Ndugai acha kuwaona watanzania ni wajinga. Kama Hayati Magufuli alipotoshwa, wewe kama Spika kwanini haukumshauri?

Ndugai acha kuwaona watanzania ni wajinga. Kama Hayati Magufuli alipotoshwa, wewe kama Spika kwanini haukumshauri?

Tuweke rekoni sahihi
1. Ni lini hasa mkuu wa nchi alianza kupotoshwa?
2. Ni wakina nani walimpotosha mkuu wa nchi?
3. Ni lini hasa bunge liliacha kazi yake ya kuisimamia serikali na kutoa mapendekezo yake?
4. Je Supika anafikiria kuwa tunamuelewa kwa hii fantastic turn around yake hasa kwa yeye kushindwa kuishauri serikali kupitia kiti chake?
5. Ni lini katiba itarejea kutoka likizo ? hapa ni kuanzia kwenye kile kipengele cha The consolidated Fund na mengineyo?

Hebu tuanzie na haya hapa.
Hapa umegongelea msumari.
 
Mtu anajiita jiwe yeye anajua kila kitu na hashauriki ungekua wewe spika ungefanya nini na watoto wanakutegemea... Uliona kilichomkuta CAG ASAD kwa sasa kusimamia ukweli akakosa kiti chake
Hatutaki viongozi wa Aina hi.
Hawatufai hata kidogo..
 
Tunapoenda tunaelekea pabaya sana. Na hii ni dalili mbaya sana ya kuwepo kwa viongozi wanafiki na wasiofaa katika jamii yetu.

Rais wa JMT ni sehemu ya bunge, bunge la JMT lina mamlaka ya kuisimamia serikali na kuhoji pale serikali inapofanya ndivyo sivyo, hili lipo wazi kabisa kwa mujibu wa katiba ya JMT ibara ya 63.

Leo hii spika Ndugai anaongea mambo na kuwaona watanzania ni wajinga? Kwamba alienda huko China na kuonana na bodi ya kampuni ya China Merchant, na walitoa presentation nzuri yenye kumuhakikishia kuwa wakipewa kazi ya kujenga mradi wa bandari Bagamoyo, utakuwa na faida kw Tanzania

Kwa kumalizia anasema mkuu wa nchi aliyekuwepo alipotoshwa na ndio maana akaupiga chini mradi wa Bagamoyo. Sasa kama alipotoshawa na wewe na Bunge lako mna mamlaka ya kuhoji, na kuisimamia serikali kwa nini hamkueleza ukweli? Leo unasubiri hayupo baaada ya kufariki ndio unatufanya watoto?

Wewe kama mkuu wa bunge, ulishindwa vipi kujadili na wabunge ili kumuambia mkuu wa nchi aliyekuwepo kuwa anapotoshwa? Na je, kama alikuwa hapotoshwi ila kulikuwa na mashariti yasiyo na tija?
Ndugai ni mnafiki mkubwa hafai kuwa kiongozi hata kwa nusu dak
 
Yaani najiuliza hawa watu ni wajinga kiasi gani? Sasa ndo najua kwa nini magufuli alikuwa akifanya kazi hata ambazo alitakiwa kufanya mtendaji wa kata.
Ni kwa sababu alijua anaofanya nao ni wajinga analazimika kufanya kazi mwenyewe.
Yaani wote ni wachumia tumbo hatuna wasomi wazalendo jitu linaangalia tumbo lake.

Hawa hawa ndo alifanya nao kazi kwa ukaribu leo ndo wako mstari wa mbele kumponda.

Kifo ni fumbo kama marehemu angekuwa anarudi kuwa hai duniani jpm tungempa kura za kumwaga akasafishe huu upuuzi unao endelea.

Mm ninachojua msomi anaetambua kazi yake lazima asimamie haki, bora utumbuliwe lakini kwa kusimamia haki

Sasa unajiuliza magufuli alikuwa mbovu mbona walimsifia kwa nguvu zote? Mbona walimshauri kwa nguvu zote? Hawakuwa royal kwake hawa waganga njaa.

Hata mponde vipi kisa ashakufa magufuli ni mwanaume wa shoka asiemuogopa yeyote. Kwa mtu yeyote mwenye akili ambae hatangulizi tumbo mbele anajua kuwa magufuli ni shujaa.

Watanzania wanapenda kudekezwa wafanye wanachotaka wao.bure kabisa

Rip jpm
Hawa watu ni wapumbavu sn
 
Tunapoenda tunaelekea pabaya sana. Na hii ni dalili mbaya sana ya kuwepo kwa viongozi wanafiki na wasiofaa katika jamii yetu.

Rais wa JMT ni sehemu ya bunge, bunge la JMT lina mamlaka ya kuisimamia serikali na kuhoji pale serikali inapofanya ndivyo sivyo, hili lipo wazi kabisa kwa mujibu wa katiba ya JMT ibara ya 63.

Leo hii spika Ndugai anaongea mambo na kuwaona watanzania ni wajinga? Kwamba alienda huko China na kuonana na bodi ya kampuni ya China Merchant, na walitoa presentation nzuri yenye kumuhakikishia kuwa wakipewa kazi ya kujenga mradi wa bandari Bagamoyo, utakuwa na faida kw Tanzania

Kwa kumalizia anasema mkuu wa nchi aliyekuwepo alipotoshwa na ndio maana akaupiga chini mradi wa Bagamoyo. Sasa kama alipotoshawa na wewe na Bunge lako mna mamlaka ya kuhoji, na kuisimamia serikali kwa nini hamkueleza ukweli? Leo unasubiri hayupo baaada ya kufariki ndio unatufanya watoto?

Wewe kama mkuu wa bunge, ulishindwa vipi kujadili na wabunge ili kumuambia mkuu wa nchi aliyekuwepo kuwa anapotoshwa? Na je, kama alikuwa hapotoshwi ila kulikuwa na mashariti yasiyo na tija?
Ndungai kama aliona Rais amepotoshwa na yeye anajua ukweli, alipaswa kujiuzulu! Sasa hakujiuzuru wakati huo, hivyo hana sababu ya kuanza kutoa lawama. Anajipendekeza tu na kukumbatia ufisadi.
 
DHAIFU=6
NDUGAI=6


[emoji3578]..... ASSAD
 
Yaani najiuliza hawa watu ni wajinga kiasi gani? Sasa ndo najua kwa nini magufuli alikuwa akifanya kazi hata ambazo alitakiwa kufanya mtendaji wa kata.
Ni kwa sababu alijua anaofanya nao ni wajinga analazimika kufanya kazi mwenyewe.
Yaani wote ni wachumia tumbo hatuna wasomi wazalendo jitu linaangalia tumbo lake.

Hawa hawa ndo alifanya nao kazi kwa ukaribu leo ndo wako mstari wa mbele kumponda.

Kifo ni fumbo kama marehemu angekuwa anarudi kuwa hai duniani jpm tungempa kura za kumwaga akasafishe huu upuuzi unao endelea.

Mm ninachojua msomi anaetambua kazi yake lazima asimamie haki, bora utumbuliwe lakini kwa kusimamia haki

Sasa unajiuliza magufuli alikuwa mbovu mbona walimsifia kwa nguvu zote? Mbona walimshauri kwa nguvu zote? Hawakuwa royal kwake hawa waganga njaa.

Hata mponde vipi kisa ashakufa magufuli ni mwanaume wa shoka asiemuogopa yeyote. Kwa mtu yeyote mwenye akili ambae hatangulizi tumbo mbele anajua kuwa magufuli ni shujaa.

Watanzania wanapenda kudekezwa wafanye wanachotaka wao.bure kabisa

Rip jpm

Mkuu umemaliza. Sijui uko wapi nikununulie soda duh.

Matokeo ya uhuru wa kila Mtu kuongea anachojisikia na kukiona ndio kama huu sasa wa Ndugai yaani ni aibu kuu kwa taifa kusema kua walifanyiwa presentation ya mradi na kuona uko vizuri bila kusoma mkataba unatakaje ni aibu kubwa kwa Taifa.

Ndio maana hata katika familia zetu ili uendelee kuna mda lazima uzibe masikio otherwise ukisikia la kila mtu hupigi hatuna.

Ila kwa mwendo huu kila Mtu atamkumbuka JPM soon as possible
 
Mh.Ndugai na naibu wake ilitakiwa waachie madaraka kwa kutoishauri serikali vizuri...hilo lilikua la lazima wakina Tundu walipoishauri Serikali walikatwa hadi posho kisa kumfurahisha Mkuu leo anataka kuja upande wetu sio kweli kabisaa...
 
HUYU NDUGAI AJIBU HOJA ZA WATANZANIA KUHUSU HIYO BANDARI ILIYOPO MJI WENYE HISTORIA YA BIASHARA YA UTUMWA

1. JE, MIKATABA ILISHASAINIWA NA KAMA JIBU NI NDIO ILIPITIA MICHAKAYO GANI

2. ANASEMA ALIKUTANA NA WADAU CHINA WAKAMBRIEF JUU YA HUO MRADI, ILIKUWA NI KWA BAHATI MBAYA AU KWA MIADI?

3.KWA KUWA HUU MRADI UNA MASLAHI MAPANA YA TAIFA, ANAWEZA HATA KWA KIFUPI KUTUELEZEA NAMNA TAIFA LITAKAKAVYONUFAIKA?


4. NI NANI ALIMSHAURI RAIS VIBAYA? KWA UBAYA UPI?

5. KAMA MRADI UNA MASLAHI MAPANA KWA TAIFA NA YEYE ALILIJUA HILO NA KUAMUA KULINYAMAZIA HAONI NI MUDA MUAFAKA WA KUKIRI KWAMBA TAASISI ANAYOIONGOZA NI DHAIFU?

KAMA NDUGAI ULITAFUTA KIKI TUNAANZA NA WEWE
 
Tunapoenda tunaelekea pabaya sana. Na hii ni dalili mbaya sana ya kuwepo kwa viongozi wanafiki na wasiofaa katika jamii yetu.

Rais wa JMT ni sehemu ya bunge, bunge la JMT lina mamlaka ya kuisimamia serikali na kuhoji pale serikali inapofanya ndivyo sivyo, hili lipo wazi kabisa kwa mujibu wa katiba ya JMT ibara ya 63.

Leo hii spika Ndugai anaongea mambo na kuwaona watanzania ni wajinga? Kwamba alienda huko China na kuonana na bodi ya kampuni ya China Merchant, na walitoa presentation nzuri yenye kumuhakikishia kuwa wakipewa kazi ya kujenga mradi wa bandari Bagamoyo, utakuwa na faida kw Tanzania

Kwa kumalizia anasema mkuu wa nchi aliyekuwepo alipotoshwa na ndio maana akaupiga chini mradi wa Bagamoyo. Sasa kama alipotoshawa na wewe na Bunge lako mna mamlaka ya kuhoji, na kuisimamia serikali kwa nini hamkueleza ukweli? Leo unasubiri hayupo baaada ya kufariki ndio unatufanya watoto?

Wewe kama mkuu wa bunge, ulishindwa vipi kujadili na wabunge ili kumuambia mkuu wa nchi aliyekuwepo kuwa anapotoshwa? Na je, kama alikuwa hapotoshwi ila kulikuwa na mashariti yasiyo na tija?
HIVI MWENYEWE YULE ALIKUWA ANASHAURIKA? NAKUMBUKA ALIKWAMBIA WAZI KABISA KWAMBA UKIMSHAURI NDIO UMEHARIBU KABISA! AU NASEMA UONGO NDUGU ZANGU?
 
Mkuu umemaliza. Sijui uko wapi nikununulie soda duh.

Matokeo ya uhuru wa kila Mtu kuongea anachojisikia na kukiona ndio kama huu sasa wa Ndugai yaani ni aibu kuu kwa taifa kusema kua walifanyiwa presentation ya mradi na kuona uko vizuri bila kusoma mkataba unatakaje ni aibu kubwa kwa Taifa.

Ndio maana hata katika familia zetu ili uendelee kuna mda lazima uzibe masikio otherwise ukisikia la kila mtu hupigi hatuna.

Ila kwa mwendo huu kila Mtu atamkumbuka JPM soon as possible
Kumkumbuka ndio hapana haitokuja kutokea kikundi cha wahuni sijui utekaji na maugomvi ya kijinga ya kuchomeana vifaranga yasingeisha huku unakuja kusikia Ndugai kaongeza Kodi kisa mradi wa umeme na report tamu tamu ya CAG ya Atcl kupata faida na kutoa gawio kumbe wanachechemea...
 
Tunapoenda tunaelekea pabaya sana. Na hii ni dalili mbaya sana ya kuwepo kwa viongozi wanafiki na wasiofaa katika jamii yetu.

Rais wa JMT ni sehemu ya bunge, bunge la JMT lina mamlaka ya kuisimamia serikali na kuhoji pale serikali inapofanya ndivyo sivyo, hili lipo wazi kabisa kwa mujibu wa katiba ya JMT ibara ya 63.

Leo hii spika Ndugai anaongea mambo na kuwaona watanzania ni wajinga? Kwamba alienda huko China na kuonana na bodi ya kampuni ya China Merchant, na walitoa presentation nzuri yenye kumuhakikishia kuwa wakipewa kazi ya kujenga mradi wa bandari Bagamoyo, utakuwa na faida kw Tanzania

Kwa kumalizia anasema mkuu wa nchi aliyekuwepo alipotoshwa na ndio maana akaupiga chini mradi wa Bagamoyo. Sasa kama alipotoshawa na wewe na Bunge lako mna mamlaka ya kuhoji, na kuisimamia serikali kwa nini hamkueleza ukweli? Leo unasubiri hayupo baaada ya kufariki ndio unatufanya watoto?

Wewe kama mkuu wa bunge, ulishindwa vipi kujadili na wabunge ili kumuambia mkuu wa nchi aliyekuwepo kuwa anapotoshwa? Na je, kama alikuwa hapotoshwi ila kulikuwa na mashariti yasiyo na tija?
Kwa jinsi alivyo kuwa huyo mungu mtu wenu unadhani angeanzia wapi kumshauri wakayi yeye anajua kila kitu yaani, walio taka kumshauri aliwambia wanawashwa washwa awamu zao zilisha pita wamuache,

Na ukijifanya unazidi kumshauri kesho tutasikio umeokotwa ununio aisee huyu bwana ashukuriwe mungu kwa kumchukua kaondoa adha kubwa sana tanzania na mipango yake ya kutaka kubaki madarakani
 
Ndugai ni kichaa tu. Hata Magufuli kalisema kwenye hii clip
Kwa jinsi alivyo kuwa huyo mungu mtu wenu unadhani angeanzia wapi kumshauri wakayi yeye anajua kila kitu yaani, walio taka kumshauri aliwambia wanawashwa washwa awamu zao zilisha pita wamuache,

Na ukijifanya unazidi kumshauri kesho tutasikio umeokotwa ununio aisee huyu bwana ashukuriwe mungu kwa kumchukua kaondoa adha kubwa sana tanzania na mipango yake ya kutaka kubaki madarakani
 
Wachina wamempima korona kwa kile kipimo chao kipya kafuraaahi anataka aje atufanye wajinga akipendezwa yeye mradi uendelee? Waweke wazi mkataba na hiyo presentation na sisi tuione
eti kwa vile wao ni wabunge anadhani ndio wana akiili kubwa kuliko watz wengine, kumbe kiuhalisi ni kinyume chake!.
 
Katiba yetu inahitaji kurekebeshwa kulifanya bunge kuwa huru. Ndugai anaweza kuondolewa kuwa spika kwa kuondolewa uanachama na mwenyekiti wake wa chama!
 
Back
Top Bottom