mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Akashindwa kunusuru Maisha ya watoto wake Saba aliopotezaUjumbe ni kuwa, Mzee Malecella aliamua kunusuru maisha ya Ndugai kwa gharama kubwa sana.
Wazee wa kabila la kigogo nadhani tumeelewana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akashindwa kunusuru Maisha ya watoto wake Saba aliopotezaUjumbe ni kuwa, Mzee Malecella aliamua kunusuru maisha ya Ndugai kwa gharama kubwa sana.
Wazee wa kabila la kigogo nadhani tumeelewana.
Membe hajauwawa, kafa kifo cha kawaida ni vibaya kuwa mzushiUkikonnect dots utagundua kuwa hata kile kitendo cha Kadinali Jento wa FM Academia 'Wajela hela' na yule Askofu kumfuata Membe wakimwombea msamaha Musiba kulikuwa siyo kwa kawaida.
Le Cardinal na Bishops kwanini hamkumwambia Membe yaliyokuwa yanamjia huku mkijua? Kwanini hamkumwambia 'Kuna genge limejipanga kukumaliza usipomsamehe Musiba. Msemehe tu na upotezee'. Viongozi wa dini wanafiki nyie.
Membe alivyokuwa na kiburi angebisha tuUkikonnect dots utagundua kuwa hata kile kitendo cha Kadinali Jento wa FM Academia 'Wajela hela' na yule Askofu kumfuata Membe wakimwombea msamaha Musiba kulikuwa siyo kwa kawaida.
Le Cardinal na Bishops kwanini hamkumwambia Membe yaliyokuwa yanamjia huku mkijua? Kwanini hamkumwambia 'Kuna genge limejipanga kukumaliza usipomsamehe Musiba. Msemehe tu na upotezee'. Viongozi wa dini wanafiki nyie.
Hata hivyo alibisha .mpaka cardinal ,na maaskofu ,jamaa akakaza shipa,viongozi wenzie wakubwa tu walimwihi lkn akakaza shipa .tatizo alilewa u done akawa out of intellect.Membe alivyokuwa na kiburi angebisha tu
Mi namwonaga kama akili yake haiko sawa, pengine kibarua kiliota nyasi sasa hana mshahara hivyo akapatwa na ugonjwa wa akili.Huyu jamaa ni kero sana.Yaani kila post atajitahidi aingize habari za Magufuli na akashifu.Hakuna post asiyomkashifu Magufuli.
Tunaweka record sawa asitokee dhalimu wa aina ile, hutaki jinyonge.Yaani we jamaa una shida sana,unaweza sema Uongozi mbovu umeanza na Magufuli. Hivi udhalimu wa JK huuoni?Nachoamini Magufuli alikufanya kitu kibaya sana maana sio kwa chuki hii.We inaonesha ulikua Vyeti fake au ulitumbuliwa au ndugu yako uliyemtegemea alifanyiwa hayo mawili. Ungekua mfanyabiashara, risk ni kitu cha kawaida so hizo chuki zako dhidi ya Magufuli zisingekuwepo.Jitaidi kuficha chuki zako za kipumbavu, sio kila sehemu we ni chuki na Magufuli. Yaani kila mada utajitahidi Magufuli aingie na umtukane. Kuna Siasa na chuki za kipumbavu, we una chuki za kipumbavu coz umevuka SIASA. Ngekua na uwezo ngekupeleka chato ukaongee na maiti yake huenda inaweza omba Msamaha kwako.
Dhalimu yoyote ni wa kumsagia kunguni tu.Punguza chuki kwa marehemu. Sikuambii uache chuki, bali nakuelekeza upunguze chuki dhidi ya hayati Magufuli.
Only a fool can fight with the deceased one!
-Kaveli-
huyu Ndugai ni mmoja kati ya watu waliokuwa wanamtuma Musiba, ulitegemea aseme nini!Kwamba
Ukiijiwa na wastaafu na maaskofu NYUMBANI kwako wakakushauri JAMBO fanta kama walivokuelekeza!
Ndugai angeeenda KWA Baba mwenyezi mapema SANA!!
Hivyo tu!!
Vumilia tu au niweke kwenye ignore list, vinginevyo utakereka sana.Huyu jamaa ni kero sana.Yaani kila post atajitahidi aingize habari za Magufuli na akashifu.Hakuna post asiyomkashifu Magufuli.
Wewe ni mipumbavu sana..na yule mwenzio sextus, mwenye dp ya askari magerezaTunaweka record sawa asitokee dhalimu wa aina ile, hutaki jinyonge.
Jitahidi kuwa mvumilivu, vinginevyo utaumia sana. Na vile umejiunga juzi hapa jukwaani utateseka sana dogo.VYETI FEKI VINAKUSUMBUA.
Uvumilivu unahitajika sana kwenye kuweka records sawa.Wewe ni mipumbavu sana..na yule mwenzio sextus, mwenye dp ya askari magereza
Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
Membe kafa natural death,no moreUkikonnect dots utagundua kuwa hata kile kitendo cha Kadinali Jento wa FM Academia 'Wajela hela' na yule Askofu kumfuata Membe wakimwombea msamaha Musiba kulikuwa siyo kwa kawaida.
Le Cardinal na Bishops kwanini hamkumwambia Membe yaliyokuwa yanamjia huku mkijua? Kwanini hamkumwambia 'Kuna genge limejipanga kukumaliza usipomsamehe Musiba. Msemehe tu na upotezee'. Viongozi wa dini wanafiki nyie.
Hii kauli si njema hata kama unatumia fake IDAkashindwa kunusuru Maisha ya watoto wake Saba aliopoteza
Kiburi kimemtafunaMembe alivyokuwa na kiburi angebisha tu
Hapana,wewe kuna kitu mbaya jamaa alikutenda, kama sio wewe basi wategemezi wako,akili yako imefikia mwisho ukomo wa kuwaza,kufikiri,na kutenda,unadharaulika kwa sasaTunaweka record sawa asitokee dhalimu wa aina ile, hutaki jinyonge.
Mwingine SEXLESSWewe ni mipumbavu sana..na yule mwenzio sextus, mwenye dp ya askari magereza
Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
Hapo chini kuna kitufe cha ignore, kubonyeze hicho ili usiendelee kuteseka boss. Vinginevyo utaumia bure.Hapana,wewe kuna kitu mbaya jamaa alikutenda, kama sio wewe basi wategemezi wako,akili yako imefikia mwisho ukomo wa kuwaza,kufikiri,na kutenda,unadharaulika kwa sasa
Siwezi kufanya hivyo,endelea nasi tutakwambia kile tunaona hatari kwa ubongo wako,maana unaudumaza kijinga sanaHapo chini kuna kitufe cha ignore, kubonyeze hicho ili usiendelee kuteseka boss. Vinginevyo utaumia bure.