Ndugai awaponda wana Mwanza kwa kuezeka nyumba zao na Mabati ya kizamani, Masufuria

Wagogo na wasukuma ni watani
Pale kaenda kama Spika wa Tanzania, Mtanzania.

Habari za ukabila kwenye maisha yake binafsi huko, si kwenye shughuli za kitaifa.
 
Pale kaenda kama Spika wa Tanzania, Mtanzania.

Habari za ukabila kwenye maisha yake binafsi huko, si kwenye shughuli za kitaifa.
utani ni lazima mkuu. Unafanya watu wasiboreke na hotuba yako. Ukiwa siriazii sana unakua unaboa
 
Huo ni utani wa Mgogo kwa Msukuma! Nadhani hata Mwendazake alikuwa na utani na wagogo!
 
Kabisa Mkuu πŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎ
Hekima ni kukaa kimya, sio kuongea pumba.

Mungu Fundi sana ametuokoa!
 
Anawatania wasukuma huyo.

Utani siku zote unalenga kwenye ukweli.
 
Mwamba elewa kwamba spika ametania tu hapo hakuwa serious Kama unavyotaka kutuaminisha, wagogo na wasukuma huwa wanataniana ndio maana hata JPM alipokuwa anasema akifa azikwe kwao alisema hataki kuzikwa Dodoma maana wagogo wataanza kucheza na mafisi yao juu ya kaburi lake..
 
Ame zarau wanyonge[emoji16][emoji16][emoji16]
 

πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Jf imejaa vijana wenye stress, sisi wanyamwezi, wasukuma na wagogo hii kitu tumezoea na tunaona ndo utanzania.
 
mkuu upo sahihi huu upauaji wakusimamisha paa umetamalaki miaka hii ya karibuni ukiuliza kwawapauaji yaani mafundi utajibiwa usimamishaji wa paa unasaidia bati lisichoke haraka eti maji yamvua yakitua hayakai[emoji4]sasa unajiuliza kwani huo upauaji wamwanzo yana kaaje hayo maji au ndio mbwembwe zamafundi tu
 
mkuu kwani walivyo paua kwama sufuria wanavujiwa pindi mvua zikinyesha[emoji848]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…