Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Kisa nini sasa asiseme??? Lazima aseme ya moyoni ,Mungu atamteteaVincenzo Jr una wakili? Bado nakupenda ndugu yangu🤸
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kisa nini sasa asiseme??? Lazima aseme ya moyoni ,Mungu atamteteaVincenzo Jr una wakili? Bado nakupenda ndugu yangu🤸
Point yangu imesimama upande gani na yako imesimama upande gani?Unahiyo technology? msiwe mnaongea kufurahisha umati ndo maana magu alisema ni bora tuyachimbe wenyewe, hata kama itachukua miaka 20 kupata wafanisi na tech.
Wewe siuliaga humu?Kisa nini sasa asiseme??? Lazima aseme ya moyoni ,Mungu atamtetea
Hili jambo ndio wasi wasi wangu, hatufuati vigezo vya kiuchumi, Deni tutawaachia wengine, sio mzigo wetu Sisi viongozi Bali wa watumwa wetuBahati mbaya Anakopa Pesa nyingi sana halafu zinaishia Mikononi mwake na familia yake pamoja na Mawaziri hazifiki kwenye target husika
Mama akiondoka madarakani kuna vita itapiganiwa hii nchi, wachina wanatudai, wahindi, wakorea, wamarekani, waingereza, wajerumani😂😂😂 siku wakija kutudai lazima wapoteane kila mtu anatudai , na tunachofanya hamna😂😂😂.
Mdogo mdogo maneno ya Ndugai yatatimia😂
1. Aliyeng'ata shuka alikopa trilioni ngapi kwa miaka yote sita aliyokaa madarakani?Same applies Kwa huyu,kwani aliepita SI alikuwa anaongopa kuwa alikuwa anajenga Kwa pesa za ndani na hachukui mikopo,baada ya kung'ata shuka na tukajua ukweli umeonaje??
Usiamini kila unachoambiwa.
Samia amekopa kiasi gani hadi sasa? Tuanzie hapo!Alipokuwa anafanya Magufuli mliona sahihi,na yeye ndio chanzo cha haya yote.Magufuli ameacha miradi mikubwa ya kuhitaji pesa nyingi kuliko uchumi wa Nchi.
1.una ujenzi wa SGR-18T
2.una bwana la Nyereree-9T
3.Una madeni ya wazabuni & watumishi
4.una maintainance ya ndege ambazo hazijaanza kuleta faida.
5.ina Lundo la vijana wasio kuwa na ajira,wengi wakitegemea ajira za Serikali
6.Una miradi ya ujenzi wa hospital,shule,barabara na maji kila Wilaya
7.una madeni yaliyoachwa na Kikwete & Magufuli ambayo kila mwezi takribani 1.5 trillion hutumika,
*** hayo mambo yote yanataka fedha,makusanyo ya TRA kwa mwezi ni 2 trillion.
Bado una pressure ya kisiasa ya Wananchi na viongozi wajinga wanaotaka miradi aliyoanzisha Magufuli imaliziwe.
Sasa kwa hali hiyo SAMIA yeye afanyaje?????????????
Kubali umeharibu tuIla ujumbe umefika
Hatukatai mikopo, lakini vitu vingi tungeweza kufifanya kwa kupunguza , wizi, ubadhirifu, matumizi Mabaya ya fedha, kuacha kutorosha faida ya kuwa na Bandari Kwa kuiendesha wenyewe, kutekeleza miradi ya kimaendeleo kama SGR na uzalishaji umeme wa kutosheleza na sio kuhihujumu nchi na uwekezaji wetu
Hakuwa na access na mikopo ya bwelelee kama ya mama sababu hakukumbatia mabeberu. Jiulize pia alikopa kiasi gani kwa muda wake wa term moja? Je, aliyepo miaka mitatu ameshakopa bei gani na nini kimefanyika?Same applies Kwa huyu,kwani aliepita SI alikuwa anaongopa kuwa alikuwa anajenga Kwa pesa za ndani na hachukui mikopo,baada ya kung'ata shuka na tukajua ukweli umeonaje??
Usiamini kila unachoambiwa.
Hapa umeandika kihayaufundishiki
Yako haina practicality yangu inayo. Umeongea kama vile ni kitendo cha kufanya mara mojaPoint yangu imesimama upande gani na yako imesimama upande gani?
Emb mwache unique wetuWewe siuliaga humu?
Au siyo? Bado hamjasema Wala kupotosha ,ongezeni juhudi 👇👇Bahati mbaya Anakopa Pesa nyingi sana halafu zinaishia Mikononi mwake na familia yake pamoja na Mawaziri hazifiki kwenye target husika
Mama akiondoka madarakani kuna vita itapiganiwa hii nchi, wachina wanatudai, wahindi, wakorea, wamarekani, waingereza, wajerumani😂😂😂 siku wakija kutudai lazima wapoteane kila mtu anatudai , na tunachofanya hamna😂😂😂.
Mdogo mdogo maneno ya Ndugai yatatimia😂