ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Sitokurekebisha tena! wewe hufundishikiNashukulu kwa kunilekebisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sitokurekebisha tena! wewe hufundishikiNashukulu kwa kunilekebisha
Sawa ila kwa awamu hii ..mmmhhSame applies Kwa huyu,kwani aliepita SI alikuwa anaongopa kuwa alikuwa anajenga Kwa pesa za ndani na hachukui mikopo,baada ya kung'ata shuka na tukajua ukweli umeonaje??
Usiamini kila unachoambiwa.
"Black people are not complete human beings because THEY DON'T HAVE A GOOD BRAIN to govern the society as White people. They are still under the process of becoming the complete human beings."Hayo madini tuliyogawa kwa kukopeshwa pesa, tungeyauza tungepata hela zaidi ya hiyo tuliyokopeshwa.
Akili mtu wangu..!🤸
HakikaHayo madini tuliyogawa kwa kukopeshwa pesa, tungeyauza tungepata hela zaidi ya hiyo tuliyokopeshwa.
Akili mtu wangu..!🤸
Mleta mada kanifurahisha anafikiri tukija daiwa tutadaiwa kama vile tulikuwa tunakopa hela kwenye kibanda cha mangi..Mpak waje kudai we ushakufa , we ukipata gape piga alaf pita hv,
Ndiyo maana ya kuuzwa, siyo lazima tuwekwe kwenye shelves dukaniBahati mbaya Anakopa Pesa nyingi sana halafu zinaishia Mikononi mwake na familia yake pamoja na Mawaziri hazifiki kwenye target husika Mama akiondoka madarakani kuna vita itapiganwa hii nchi, wachina wanatudai, wahindi, wakorea, wamarekani, waingereza, wajerumani😂😂😂 siku wakija kutudai lazima wapoteane kila mtu anatudai , na tunachofanya hamna😂😂😂. Mdogo mdogo maneno ya ndugai yatatimia😂
Umejuaje kama sifundishiki, kwan kurudia kosa ni sawa kutokuelewa au mazoeaSitokurekebisha tena! wewe ufundishiki
Mumy ephen_ akiwa kaziniHarafu❌
Halafu✅
Waingeleza❌
Waingereza✅
Hili alihitaj wakili ina maana ww sio mzalendo na uwezi kuiteteq nchi yakoVincenzo Jr una wakili? Bado nakupenda ndugu yangu🤸
Mpaka anaondoka aisee tunapata mahela mengi sana ya mkopo asante kwakutujari wananchi wako
Kwani wakati hayo yote yanafanyika nani aliyekuwa makam wa Rais, na ni nini kazi ya makamu?Alipokuwa anafanya Magufuli mliona sahihi,na yeye ndio chanzo cha haya yote.Magufuli ameacha miradi mikubwa ya kuhitaji pesa nyingi kuliko uchumi wa Nchi.
1.una ujenzi wa SGR-18T
2.una bwana la Nyereree-9T
3.Una madeni ya wazabuni & watumishi
4.una maintainance ya ndege ambazo hazijaanza kuleta faida.
5.ina Lundo la vijana wasio kuwa na ajira,wengi wakitegemea ajira za Serikali
6.Una miradi ya ujenzi wa hospital,shule,barabara na maji kila Wilaya
7.una madeni yaliyoachwa na Kikwete & Magufuli ambayo kila mwezi takribani 1.5 trillion hutumika,
*** hayo mambo yote yanataka fedha,makusanyo ya TRA kwa mwezi ni 2 trillion.
Bado una pressure ya kisiasa ya Wananchi na viongozi wajinga wanaotaka miradi aliyoanzisha Magufuli imaliziwe.
Sasa kwa hali hiyo SAMIA yeye afanyaje?????????????
hatari snNdugai ni Mshauri wa askofu mkuu wa Canterbury 😄😄
😡 Mbona wao Mali zao binafsi hawajizimi data ❓Hayo madini tuliyogawa kwa kukopeshwa pesa, tungeyauza tungepata hela zaidi ya hiyo tuliyokopeshwa.
Akili mtu wangu..!🤸
Inasikitisha sana yaaniBahati mbaya zaidi hawataki kukosolewa