kwa yeye kushindwa kuishauri serikali kupitia kiti chake?
5. Ni lini katiba itarejea kutoka likizo ? hapa ni kuanzia kwenye kile kipengele cha The consolidated Fund na mengineyo?

Hebu tuanzie na haya hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…