Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Kwamba
Ukiijiwa na wastaafu na maaskofu NYUMBANI kwako wakakushauri JAMBO fanta kama walivokuelekeza!
Ndugai angeeenda KWA Baba mwenyezi mapema SANA!!
Hivyo tu!!
Mjinga mkubwa huyo Ndugai, kipindi anashabikia udhalimu chini ya jiwe alikuwa anaona poa, bila kujua anapalilia tabia chafu sana. Tena ilitakiwa wamng'oe meno kabisa.