Uchaguzi 2020 Ndugai: "Ikulu haiachwi ni “mwiko”, huwezi kuuza ‘mama mkwe’, tuliachiwa na Mwl Nyerere na Karume na chama chetu CCM hatuwezi iachia Ikulu

Hizo ndizo sera zenu kwa wananchi wasioelimika. Kila unapokuja uchaguzi mnawalubuni.
Yaani CHADEMA wakalie Ikulu then waanzishe vita!!!??
Pepo mchafu toka
Pepo wa upumbavu na ujinga toka
mkuu ukifiria kwa kutumia mabataksi utagundua mchizi yuko sahihi.
 
"Ikulu haiachwi ni “mwiko”, huwezi kuuza ‘mama mkwe’, tuliachiwa na Mwalimu Nyerere na Abeid Amani Karume na chama chetu @ccm_tanzania hatuwezi waachia watu hawaeleweki" -Job Ndugai View attachment 1568612
Natabiri hawa jamaa utokaji wao wa madarakani utakuwa kwa upanga!
Narudia, NATABIRI HAWA JAMAA UTOKAJI WAO WA MADARAKANI UTAKUWA NI WA UPANGA!
Iwe leo ama kesho, hawatatoka kwa njia za amani, UPANGA!

Nimekaa nikaangalia trend ya matukio yanayoendelea Tanzania, namna ambavyo hawa nzi wa kijani wamejimilikisha idara ya usalama wa taifa na kuigeuza usalama wa ccm, jinsi wamejimilikisha jeshi la polisi na kulifanya kitengo chao cha kupokea maelekezo, jinsi wameweka mapandikizi yao ya kisiasa kuliongoza Jeshi letu la Wananchi, jinsi wamekita mizizi NEC na kila mahali, hakuna namna watatoka kwa njia ya uchaguzi zaidi ya kuwakata vichwa!

Ngoja kwanza turudi Pemba tukaendelee kuratibu mikakati
 
Kuchagua upinzani ni kuchagua vita, sisi Watanzania tunaipenda Ccm ina Amani
Unajua unapokosea. Ni ku assume kuwe watanzania wote wanawaza kama ww.
Nimwambie tu usiwasemee na kuwalisha maneno watanzania. Acha waamue wenyewe?

Na pili uache kinganya kuwa upinzani wataleta vita. Lini wameleta vita?
Wameshawahi kushika madaraka
 
Ndugai anaropoka sasa kwa sababu kinga zake zimepanda. Ngoja aendelee kuropoka, halafu Lissu awaamshe watanzania wachokonoe kuhusu ugonjwa wa Ndugai.

Tena Safari hii afya ya Ndugai ikiyumba hatumpeleki tena India (Apollo), tutabanana naye hapa hapa Dodoma (Benjamin Mkapa Modern Hospital) au tutampeleka Muhimbili. Na watu wataanika kila kitu kinachomtesa maisha yake yote.
 
Aiseee....kwamba kuna mtu anapoteza muda,fedha na nguvu bure....
Sio mtu, Taifa ambalo ndio linalotumia fedha na raslimali kwa ajili ya uchaguzi ndio linalopoteza fedha na nguvu bure, wananchi mnaotumia muda wenu na nguvu zenu kuwapamba wanasiasa wakati wa kampeni, nyote mnapoteza nguvu zenu bure!

Vv
 
"Ikulu haiachwi ni “mwiko”, huwezi kuuza ‘mama mkwe’, tuliachiwa na Mwalimu Nyerere na Abeid Amani Karume na chama chetu @ccm_tanzania hatuwezi waachia watu hawaeleweki" -Job Ndugai View attachment 1568612
Haya ni maneno ya mtu aliyechoka hatumii akili yake, yaani hajui hili wala lile. Huyu ni moja ya watu wanaotumika kuiharibu nchi hii. Wajaribu kuenzi haya aone kitakachomkuta yeye na wachumia tumbo wenzake
 
Mgogo mjinga kuliko wajinga wote...
Ropoka yote hiyo ni kujikomba Kwa Magufuli ili aje apewe tena Uspika....
 
Sio mtu, Taifa ambalo ndio linalotumia fedha na raslimali kwa ajili ya uchaguzi ndio linalopoteza fedha na nguvu bure, wananchi mnaotumia muda wenu na nguvu zenu kuwapamba wanasiasa wakati wa kampeni, nyote mnapoteza nguvu zenu bure!

Vv
Sawa....[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
 
"Ikulu haiachwi ni “mwiko”, huwezi kuuza ‘mama mkwe’, tuliachiwa na Mwalimu Nyerere na Abeid Amani Karume na chama chetu @ccm_tanzania hatuwezi waachia watu hawaeleweki" -Job Ndugai View attachment 1568612
Hapa ndo viongozi wangu wanapokosea kwani Nchi hii ni ya Wananchi sio ya Viongozi. Hizi kauli sio nzuri kutamkwa na Spika Mstaafuu kiongozi wa kutunga sheria za Nchi. Wananchi wataanza kumwelewa Lisu pale atakapotoa kauli baada ya tarehe 28/10/2020 kwani hii kauli inamwongezea nguvu zaidi. Viongozi wangu watadhimini majira , zama na
nyakati za wanaowaongoza watu wamebadilika ndo maana Lisu anawafuasi wengi. Maneno mengine yanaongeza chuki kwa wanaoziishi Itikadi za chama cha Lisu na kwa wafuasi wasiona na chama
 
Juzi nilibahatika kuskilza press conference ya Polepole mwanzo mwisho, nimajuta sana kwa nini nimekuwa napuuzia kuwasikiliza hawa jamaa!
Nimejifunza mengi na kubwa zaidi tume overate mambo mengi sana na tutajuta muda sio mrefu. Sasa kama na hii kauli ni kweli basi hata wale wagumu kuelewa mtaanza kuelewa maana ya ugumu wa uchaguzi wa 2020, kikubwa kabisa pale TL/CDM anaposema kuwa wanaelewa vikwazo vyote vilivyopo lakini .....uhuru hauwezi kujileta wenyewe bali unadaiwa na una gharama yake!

Ningelikuwa wao ningejikumbusha kimoyomoyo kauli ya JPM kuwa 'uchaguzi utakuwa huru na haki', pia juzi Prof. Kabudi alivyoulizwa mara mbili mbili na balozi wa USA na akarudia kuwa uchaguzi utakuwa huru na haki. Mwisho kabisa kujikumbusha kuwa tunaendelea na maisha lakini sio kama tulivyozoea maana Ambassador Pompeo ana 'kichwa' tayari na 'gross allegations.
 
Kuwa na viongozi kama huyu hakika hatuta songs mbele, ndo wanaletaga ukulunzinza Hawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…