Ndugai: Taarifa ya CAG imeonyesha ATCL inapata hasara, je tuendelee kununua nyingine?

Ndugai: Taarifa ya CAG imeonyesha ATCL inapata hasara, je tuendelee kununua nyingine?

Ndugai naona mitazamo yake ya kiuchumi ni kama ya Samia Suluhu. Yule jamaa aliyekuwa anaua sekta binafsi alikuwa anaturudisha miaka 40 nyuma na wala hashauriki. Mashirika binafsi ya ndege alifanya juhudi yafe wakati ATCL ni hasara, PPP ilikuwa imeshakufa.

Watu mnalumu tu kwa nini hawakuongea Magufuli akiwa madarakani, pengine mlikuwa hamumjui Magufuli. Pengine waliona anaharibu sana na haambiliki wakaamua wamtangulize tu kama baadhi ya watu wanavyodai.
Aliyesababisha serikali na rais wafanye wanavyotaka ni Ndugai mwenyewe baada ya bunge na speaker kuanza kupokea maigizo ya rais badala ya join kuisimamia serikali, serikali ndiyo ikaanza kulisimamia na kuliagiza bunge.

Spika Ndugai ndiye aliyesababisha serikali iwe ya udikteta baada ya Ndugai kupokea maigizo kutoka kwa rais ya kuwashughulikia wabunge bungeni naye akayatekeleza.

Kama Spika Ndugai angekuwa na akili walau kidogo tu angewaomba radhi watanzania ndipo afanye hizi uturn zake.

Nje ya hapo Ndugai alikuwa mnufaika wa uhalifu wa serikali ya awamu ya tano kama si mshirika muhimu katika uhalifu huo.
 
Wakati ule wabunge wa upinzani wanatoa Maoni kuhusu hili shirika mliwaita mawakala wa mabeberu, sio wazalendo, wanatumika na meneno mengine kibao hadi wengine kupewa adhabu za ovyo ovyo.

Leo mmeingiza nchi hasara mnasema wabunge wachangie kwa uwazi, wabunge wenyewe wako wapi wa kuchangia kwa uwazi.?

Hawa akina Babu Taletale? Waliopelekwa bungeni kama watoto wanapelekwa chekechea..

CCM na Mwendazake mmeifirisi sana nchi hii na bado mnaendelea kuifirisi na kutuona Watanzania kama mazwazwa.

Halafu Spika bila aibu unashauri watu binafsi wanunue mabehewa halafu wawakodishie shirika la Reli si ndio....Yaani unataka uozo uliopo Tanesco uhamie na shirika la Reli sasa sio.?
Ndugai ndiyo tatizo kuu lililochangia kwa kiasi kikubwa sana nchi hii kushikiliwa na genge la wezi na wahalifu.
 
That makes perfect sense if it’s true, not sure kama kuna reli line inayoingia mpaka kwenye mashamba ya bakhresa to date, sasa sijui hayo mabehewa huwa anayapaki wapi. Muhimu TRC don’t incur costs za hayo mabehewa.

Either way hivyo unavyoongea wewe sivyo alivyokusadia speaker yeye anataka watu hata wasio na shughuli nayo wayanunue sasa sijui wayafanyie nini kama sio wakodishe TRC.

Mtu anaweza uliza tatizo liko wapi hapo kama ni coaches hizo rental costs kama zipo juu ina maana nauli zitaongezeka na wanufaikaji wa reli ni watu chini kwa sasa. Yaani hawa watu ni very selfish hawajali kabisa maslahi ya watu wenye kipato kidogo.
Ndugai siyo kwamba ni selfish tu bali his reasoning capacity is next to none.
 
Tulikuwa tuh,unaanzisha route ya chato na ATCL abiria wenyewe kumi tuh,kwann msipate hasara,upuuz kabisa huu...

Na alikuwa hataki watu wasenge,hovyo kabisa
 
Nilishasema biashara ya ndege itakuwa biashara kichaa. Hata bila korona kutusua ingekuwa ngumu

Labda kama tulinunua ili kama taifa nasisi tuwe nazo
 
Back
Top Bottom