Ndugai siku hizi hahudhurii hafla za Ikulu?

Ndugai siku hizi hahudhurii hafla za Ikulu?

Ranger9

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2021
Posts
1,613
Reaction score
3,002
Ndugai kipindi cha Magufuli nadhani alihamia kabisa Ikulu maana hakuna shughuli alikosa na kutoa hotuba as if naye ni kiongozi wa serikali

Siku za karibuni haonekani shughuli za Ikulu, hata kabla ya boko lake la juzi kuhusu mikopo - wheter alikuwa sahihi or wrong siyo hoja hapa

Mimi nahoji tu nni kimetokea mbona ghafla Mzee wa Joho la Mikorosho haonekani Ikulu badala yake anazoza tu mtaani?

Nyumbani kwa ndugu wa marehemu kunafuka moshi, jambo la heri!
 
Ndugai kipindi cha Magufuli nadhani alihamia kabisa Ikulu maana hakuna shughuli alikosa na kutoa hotuba as if naye ni kiongozi wa serikali

Siku za karibuni haonekani shughuli za Ikulu, hata kabla ya boko lake la juzi kuhusu mikopo - wheter alikuwa sahihi or wrong siyo hoja hapa

Mimi nahoji tu nni kimetokea mbona ghafla Mzee wa Joho la Mikorosho haonekani Ikulu badala yake anazoza tu mtaani?

Nyumbani kwa ndugu wa marehemu kunafuka moshi, jambo la heri!
Thubutu yake,yeye ndo alikuwa agenda ya mkutano halafu anatiaje mbaliga zake ikulu ya wenyewe? Mungu anamlipa,walitesa watu sana yeye na Magufuli.
 
Si yeye tu hata Wakuu wa Vyombo vya Usalama
 
Ndugai kipindi cha Magufuli nadhani alihamia kabisa Ikulu maana hakuna shughuli alikosa na kutoa hotuba as if naye ni kiongozi wa serikali

Siku za karibuni haonekani shughuli za Ikulu, hata kabla ya boko lake la juzi kuhusu mikopo - wheter alikuwa sahihi or wrong siyo hoja hapa

Mimi nahoji tu nni kimetokea mbona ghafla Mzee wa Joho la Mikorosho haonekani Ikulu badala yake anazoza tu mtaani?

Nyumbani kwa ndugu wa marehemu kunafuka moshi, jambo la heri!
Ila mi naona kama yeye ndo kashinda huu mtanange... Yaan kapiga mtu KO ..mtu kazimia halaf kaja kumwomba msamaha..ndugai nuksi nyie..hahahah
 
Ndivyo inavyotakiwa, jaji mkuu na spika hawatakiwi kufuatana na Rais kila mahali.
 
Ila mi naona kama yeye ndo kashinda huu mtanange... Yaan kapiga mtu KO ..mtu kazimia halaf kaja kumwomba msamaha..ndugai nuksi nyie..hahahah
Ikabidi leo iandaliwe shughuli ya miradi ya Covid😀
 
Mtu ametoka kuomba msamaha jana, tena kwa issue ambayo hafla yake leo imefanyika. Hata Zuzu asingeenda. Ila kaabi kaabika sana Mgogo mwenzangu.
Nadhani amekosea kutoenda!! kama angeenda huenda mama angegonga na nondo za baridi. lakini kutokuwepo kwake kumempa mama fursa ya kugonga na nondo za moto! Pole Ndugai japo unavuna ulichopanda!
 
Ndugai kipindi cha Magufuli nadhani alihamia kabisa Ikulu maana hakuna shughuli alikosa na kutoa hotuba as if naye ni kiongozi wa serikali

Siku za karibuni haonekani shughuli za Ikulu, hata kabla ya boko lake la juzi kuhusu mikopo - wheter alikuwa sahihi or wrong siyo hoja hapa

Mimi nahoji tu nni kimetokea mbona ghafla Mzee wa Joho la Mikorosho haonekani Ikulu badala yake anazoza tu mtaani?

Nyumbani kwa ndugu wa marehemu kunafuka moshi, jambo la heri!
MAGOGONI MODERN TAARAB
wametoa Album Mpya ina Ngoma Sita zote Kali
1.Mtu na akili yako unahoji tozo na Mkopo
2.Stress za 2025
3.Serikali ya Mpito
4. Watakao kusumbua ni Shati ya Kijani wenzio
5.Kuna Mawaziri Mmeanza Makundi Makundi yenu
6.kuna watu nitawapumzisha Wakajiandae 2025

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani amekosea kutoenda!! kama angeenda huenda mama angegonga na nondo za baridi. lakini kutokuwepo kwake kumempa mama fursa ya kugonga na nondo za moto! Pole Ndugai japo unavuna ulichopanda!
Ila mama anajua kuchamba asee
 
Back
Top Bottom