Sendoro Mbazi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 3,329
- 2,169
Si walisema mfumo wa upumuji ?Membe kafa natural death,no more
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si walisema mfumo wa upumuji ?Membe kafa natural death,no more
Kilichotokea kwa baadhi ya watu ni kuamini propaganda za wale mafisadi na wauza madawa, ogopa sana kitu inaitwa information. Walichokifanya wale jamaa ilikuwa ni character assassination kwa Dkt Magufuli, yaani they gave him a very bad names and they killed him. Kwa hiyo kwa wale wote walioamini kwenye hizo propaganda wana kila sababu ya kushangilia na kufurahia kifo chake. Just imagine eti wanasema fisadi ukiuliza aliiba nini hawajui, wanasema dikiteta ukiwauliza alifanya kitu gani cha hivyo utasikia alizuia rushwa, wanasema muuaji ukiwauliza alimuua nani utasikia gwanda wakati enzi za JK daudi mwangosi aliuawa mchana kweupe ulimboka aling’olewa kucha etc tena matendi ya wazi wazi kabisa. Kwa ufupi anayemkandia Dkt Magufuli ana akili pungufu, ndiyo maana sisi Chawa wa Mama tunahakikisha tuna balance story ili kuepuka kuleta mgawanyiko. dkt Samia na Dkt Magufuli ni kitu kimoja, 2025 ni rais Samia tu!Yaani we jamaa una shida sana,unaweza sema Uongozi mbovu umeanza na Magufuli. Hivi udhalimu wa JK huuoni?Nachoamini Magufuli alikufanya kitu kibaya sana maana sio kwa chuki hii.We inaonesha ulikua Vyeti fake au ulitumbuliwa au ndugu yako uliyemtegemea alifanyiwa hayo mawili. Ungekua mfanyabiashara, risk ni kitu cha kawaida so hizo chuki zako dhidi ya Magufuli zisingekuwepo.Jitaidi kuficha chuki zako za kipumbavu, sio kila sehemu we ni chuki na Magufuli. Yaani kila mada utajitahidi Magufuli aingie na umtukane. Kuna Siasa na chuki za kipumbavu, we una chuki za kipumbavu coz umevuka SIASA. Ngekua na uwezo ngekupeleka chato ukaongee na maiti yake huenda inaweza omba Msamaha kwako.
Mimi hua namuona ni kama mtu ambae dishi limeyumba.Lipumbavu sana hilo bwege.
Nimejikita kwenye udhalimu wa awamu hiyo. Kuna tatizo kwenye hilo?
Kwani yeye Mungu kuzuia roho za za wanae zisitoke?Akashindwa kunusuru Maisha ya watoto wake Saba aliopoteza
Nilikua nafuatilia kwa makini sana jinsi walamba asali walivyojitahidi kupiga Propaganda na kumweka Magufuli kundi la madikteta. Hawa watu ni wapuuz sana,Inahitaji shule kichwani kuona Propaganda za wazuri hawafi enzi za MagufuliKilichotokea kwa baadhi ya watu ni kuamini propaganda za wale mafisadi na wauza madawa, ogopa sana kitu inaitwa information. Walichokifanya wale jamaa ilikuwa ni character assassination kwa Dkt Magufuli, yaani they gave him a very bad names and they killed him. Kwa hiyo kwa wale wote walioamini kwenye hizo propaganda wana kila sababu ya kushangilia na kufurahia kifo chake. Just imagine eti wanasema fisadi ukiuliza aliiba nini hawajui, wanasema dikiteta ukiwauliza alifanya kitu gani cha hivyo utasikia alizuia rushwa, wanasema muuaji ukiwauliza alimuua nani utasikia gwanda wakati enzi za JK daudi mwangosi aliuawa mchana kweupe ulimboka aling’olewa kucha etc tena matendi ya wazi wazi kabisa. Kwa ufupi anayemkandia Dkt Magufuli ana akili pungufu, ndiyo maana sisi Chawa wa Mama tunahakikisha tuna balance story ili kuepuka kuleta mgawanyiko. dkt Samia na Dkt Magufuli ni kitu kimoja, 2025 ni rais Samia tu!
Mimi sio msemaji wa taasisi yoyote, hivyo naongea mimi as individual, ama ulitakaje boss.Kujikita kwako huko kunakusaidia nini individually?
-Kaveli-
Kuna mawili-matatu kupitia comments zako:
1. Unatafuta attention kupitia JPM, usikike, watu wakusome wajue una chuki binafsi na marehemu.
2.. Umepatwa na shida ya akili, umekuwa too obsessed na marehemu yaani huwezi kuandika kitu usiuseme ubaya wake, obsession ya kijinga sana.
3. Alikutumbua, alitumbua watu wa karibu yako, alizima ndoto zako kupitia illegal business ulizokuwa unafanya, haupo sawa kisaikolojia hata kama ni attention unatafuta.
Wewe ni matokeo ya cheti feki huna lolote, ama ulitumbuliwa kwa namna yoyote ile, sio kwa matapishi na mipovu hii.Hiki kilio ni wazi ww ama nyinyi ndio mna matatizo, kwanini usipuuze uendelee na mijadala mingine maana ipo mingi?! Nyie mliofaidika na ulevi wake wa madaraka ndio mnatushangaa baadhi yetu tuliona hayuko sahihi na hakustahili kuwa rais, haswa kwa katiba inayomfanya rais kuwa Mungu mtu kama yetu.
Nitafute attention kupitia Magu kwani alikuwa rais wa Marekani? Au kwakuwa nyie mlikuwa mnamuona Mungu basi kila mtu anamsujudia? Hili suala la vyeti ni bora hata mkae kimya, maana yeye alikuwa na PhD yenye utata mtupu, na hili liko wazi. Isitoshe kama ni vyeti fake bado hakuliendesha kwa haki kwani lilijaa double standard ya ajabu, maana aliiacha taasisi nyingi hasa za ulinzi na usalama bila kuwapigia, na huko vyeti fake viko kibao. Ifahamike haya kuhusu aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dar alikuwa na tuhuma ya vyeti fake, na alikuwa anajibu kwa kejeli kuhusu suala hilo. Kwahiyo hakukuwa na suala la vyeti fake bali uonevu. Isitoshe mimi hata ningekuwa na cheti fake isingekuwa tatizo maana sio mtumwa wa ajira za serikali kama ww. Sauti inatosha au niongeze?
Ulienda kuzika rondo?Vumilia tu au niweke kwenye ignore list, vinginevyo utakereka sana.
Baadae warithi wataambiwa kwamba achaneni na hii kesi, yatawakuta kuliko ya baba. Mchezo unakuwa umeishaKesi ya madai....iko palepale.....
Nyie ndio mnaojiliza, na inaonekana we ni bendera fuata upepo maana kila mtu anayemtaja dhalimu in a negative way wote husema ni cheti fake, na nyie mnaomsifia wote mna vyeti halali vya Havard University ,😂😂. Nikupe ushauri wa bure, we kaa kwa kutulia maana ukifuatilia ninachopost utakwazika bure, maana wewe ni mtumwa wa ajira.Wewe ni matokeo ya cheti feki huna lolote, ama ulitumbuliwa kwa namna yoyote ile, sio kwa matapishi na mipovu hii.
Sijawahi zika jizi lolote la ccm.Ulienda kuzika rondo?
Mzee huyu mbinafsi sanaAkashindwa kunusuru Maisha ya watoto wake Saba aliopoteza
Je, walifanikiwa?Nilikua nafuatilia kwa makini sana jinsi walamba asali walivyojitahidi kupiga Propaganda na kumweka Magufuli kundi la madikteta. Hawa watu ni wapuuz sana,Inahitaji shule kichwani kuona Propaganda za wazuri hawafi enzi za Magufuli