Ndugai: Mzee Malecela alinitaka nijiuzulu u-Spika haraka; nikajiuzulu

Ndugai: Mzee Malecela alinitaka nijiuzulu u-Spika haraka; nikajiuzulu

Siwezi kufanya hivyo,endelea nasi tutakwambia kile tunaona hatari kwa ubongo wako,maana unaudumaza kijinga sana

Basi nakushauri ujiandie kupata kero ambayo ungeweza kuiepuka kwa single click, vinginevyo ungana nami kudai katiba mpya ili tusipate tena viongozi walio juu ya sheria. Niko hapa sinza madukani kwa ufafanuzi zaidi.
 
Tunaweka record sawa asitokee dhalimu wa aina ile, hutaki jinyonge.
Kuna kuweka sawa records na upumbavu. Jitaidi kuficha chuki za kipumbavu muda mwingine. We Unafikiri huu upumbavu unaofanya humu huko mtaani unaweza eleweka?Records sawa ungeanzia kwa Nyerere, Mwinyi, Mkapa,JK na umalizie Magufuli. Kupambana na Magufuli kila post ni chuki za kipumbavu na sio records sawa.Ukisema Magufuli aliua watu,ili uwe OBJECTIVE inatakiwa umtaje na JK pia coz kaua wa kutosha pia, kateka wa kutosha pia.Hakuna uchafu unaouongelea kwa Magufuli JK hajafanya. Magufuli Magufuli Magufuli vipi alikuachia ujauzito kiasi chuki iwe kubwa hivi?BADILIKA MKUU,HUU SIO UUNGWANA.
 
Vumilia tu au niweke kwenye ignore list, vinginevyo utakereka sana.
Huwekwi ignored list, utakua unapopolewa tu humu ukileta upumbavu. Nafikiri umeona watu wanavyokupopoa. Kuna mambo inatakiwa urudi nyuma na kutafakari. We umeahama kwenye SIASA na uko kwenye chuki.Kwa akili yako kila mtu akianza kuhubiri chuki kama zako tutafika?
 
".... Mzee Malecela January mwaka jana alifika nyumbani usiku nisivyotarajia na isivyo kawaida. Akataka chai ya rangi huku akinieleza ALIKUJA KAMA KAKA ANADHANI KESHO NIJIUZULU USPIKA na mimi nilikubali na AKANITAKA NISIKOSE KUJIUZULU HIYO KESHO ASUBUHI na mimi nilikubali sawa na kesho asubuhi nilijiuzulu."

Ndugai akiwa kwenye mazishi ya Lemutuz.
Muongo ndugai ulijiuzulu kwa sababu wenzako bungeni walipoteza imani na wewe na walikuwa tayari kupiga kura ya kutokuwa na imani na wewe na ulikwenda ikulu kuomba radhi Rais Samia akakukatalia kwa hivyo ukawa huna pa kutokea.
 
Huwekwi ignored list, utakua unapopolewa tu humu ukileta upumbavu. Nafikiri umeona watu wanavyokupopoa. Kuna mambo inatakiwa urudi nyuma na kutafakari. We umeahama kwenye SIASA na uko kwenye chuki.Kwa akili yako kila mtu akianza kuhubiri chuki kama zako tutafika?

Ukiniweka kwenye ignore list utakuwa umejiweka kwenye mazingira mazuri zaidi, kuna post nyingi unaweza kujikita kwenye hizo na ukasonga mbele, kuliko kujikita kwenye zangu ambazo kamwe hazitakufarahisha kwa chochote. Mbona unayemtetea aliendesha siasa za chuki na bado tulisonga, na hukuwahi kuonyesha kuwa hafanyi sawa?

Kwanza sichangii kwa kukufurahisha wewe au nyinyi, na hamlazimiki kusoma ninachoandika, walioweka kitufe cha ignore walijua kuna michango unaweza kutoipenda, hivyo hayo ndiyo matumizi yake. Je unakwama wapi?
 
Yaani we jamaa una shida sana,unaweza sema Uongozi mbovu umeanza na Magufuli. Hivi udhalimu wa JK huuoni?Nachoamini Magufuli alikufanya kitu kibaya sana maana sio kwa chuki hii.We inaonesha ulikua Vyeti fake au ulitumbuliwa au ndugu yako uliyemtegemea alifanyiwa hayo mawili. Ungekua mfanyabiashara, risk ni kitu cha kawaida so hizo chuki zako dhidi ya Magufuli zisingekuwepo.Jitaidi kuficha chuki zako za kipumbavu, sio kila sehemu we ni chuki na Magufuli. Yaani kila mada utajitahidi Magufuli aingie na umtukane. Kuna Siasa na chuki za kipumbavu, we una chuki za kipumbavu coz umevuka SIASA. Ngekua na uwezo ngekupeleka chato ukaongee na maiti yake huenda inaweza omba Msamaha kwako.
Lipumbavu sana hilo bwege.
 
Mjinga mkubwa huyo Ndugai, kipindi anashabikia udhalimu chini ya jiwe alikuwa anaona poa, bila kujua anapalilia tabia chafu sana. Tena ilitakiwa wamng'oe meno kabisa.
Hakuna mjinga zaidi ya wewe unaeita mwenziyo mjinga. Kila mtu anatafsiri yake ya mambo. Huo unaouita udharimu ulilinda mali za watanzania kwa nguvu zao na kuweka rehani maisha yao na ya familia zao. But kwako ni udharimu na uko sahihi tu kama nilivyisema hapo juu.
 
Tunaweka record sawa asitokee dhalimu wa aina ile, hutaki jinyonge.
Kuna mawili-matatu kupitia comments zako:
1. Unatafuta attention kupitia JPM, usikike, watu wakusome wajue una chuki binafsi na marehemu.
2.. Umepatwa na shida ya akili, umekuwa too obsessed na marehemu yaani huwezi kuandika kitu usiuseme ubaya wake, obsession ya kijinga sana.
3. Alikutumbua, alitumbua watu wa karibu yako, alizima ndoto zako kupitia illegal business ulizokuwa unafanya, haupo sawa kisaikolojia hata kama ni attention unatafuta.
 
Ukikonnect dots utagundua kuwa hata kile kitendo cha Kadinali Jento wa FM Academia 'Wajela hela' na yule Askofu kumfuata Membe wakimwombea msamaha Musiba kulikuwa siyo kwa kawaida.

Le Cardinal na Bishops kwanini hamkumwambia Membe yaliyokuwa yanamjia huku mkijua? Kwanini hamkumwambia 'Kuna genge limejipanga kukumaliza usipomsamehe Musiba. Msemehe tu na upotezee'. Viongozi wa dini wanafiki nyie.
Niguse ninuke
 
Back
Top Bottom