magnifico
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 11,075
- 24,634
mkuu ukifiria kwa kutumia mabataksi utagundua mchizi yuko sahihi.Hizo ndizo sera zenu kwa wananchi wasioelimika. Kila unapokuja uchaguzi mnawalubuni.
Yaani CHADEMA wakalie Ikulu then waanzishe vita!!!??
Pepo mchafu toka
Pepo wa upumbavu na ujinga toka