Mwanafunzimg
JF-Expert Member
- Apr 7, 2012
- 392
- 80
mkuu maana ya ndiogei ni nini?hivi ndugai haikuwa ndiogei watu wakaandika kimakosa hivyo ilivyosasa???? nauliza tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu maana ya ndiogei ni nini?hivi ndugai haikuwa ndiogei watu wakaandika kimakosa hivyo ilivyosasa???? nauliza tu
Tanganyika kwanza!
hata mimi nimemshangaa hadi nimempa like. Sijajua ni nini kinaendelea!
Nani hajui wewe pia ni sehemu ya watanzania ambao CCM imeweeka wakfu km bidhaa inayoweza uzw amara nyingi na kwa watu wengi km viwanja vya migogoro ktk halamashauri na vijiji vyetu. Huwezi kuwa tofauti wewe..utaishia jiua km mkwawa kuliko kukombolewa kifikra.Ngungai ameongea kitanganyika na kizalendo zaidi Bora lawama kuliko fedheha. Wagawane mbao kieleweke
yes a gaymkuu maana ya ndiogei ni nini?
Kaka, mbilimbi ni matunda ambayo watengeneza chachandu/siki huchanganya ili kuweza kuleta ladha. Sijui kama ntakuwa nimeeleza vizuri, kama sivyo tunaweza kusaidiwa na wenye kujua zaidi.Samahani kiongozi,MBILIMBI ndiyo nini? Maana nimecheka sana na huku sikijui,ila nimecheka the way ulivyo-present.
Kasema kuwa kama Wazanzibar WATAENDELEA kudai uhuru wa Zanzibar basi wanagawanywa mbao, kama kwamba Zanzibar haina haki ya kudai uhuru wao na hajui kuwa katiba ya Zanzibar ilishaitangazia uhuru tangu huko siku zilizopita ......sasa huyu nafikiri anawatishia watu wa Zanzibar na wakati shiksa nitawashangaa sana maana watakuwa nao ni wapiga domo tu.......
Nakuunga mkono kuwa msikubali kuburuzwa lakini sio kwa sababu ya ukubwa na udogo wa nchi mbili hizi bali usawa kwa nchi husika.
Niruhusu na mimi niseme ZANZIBAR KWANZA MUUNGANO BAADAYE.
mkuu maana ya ndiogei ni nini?
Mkisema mnaitaka Tanganyika sitaki tena kusikia mnataka muungano...! Tumesema ama serikali mbili huru (Tanzania Bara na Zanzibar) ama serikali moja ya muungano.
He! wandugu mbona mmemtolea sana macho Ndugai kwa kauli yake ya kishujaa aliyoitoa?? Ndugai yuko sahihi kabisa, haiwezekan kabisa nchi kubwa yenye watu mil.45 ikubali kuburuzwa na kisiwa chenye wakaz wasiozidi mil.2 tu, kitakuwa kichekesho kikubwa endapo wajumbe wa upande wa Tanganyika watakuwa wapole na kushindwa kuwadhibiti hao wanyiabaharini. Mimi namuunga mkono Ndugai, kama vp tupoteane tu kwani kitu gani bwana na huu ndiyo wkt mwafaka kabisa kwetu TANGANYIKA KWANZA MUUNGANO BAADAYE.
Hata kama kwa katiba hii muungano utanusurika, tujue tu kuwa hautadumu.