Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Mapendo kwenye siasaVincenzo Jr una wakili? Bado nakupenda ndugu yangu🤸
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mapendo kwenye siasaVincenzo Jr una wakili? Bado nakupenda ndugu yangu🤸
Umelebekishika?Nashukulu kwa kunilekebisha
KAZI IENDELEE ..........................MAISHA BORA KWA KILA MDANGANYIKA MUTAISOMA NAMBA MADENI MULIYOKUWA NAYO NCHI ITAUZWA YOTE MPAKA N'GOMBE MBUZI KONDOO NA BINADAMU WOTE WATAUZWA HAPO BONGO LAKINI MADENI YATABAKI PALEPALE.....................MTADAIWA SANA .............MAMA ANAFUATA NYENDO ZA ALIYEKUWA RAIS WA AWAMU YA TATU.Bahati mbaya Anakopa Pesa nyingi sana halafu zinaishia Mikononi mwake na familia yake pamoja na Mawaziri hazifiki kwenye target husika
Mama akiondoka madarakani kuna vita itapiganwa hii nchi, wachina wanatudai, wahindi, wakorea, wamarekani, waingereza, wajerumani😂😂😂 siku wakija kutudai lazima wapoteane kila mtu anatudai , na tunachofanya hamna😂😂😂.
Mdogo mdogo maneno ya Ndugai yatatimia😂
Vincenzo Jr una wakili? Bado nakupenda ndugu yangu🤸 WAKILI WAKE HUYO
Yule mgogo Aliona mbaliBahati mbaya Anakopa Pesa nyingi sana halafu zinaishia Mikononi mwake na familia yake pamoja na Mawaziri hazifiki kwenye target husika
Mama akiondoka madarakani kuna vita itapiganwa hii nchi, wachina wanatudai, wahindi, wakorea, wamarekani, waingereza, wajerumani😂😂😂 siku wakija kutudai lazima wapoteane kila mtu anatudai , na tunachofanya hamna😂😂😂.
Mdogo mdogo maneno ya Ndugai yatatimia😂
Naunga mkono hojaYule mgogo Aliona mbali
Inasikitisha sana 😭KAZI IENDELEE ..........................MAISHABORA KWA KILA MDANGANYIKA MUTAISOMA NAMBA MADENI MULIYOKUWA NAYO NCHI ITAUZWA YOTE MPAK N'GOMBE MBUZI KONDOO NABINADAMU WOTE WATAUZWA HAPO BONGO LAKINI MADENI YATABAKI PALEPALE.....................MTADAIWA SANA .............MAMA ANAFUATA NYENDO ZA ALIYEKUWA RAIS WA AWAMU YA TATU.
Tutauza bahari/madini/ardhiBahati mbaya Anakopa Pesa nyingi sana halafu zinaishia Mikononi mwake na familia yake pamoja na Mawaziri hazifiki kwenye target husika
Mama akiondoka madarakani kuna vita itapiganwa hii nchi, wachina wanatudai, wahindi, wakorea, wamarekani, waingereza, wajerumani😂😂😂 siku wakija kutudai lazima wapoteane kila mtu anatudai , na tunachofanya hamna😂😂😂.
Mdogo mdogo maneno ya Ndugai yatatimia😂
1. Sitisha ujenzi wa SGR, viwanja vya ndege na mwendokasi mpaka hii miradi iliyokamilika iweze kutumika na kuanza kuingiza mapatoAlipokuwa anafanya Magufuli mliona sahihi,na yeye ndio chanzo cha haya yote.Magufuli ameacha miradi mikubwa ya kuhitaji pesa nyingi kuliko uchumi wa Nchi.
1.una ujenzi wa SGR-18T
2.una bwana la Nyereree-9T
3.Una madeni ya wazabuni & watumishi
4.una maintainance ya ndege ambazo hazijaanza kuleta faida.
5.ina Lundo la vijana wasio kuwa na ajira,wengi wakitegemea ajira za Serikali
6.Una miradi ya ujenzi wa hospital,shule,barabara na maji kila Wilaya
7.una madeni yaliyoachwa na Kikwete & Magufuli ambayo kila mwezi takribani 1.5 trillion hutumika,
*** hayo mambo yote yanataka fedha,makusanyo ya TRA kwa mwezi ni 2 trillion.
Bado una pressure ya kisiasa ya Wananchi na viongozi wajinga wanaotaka miradi aliyoanzisha Magufuli imaliziwe.
Sasa kwa hali hiyo SAMIA yeye afanyaje?????????????
Bahati mbaya sana ni kwamba ataekuja pia ni walewale walioshiri kuitumbukiza nchi kwenye madeni...ccm itamkopa wapi huyo rais mzuri?Rais atakaefata atakuwa na kazi nzito ya kulekebisha mashimo yanayotengenezwa hasa hivi, kiasi ambacho kitapelekea aonekane mbaya kumbe ubaya kaandaliwa na awamu hii ya sasa
Mkuu, huyu ustaadhat hamna kitu (AKILI) kumkichwa!.Sawa,basi mpe ndugai Uprezoo
Suluhisho la samia sio kukopaAlipokuwa anafanya Magufuli mliona sahihi,na yeye ndio chanzo cha haya yote.Magufuli ameacha miradi mikubwa ya kuhitaji pesa nyingi kuliko uchumi wa Nchi.
1.una ujenzi wa SGR-18T
2.una bwana la Nyereree-9T
3.Una madeni ya wazabuni & watumishi
4.una maintainance ya ndege ambazo hazijaanza kuleta faida.
5.ina Lundo la vijana wasio kuwa na ajira,wengi wakitegemea ajira za Serikali
6.Una miradi ya ujenzi wa hospital,shule,barabara na maji kila Wilaya
7.una madeni yaliyoachwa na Kikwete & Magufuli ambayo kila mwezi takribani 1.5 trillion hutumika,
*** hayo mambo yote yanataka fedha,makusanyo ya TRA kwa mwezi ni 2 trillion.
Bado una pressure ya kisiasa ya Wananchi na viongozi wajinga wanaotaka miradi aliyoanzisha Magufuli imaliziwe.
Sasa kwa hali hiyo SAMIA yeye afanyaje?????????????
Kuna mambo yanaudhi sana kwenye hii nchi hakiyamungu, mtu unaweza ukatamani hata wapatwe na balaa tu kwakweliNdugu zangu mnisaidie, kila wakati ile kauli ya yule bwana inanipitia mpaka ndotoni nini maana yake?
Naunga mkono hojaMwendazake aliupiga mwingi ila kutujazia kijani bungeni 2020 alifeli sana madhara yake ndio haya.