Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Lini na wapi walisema kuwa wakishika nchi haitakalika?Chadema husema wakishika madaraka Nchi haitakalika
Wengine tuna ndugu wazee na wagonjwa hatuna pa kuwapeleka Chadema wakianzisha vita
Awe rais wa Robert? Kule Kuna Haki za binadamu lolote laweza tokea.Lissu akaapishwe awe Rais wa Robert tu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Kuna mwenzake Zanzibar alisema hawatoi nchi kwa makaratasi. Sasa hivi amewaachia watoto wake laana tu maana ardhi imeshammeza hizi jeuri na viburi sijui wanadamu wanavipata wapi!.Sote tutalala tuache viburi vya uzima"Ikulu haiachwi ni “mwiko”, huwezi kuuza ‘mama mkwe’, tuliachiwa na Mwalimu Nyerere na Abeid Amani Karume na chama chetu @ccm_tanzania hatuwezi waachia watu hawaeleweki" -Job Ndugai View attachment 1568612
Ndio ukweli wenyeweHii ni ishara ya kukiri kuwa hawawezi kushinda kupitia sanduku la kura.
Kwa kifupi,wanakiri kushindwa na sasa wanajipanga kutumia dola kubaki madarakani.
bado anaumwa haja pona"Ikulu haiachwi ni “mwiko”, huwezi kuuza ‘mama mkwe’, tuliachiwa na Mwalimu Nyerere na Abeid Amani Karume na chama chetu @ccm_tanzania hatuwezi waachia watu hawaeleweki" -Job Ndugai View attachment 1568612
Tena ni laana kwa vizazi vyetuHiki chama ndio source ya umaskini Afrika