BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,447
- 19,425
Au
Au siyo? Bado hamjasema Wala kupotosha ,ongezeni juhudi 👇👇
View: https://www.instagram.com/reel/C7yW-8xATWl/?igsh=NWcxc2Q3NDA4MWQ0
Cc. ChoiceVariable
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au
Au siyo? Bado hamjasema Wala kupotosha ,ongezeni juhudi 👇👇
View: https://www.instagram.com/reel/C7yW-8xATWl/?igsh=NWcxc2Q3NDA4MWQ0
Ufundishiki❌Sitokurekebisha tena! wewe ufundishiki
Sana mkuuInasikitisha sana hii nchi imelaaniwa sana
Naunga mkono hojaShida hata sio kukopa, kila mtu anakopa sometimes.
Ila unakopa kufanyia nini huo mkopo? Matumizi mazuri ya mkopo ni kufanyia investment sio kuzimaliza kwa matumizia ya anasa. Unakuta mtu anakopa halafu ananunulia gari mkopo, very wrong decisions. Unakopa ili ulipe watu posho za semina na warsha this is very awkward.
Unampa mtu wadhifa waku oversee na kuchannel hela ziende kwenye mradi bila kufanya follow ups. Hela hizo ni za mkopo mtu hafikishi zote zingine wanatia mfukoni. Hii haina tofauti na kujaza maji kwenye kikapu.
VOA ni chombo kikubwa cha habari. Sidhani kama wanaweza kuandika habari kama hii kwa kukurupuka. Lazima kuna kitu flani hapo...Serikali ijibu hoja
Huyo Ndugai ni mpuuzi fulani tu, yeye kwa kushirikiana na Magufuli alishiriki kwa kiwango kikubwa kuua nguvu ya kuhoji ndani ya nchi hii. Amebaki anajiliza wakati tumefika hapa kutokana na yeye kuua nguvu ya wananchi kuhoji.Bahati mbaya Anakopa Pesa nyingi sana halafu zinaishia Mikononi mwake na familia yake pamoja na Mawaziri hazifiki kwenye target husika
Mama akiondoka madarakani kuna vita itapiganiwa hii nchi, wachina wanatudai, wahindi, wakorea, wamarekani, waingereza, wajerumani😂😂😂 siku wakija kutudai lazima wapoteane kila mtu anatudai , na tunachofanya hamna😂😂😂.
Mdogo mdogo maneno ya Ndugai yatatimia😂
Dah!Bahati mbaya Anakopa Pesa nyingi sana halafu zinaishia Mikononi mwake na familia yake pamoja na Mawaziri hazifiki kwenye target husika
Mama akiondoka madarakani kuna vita itapiganiwa hii nchi, wachina wanatudai, wahindi, wakorea, wamarekani, waingereza, wajerumani😂😂😂 siku wakija kutudai lazima wapoteane kila mtu anatudai , na tunachofanya hamna😂😂😂.
Mdogo mdogo maneno ya Ndugai yatatimia😂
Mwashamba kashakuambukiza😁😁😁😁Sitokurekebisha tena! wewe ufundishiki
Hii lugha ngumu sana😂 tusiache kuelekezanaHapa umeandika kihaya
Mbona hii nimeambukizwa na wewe😜Mwashamba kashakuambukiza😁😁😁😁
Mimi nmeshakubali nimshika mapembe tu 😂😂😂😂😂Mbona hii nimeambukizwa na wewe😜
Wewe ndo mwenye mali🤸Mimi nmeshakubali nimshika mapembe tu 😂😂😂😂😂
Unataka niliwe kichwa na wasio julikana😁😁😁Wewe ndo mwenye mali🤸
Mdogo wako ukitaka kumuoa ni wewe tu
Mimi nitakutetea🤸Unataka niliwe kichwa na wasio julikana😁😁😁
Hivi hii inchi ni ya Raisi au ni ya watanzania wote.?? Huyu anapotoa sehem ya bahari na madini kwa ajiri ya mkopo anakuwa kakubaliana na nani? Naomba ufafanuzi wakuu
Yule bwana kwa jinsi alivyo kufa na kuoza anaweza katisha maisha ya mtu 😁😁😁😁😁Mimi nitakutetea🤸
Yule ni Jose wa Penina, maisha yangu yapo hatariniYule bwana kwa jinsi alivyo kufa na kuoza anaweza katisha maisha ya mtu 😁😁😁😁😁
😁😁😁😁😁Yule ni Jose wa Penina, maisha yangu yapo hatarini
Japo yeye Mwenyewe hafai.....Ndugai kuna vitu alinusaBahati mbaya Anakopa Pesa nyingi sana halafu zinaishia Mikononi mwake na familia yake pamoja na Mawaziri hazifiki kwenye target husika
Mama akiondoka madarakani kuna vita itapiganiwa hii nchi, wachina wanatudai, wahindi, wakorea, wamarekani, waingereza, wajerumani😂😂😂 siku wakija kutudai lazima wapoteane kila mtu anatudai , na tunachofanya hamna😂😂😂.
Mdogo mdogo maneno ya Ndugai yatatimia😂