Ndugai: Mzee Malecela alinitaka nijiuzulu u-Spika haraka; nikajiuzulu

Ninamashaka hata na hizo barua walizokua wanamtumia, [emoji40][emoji855]
 
muongezee sauti mmeo
 
Mna uhakika Ndugai anajua aliyefariki si Mzee Malecela bali mwanaye? Maana maelezo yake ni kama vile anamuomboleza Mzee Malecela.
 
Nilidhani unachukizwa na uwepo wa Magufuli kuendelea na urais wakati ule na nikadhani kufa kwa Magufuli na kutokuwepo tena katika nafasi ya urais basi huko kuchukizwa kutaisha. Lakini moto bado ni uleule mkuu kana kwamba hakuna kilichobadilika kama vile Magufuli bado yupo Ikulu.
 
Hujajibu swali. Kama hujaelewa swali, narudia swali:

Kujikita kwako huko kupambana na udhalimu wa awamu ya tano pekee ya hayati Magufuli, kunakusaidia nini?

-Kaveli-
Umekuja na marking scheme nini boss?
 
Kwa mujibu wa Bible shetani ameshafurushwa mbinguni, lakini hadi leo bado anasagiwa kunguni tu. Itakuwa dhalimu?
 
Ana chuki za kipumbavu sana.Ni mpumbavu tu anaweza kupambana na marehemu masaa 24 jamii forum.
 
Huyu jamaa huwezi mkuta anaongelea miili iliyookotwa Tanga au Mbeya.Ye kichwa chake kimejaa Magufuli alikua dhalimu. Ukifuatilia kwa akili huyu ni muhanga mkubwa sana wa Magufuli direct or indirect. Mpumbavu ni yule personal issue zake anapenda kuzipeleka public. Ingekua tu ni kwa maslai ya Taifa asingekua anabehave hivi,angejua kuna kundi pia lina mtazamo tofauti.Sasa yeye kazi yake ni kuvamia kila post na kucomment Magufuli alikua dhalimu, thread imuhusu au usimuhusu Magufuli ye lazima acomment Magufuli alikua dhalimu.
 

Mimi nilimuuliza swali rahisi tu: kukaza shingo mitandaoni 24/7 kupambana na udhalimu wa awamu ya tano ya marehemu, kunamsaidia nini kimaisha? Amekosa jibu.

Amekomaa haswa na awamu ya tano tu ya marehemu, kana kwamba awamu zingine za utawala marais walikuwa 'watakatifu' na raia walikuwa hawauawi wala kutekwa.

Mwaka wa pili huu amekaza fuvu kupambana na marehemu. Obsession ya kijinga sana!

-Kaveli-
 
NI kweli ndugai alikuwa hajui Tundu lisu alipo hadi kunvua ubunge ? Jesiyo kweli kwamba ndugai alikuwa anatimiza ile kauli ya Magufuli kwamba malizaneni nao bungeni yeye angemalizana nao huku nje?
Ni kweli pesa za bajeti ya bunge huwa zinabaki hadi zirudishwe serikalini? Bajeti manake nni? Je kubakisha pesa ni matumizi sahihi ya kibajeti? Ndugai mnafiki sana
 
Ulishawahi kusoma mada za mtu anayejitambulisha humu kama kulwa jilala au eltwege?
 
Kwa mujibu wa Bible shetani ameshafurushwa mbinguni, lakini hadi leo bado anasagiwa kunguni tu. Itakuwa dhalimu?
Shetani bado yupo hai hadi sasa na anaendelea kufanya kazi ya kupoteza watu na ndio kazi yake hadi sasa.
 
Ikitokezea mzee Malecela katangulia kabla ya Ndugai, atatoa hadithi gani nyengine?
 
Kwa mujibu wa Bible shetani ameshafurushwa mbinguni, lakini hadi leo bado anasagiwa kunguni tu. Itakuwa dhalimu?
Comments zako zinadhihirisha kwamba unamchukia JPM kwa sababu alipinga Ushoga waziwazi. Wewe ni shoga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…