Ndugai acha kuwaona watanzania ni wajinga. Kama Hayati Magufuli alipotoshwa, wewe kama Spika kwanini haukumshauri?

Ndugai acha kuwaona watanzania ni wajinga. Kama Hayati Magufuli alipotoshwa, wewe kama Spika kwanini haukumshauri?

Mkuu umemaliza. Sijui uko wapi nikununulie soda duh.

Matokeo ya uhuru wa kila Mtu kuongea anachojisikia na kukiona ndio kama huu sasa wa Ndugai yaani ni aibu kuu kwa taifa kusema kua walifanyiwa presentation ya mradi na kuona uko vizuri bila kusoma mkataba unatakaje ni aibu kubwa kwa Taifa.

Ndio maana hata katika familia zetu ili uendelee kuna mda lazima uzibe masikio otherwise ukisikia la kila mtu hupigi hatuna.

Ila kwa mwendo huu kila Mtu atamkumbuka JPM soon as possible
Niko naombeleza mkuu
 
Kumkumbuka ndio hapana haitokuja kutokea kikundi cha wahuni sijui utekaji na maugomvi ya kijinga ya kuchomeana vifaranga yasingeisha huku unakuja kusikia Ndugai kaongeza Kodi kisa mradi wa umeme na report tamu tamu ya CAG ya Atcl kupata faida na kutoa gawio kumbe wanachechemea...

Mkuu ni kweli unachokisema kama tulivyo Binadamu wengine ni Kweli kuna mahala pengi alikosea halipingiki Lakini sasa hayupo ni vyema kusameheana na kuanza upya.

Ila kwa maslahi mapana ya Nchi yetu ukitazama hali inavyoendelea hasa kwa matamko kama ya Ndugai sio sawa na sahihi.

Mimi sijasoma terms and conditions za huo mkataba ila nimesikia ni wa kilaghai sana hauna faida ya maana kwetu kwa 99years.

Iwapo Ndugai anafuata professional yake alishindwa nini kukemea na kutoa ushaur public kama hivi juu ya Hasara ya SGR na kushauri kuendelezwa kwa Bandari ya Bagamoyo?

Ni yeye huyu huyu Ndugai anasema alifanyiwa presentation ya mradi na kuona ni idea nzuri. Hivi mkuu kweli hata Mimi wa darasa la saba utaingia kwenye mkataba kulingana na presentation yake ilivyo? Au kulingana na prons and cons ya huo mkataba?

Mwisho kifo cha JPM kimeacha nafasi ya kujitafakar kama Taifa nini tunataka, aina ya viongozi tulionao na aina ya Wananchi tulivyo.
 
Wachina wamempima korona kwa kile kipimo chao kipya kafuraaahi anataka aje atufanye wajinga akipendezwa yeye mradi uendelee? Waweke wazi mkataba na hiyo presentation na sisi tuione
Kipimo kile kama cha yanga mwiko nyuma kinachopima oil chafu kunako mku*dun [emoji23][emoji23]
 
Mtu anajiita jiwe yeye anajua kila kitu na hashauriki ungekua wewe spika ungefanya nini na watoto wanakutegemea... Uliona kilichomkuta CAG ASAD kwa sasa kusimamia ukweli akakosa kiti chake
Sasa hao waliomshauri vibaya alishaurika vipi? Ndugai na wenzake wanafik tu, uroho wa vyeo na sio kutaka kuleta maendeleo ndicho walichonacho.
 
Ndugai atakuwa alishachukua percent yake huko China. Sasa anahangaika kulipa deni kwa kufanikisha dili. Magu alikuwa anasoma mwenyewe mafile!
 
Mkuu ni kweli unachokisema kama tulivyo Binadamu wengine ni Kweli kuna mahala pengi alikosea halipingiki Lakini sasa hayupo ni vyema kusameheana na kuanza upya.

Ila kwa maslahi mapana ya Nchi yetu ukitazama hali inavyoendelea hasa kwa matamko kama ya Ndugai sio sawa na sahihi.

Mimi sijasoma terms and conditions za huo mkataba ila nimesikia ni wa kilaghai sana hauna faida ya maana kwetu kwa 99years.

Iwapo Ndugai anafuata professional yake alishindwa nini kukemea na kutoa ushaur public kama hivi juu ya Hasara ya SGR na kushauri kuendelezwa kwa Bandari ya Bagamoyo?

Ni yeye huyu huyu Ndugai anasema alifanyiwa presentation ya mradi na kuona ni idea nzuri. Hivi mkuu kweli hata Mimi wa darasa la saba utaingia kwenye mkataba kulingana na presentation yake ilivyo? Au kulingana na prons and cons ya huo mkataba?

Mwisho kifo cha JPM kimeacha nafasi ya kujitafakar kama Taifa nini tunataka, aina ya viongozi tulionao na aina ya Wananchi tulivyo.
Mkuu ili nchi iendelee ni kuwa na taasisi imara zenye nguvu sio kutumia akili za mtu mmoja hakuna Nchi ya hivyo itakayoendelea kuwe na bunge lenye kujenga,mahakama wasiingiliwe na wanasiasa kuwepo na vyama vya wafanyabiashara na watalii vilivyo na nguvu pia hata kutoa hoja za kuishawishi serikali ili kuvutia wawekezaji na watalii hii ya kusema fulani kafa na watu tupo zaidi ya million 60 sio kweli ondoeni hizo fikra Wazee ni kudumaza Taifa..
 

Mtu wa design hii ashauriwe vibaya, akubali hayo madudu kweli?. Sio bure, itakuwa amehujumiwa na washauri na wasaidizi wake. Kama ni hayo madudu, system yote itakuwa corrupted hata huyo CAG mwenyewe sasa na mwelewa Lissu aliposema ni mapema mno kuanza kupiga vigelegele kwa Sasha.
 
Naona like genge la wanyang'anyi na mafisadi wa nchi linaanza kurudi. Wataanza kujigawia mabilioni ya escrow muda si mrefu. Wanafiki wakubwa Hawa kina Ndugai. Sijui kwa nini binadamu wapo hivi. So disgusting. Walikuwa wanapiga mapambio ya kusifu na kuabudu, leo wanakosoa vile hayupo!! Shame
 
Tunapoenda tunaelekea pabaya sana. Na hii ni dalili mbaya sana ya kuwepo kwa viongozi wanafiki na wasiofaa katika jamii yetu.

Rais wa JMT ni sehemu ya bunge, bunge la JMT lina mamlaka ya kuisimamia serikali na kuhoji pale serikali inapofanya ndivyo sivyo, hili lipo wazi kabisa kwa mujibu wa katiba ya JMT ibara ya 63.

Leo hii spika Ndugai anaongea mambo na kuwaona watanzania ni wajinga? Kwamba alienda huko China na kuonana na bodi ya kampuni ya China Merchant, na walitoa presentation nzuri yenye kumuhakikishia kuwa wakipewa kazi ya kujenga mradi wa bandari Bagamoyo, utakuwa na faida kw Tanzania

Kwa kumalizia anasema mkuu wa nchi aliyekuwepo alipotoshwa na ndio maana akaupiga chini mradi wa Bagamoyo. Sasa kama alipotoshawa na wewe na Bunge lako mna mamlaka ya kuhoji, na kuisimamia serikali kwa nini hamkueleza ukweli? Leo unasubiri hayupo baaada ya kufariki ndio unatufanya watoto?

Wewe kama mkuu wa bunge, ulishindwa vipi kujadili na wabunge ili kumuambia mkuu wa nchi aliyekuwepo kuwa anapotoshwa? Na je, kama alikuwa hapotoshwi ila kulikuwa na mashariti yasiyo na tija?
Alimpinga CAG msataafu prof Mussa Assad hadharani, ili asiwasilishe ubadhirifu wa serikali ya awamu ya 5. Swali fikirishi hivi mwendazake angelikuwa hai ina maana CAG asingelikua anadadavua matumizi mabaya ya awamu ya 5?
 
Huyu inawezekana katishiwa Uspika wake maana ni kura.

Pengine kaambiwa Makao Makuu ni utapanyaji wa kodi na kumbuka aliisemea na kuikumbushia sheria yake mbele ya jeneza la mwenda zake.

Amekiri mkubwa akisha sema wengine mnakaa kimya. Labda mkubwa kesha sema anaendeleza bandari bila kujali masharti ya kitumbafu.

Spika kaisifia sana kampuni ya kizalendo ya China inayokuja kuwekeza kwa masharti ya kinyonyaji. Tuliambiwa kuna nchi kampuni hii imechukuwa bandari iliyo wekeza uwekezaji wa aina hiyo ya Bagamoyo baada ya wahusika kushindwa kulipa deni. Zambia ni mfano hai, baadhi ya miradi ikiwemo airport vimekuwa vya china.

Huwezi ku out rule mazingira kutengeneza kwani kampuni imepigiwa chapuo kweli kweli.
 
Tunapoenda tunaelekea pabaya sana. Na hii ni dalili mbaya sana ya kuwepo kwa viongozi wanafiki na wasiofaa katika jamii yetu.

Rais wa JMT ni sehemu ya bunge, bunge la JMT lina mamlaka ya kuisimamia serikali na kuhoji pale serikali inapofanya ndivyo sivyo, hili lipo wazi kabisa kwa mujibu wa katiba ya JMT ibara ya 63.

Leo hii spika Ndugai anaongea mambo na kuwaona watanzania ni wajinga? Kwamba alienda huko China na kuonana na bodi ya kampuni ya China Merchant, na walitoa presentation nzuri yenye kumuhakikishia kuwa wakipewa kazi ya kujenga mradi wa bandari Bagamoyo, utakuwa na faida kw Tanzania

Kwa kumalizia anasema mkuu wa nchi aliyekuwepo alipotoshwa na ndio maana akaupiga chini mradi wa Bagamoyo. Sasa kama alipotoshawa na wewe na Bunge lako mna mamlaka ya kuhoji, na kuisimamia serikali kwa nini hamkueleza ukweli? Leo unasubiri hayupo baaada ya kufariki ndio unatufanya watoto?

Wewe kama mkuu wa bunge, ulishindwa vipi kujadili na wabunge ili kumuambia mkuu wa nchi aliyekuwepo kuwa anapotoshwa? Na je, kama alikuwa hapotoshwi ila kulikuwa na mashariti yasiyo na tija?
Huyu analinda uagali tu.

Ila mda ni mwalimu mzuri tu.
 
Ndugai mwoga hajiamini. Yeye ni mmoja kati ya mashabiki wakubwa wa Marehemu. Alikuwa na uwezo wa kutumia ushabiki wake kumweleza ukweli lakini hakufanya hivyo badala yake anasema leo. UNAFIKI NA UOGA.
Akipandacho mtu ndicho avunacho. Jiwe kavuna alichokipanda. Bado Ndugai. Wale Wabunge wa covid-19 aliowapigania kwa udi na uvumba ndio watakaomtia kitanzi shingoni mwake. Muda utaongea.
 
Katiba yetu inahitaji kurekebeshwa kulifanya bunge kuwa huru. Ndugai anaweza kuondolewa kuwa spika kwa kuondolewa uanachama na mwenyekiti wake wa chama!
Sasa kama aliona Mwenyekiti wake anapotoshwa na taifa linakosa manufaa kulikuwa na tatizo kumshauri? Yeye na wabunge wa Ccm walishindwa vipi ku kuwa na hoja bungeni juu ya manufaaa ya taifa?
 
Jamaa mnafiki sana yaani baada ya marehemu kumlipia mabili yake ya kuvunwa damu huko ulaya na kufubaza maukimwi yake leo hii ndio anajaribu kumsema vibaya aisee sijawahi kuona nafiki la kiwango hiki na ni huyuhuyu alikua anashabikia aongezewe muda akikataa alazimishwe , inept kabisa huyu
 
Back
Top Bottom