Ndugai aliona mbali sana japo alipuuzwa lakini muda utaongea

Ndugai aliona mbali sana japo alipuuzwa lakini muda utaongea

Bahati mbaya Anakopa Pesa nyingi sana halafu zinaishia Mikononi mwake na familia yake pamoja na Mawaziri hazifiki kwenye target husika

Mama akiondoka madarakani kuna vita itapiganiwa hii nchi, wachina wanatudai, wahindi, wakorea, wamarekani, waingereza, wajerumani😂😂😂 siku wakija kutudai lazima wapoteane kila mtu anatudai , na tunachofanya hamna😂😂😂.

Mdogo mdogo maneno ya Ndugai yatatimia😂
wacha wakope mpaka walipo andika mwisho.
 
Katika vitu jpm alikosea ni kutuwekea kundi la watu wa hovyo namna ile huko dodoma. Sijui hata aliwaza nini hakyanani, tuna kundi la watu wa hivyo kabisa, all they care is their stomachs.
Naunga mkono hoja
 
1. Sitisha ujenzi wa SGR, viwanja vya ndege na mwendokasi mpaka hii miradi iliyokamilika iweze kutumika na kuanza kuingiza mapato
2.Uza ndege zote za ATCL na usiendelee kununua nyingine
3. Acha kununua magari ya mavietee(V8) na matumizi mengine yasio ya lazima
4. Rekebisha mfumo wa utawala kupunguza ukubwa wa serikali na bunge
5. Ukimaliza hayo unakaa na wakopeshaji kufanya "debt restructuring"
Suluhisho sio kuendelea kukopa tu to bila ukomo
Safi sana haya ndio mawazo sasa,sio watu kulaumu bila solutions.issue inakuja ni nani wa kuchukua maamuzi kama haya-kumbuke Afrika Rais ndio kila kitu na power siku zote huharibu akili za viongozi.
Kwa aina ya Ma Rais wetu wa kitanzania bila wananchi kupiga kelele na wabunge kusema-ni Rais gani anaweza fanya maamuzi kama haya??.Kila Rais anakuja na ambitious projects na matumizi makubwa yasiyoendana na hali ya uchumi.

Siku zote adui namba 1 wa hii Nchi ni sisi wananchi wenyewe tulio kimya na Rais tunaomchagua.Hii Nchi inahitaji Rais mwenye akili na uzalendo kama Nyerere na dikiteta kama Magufuli.
 
Rais atakaefata atakuwa na kazi nzito ya kulekebisha mashimo yanayotengenezwa hasa hivi, kiasi ambacho kitapelekea aonekane mbaya kumbe ubaya kaandaliwa na awamu hii ya sasa
kwa taarifa yako mashimo yametengenezwa tangu enzi za Nyerere, kuna mikopo bado inaendelea kulipwa.

nb: kurekebisha siyo kulekebisha
 
Bahati mbaya Anakopa Pesa nyingi sana halafu zinaishia Mikononi mwake na familia yake pamoja na Mawaziri hazifiki kwenye target husika

Mama akiondoka madarakani kuna vita itapiganiwa hii nchi, wachina wanatudai, wahindi, wakorea, wamarekani, waingereza, wajerumani😂😂😂 siku wakija kutudai lazima wapoteane kila mtu anatudai , na tunachofanya hamna😂😂😂.

Mdogo mdogo maneno ya Ndugai yatatimia😂
Ndugai naye mnafiq tu alikuwa anapiga mayowe baada ya kuwa blacklisted kama Sukuma Gang.
 
Alipokuwa anafanya Magufuli mliona sahihi,na yeye ndio chanzo cha haya yote.Magufuli ameacha miradi mikubwa ya kuhitaji pesa nyingi kuliko uchumi wa Nchi.
1.una ujenzi wa SGR-18T
2.una bwana la Nyereree-9T
3.Una madeni ya wazabuni & watumishi
4.una maintainance ya ndege ambazo hazijaanza kuleta faida.
5.ina Lundo la vijana wasio kuwa na ajira,wengi wakitegemea ajira za Serikali
6.Una miradi ya ujenzi wa hospital,shule,barabara na maji kila Wilaya
7.una madeni yaliyoachwa na Kikwete & Magufuli ambayo kila mwezi takribani 1.5 trillion hutumika,
*** hayo mambo yote yanataka fedha,makusanyo ya TRA kwa mwezi ni 2 trillion.
Bado una pressure ya kisiasa ya Wananchi na viongozi wajinga wanaotaka miradi aliyoanzisha Magufuli imaliziwe.
Sasa kwa hali hiyo SAMIA yeye afanyaje?????????????
Kwa solution ni kukopa tu,kama kashindwa aachie madaraka,shida sio kukopa tatizo matumizi ya hiyo mikopo
 
Bahati mbaya Anakopa Pesa nyingi sana halafu zinaishia Mikononi mwake na familia yake pamoja na Mawaziri hazifiki kwenye target husika

Mama akiondoka madarakani kuna vita itapiganiwa hii nchi, wachina wanatudai, wahindi, wakorea, wamarekani, waingereza, wajerumani😂😂😂 siku wakija kutudai lazima wapoteane kila mtu anatudai , na tunachofanya hamna😂😂😂.

Mdogo mdogo maneno ya Ndugai yatatimia😂
The state walimwambia kwamba;-

"Kwasasa deni la taifa sio himilivu ,punguza kukopa imarisha ukusanyaji mapato,vutia wawekezaji Ili ku unlock uchumi!,nasi tutakuunga mkono na tutaacha "mipango yeti"!!kwenye Uzi wa Tumia akili "operesheni imesitishwa the state wamesema apewe muda"


Ngoja tuone hai jamaa kama wameridhika na mikopo au lah!maana mambo yanaenda tu kama kawa!!

Mungu ibariki Tanzania!
 
1. Aliyeng'ata shuka alikopa trilioni ngapi kwa miaka yote sita aliyokaa madarakani?

2. Na mng'ata shuka mtarajiwa kakopa trilioni ngapi kwa muda wa miaka hii mitatu aliyokaa madarakani?

Data ziongee...na tafadhali usiingize udini maana huwa hukawii 😁
20231224_095052.jpg
 
Back
Top Bottom