Ndugu alisomeshwa sekondari hadi chuo na kusaidiwa kupata kazi kakata mawasiliano kabisa na familia iliyomsaidia na kumjali, ni sawa?

Ndugu alisomeshwa sekondari hadi chuo na kusaidiwa kupata kazi kakata mawasiliano kabisa na familia iliyomsaidia na kumjali, ni sawa?

Unakuta mtu ana kitu kidogo au Yuko kwenye hatua za kimaendeleo eti anataka amsaidie ndugu yake akiexpect favor in return ila matokeo yake anakuja kuhuzunika.

Ila kama mtu akifanya uroho mbaya akajijali mwenyewe akajiendeleza na kuwa na uwezo mkubwa wa kifedha kiasi kwamba hata akimsaidia mtu haexpect return yoyote, hayo maneno hutayasikia.
Tenda wema ukiwa na vitu vingi sio vichache then uanze kujilaumu baadaye.
 
Bamkubwa wangu aliweza kumsomesha ndugu yake aliekuja nyumbani kwake kutoka kijijini, aliweza kumsomesha form 1 hadi chuo na kumtaftia kazi.

kijana huyo aliweza kupokelewa vizuri na kuwa sehemu ya familia, yani kuanzia bamkubwa, mke wake, watoto wao watano na w
Kunq ttzo pia ambalo lipo kwa watu waliowasaidia watu wa sampul hyo
Waliotoa msaada wanataka kuabudiwa kama miungu watu na kutaka kuwapelekesha waliowasaidia
Msaada Unageuka Kuwa Utumwaaa
 
Bamkubwa wangu aliweza kumsomesha ndugu yake aliekuja nyumbani kwake kutoka kijijini, aliweza kumsomesha form 1 hadi chuo na kumtaftia kazi.

kijana huyo aliweza kupokelewa vizuri na kuwa sehemu ya familia, yani kuanzia bamkubwa, mke wake, watoto wao watano na wengine kwenye nyumba waliishi nae vizuri sana, walikiwa marafiki sana na mtoto mojawapo wa kiume wa bamkubwa, walisoma shule moja form 1 hadi form 6 kasoro chuoni, walikuwa mabesti sana.

sasa baada ya kumaliza chuo bamkubwa alimtaftia connection ya kazi huyo ndugu sambamba na mtoto wake, ni kazi walifanya kama miaka miwili hivi huku urafiki ukiwa safi tu, kipindi hiki bamkubwa aliwapa wote nyumba za kuishi sababu bamkubwa huwa anajenga nyumba na kuzikodisha.

sasa ikatokea ile kazi ikaisha, bamkubea akampigia connection yule ndugu yake kupata kazi shirika flan la serikali kile kipindi cha Kikwete 2015 kazi za connection, alikuwa anavuta 1.8 milion baada ya makato kila mwezi na posho si haba, kwa sasa kapandishwa daraja mshahara utakuwa mkubwa zaidi.

Kwa huyu mtoto wa bamkubwa akasema yeye ajira hataki, alianza biashara kwa kusua sua kwa miaka ile miwili ila akawa mzoefu na comnection za mzee zikamsaidia, 2019 niliweza kujiridhisha kwenye vitabu vyake na financial statements anapata faida ya milioni 30 kila mwezi baada ya kulipa mishahara, kodi na matumizi mengine, kwa sasa sijaweza kuona vitabu vyake ila sina shaka itakuwa hata 60, kwakweli biashara yake imepanuka sana na hata wafanyakazi mishahara wameongezewa si kama zamani.

kilichotokea ni kwamba tangu mwaka 2017 huyo ndugu hataki kabisa mawasiliano, hata kwenye misiba haonekani wala sherehe, kwa sasa yupo zaidi na ndugu zake wale wa kijijini.

Yeye bamkubwa alishasema hakusaidia kungoja shukrani ama kunyenyekewa, anapenda mtu awe huru, watoto nao kawaasa sana wasimjengee chuki yoyote wala kumzungumzia vibaya na ndio maana hata kwenye sherehe bado wanamualika (lakini haji)
Poleni.
 
Maisha yaendelee, wamsahau kabisa. Inaonekana Bamkubwa anataka fadhila, mwambie aachane na hiyo biashara.
 
Sisi tuliosoma kwa kuungaunga na kasaidiwa ndo tunaelewa kilicho nyuma ya pazia kwenye hii thread.
Ni kwamba mtu akikusaidia,baadae anahitaji urudishe kile alichokusaidia bila kujali kwamba wewe sasa unamajukumu ya kutunza familia yako.Hata ukimsaidia kwa jinsi ambavyo unaweza haridhiki anahitaji ufanye zaidi ya hapo. Siku akikwambia kuwa anahitaji msaada fulani ukamwambia haupo vizuri financilly bado anaona umemnyima na anakulaumu na hakumbuki kama ulishamsaidia.Kwa kesi ya huyu jamaa anayeongelewa hapa itakuwa ni mambo kama hayo sasa ameamua kuwa kimya na kujitenga.
Wito wangu kwa wazazi,komaa msomeshe mwanao ili asije akapitia hii hali.Na wewe ndugu usimsaidie mtu kwamba atakuja kukulipa baadae,msaidie kwamba baadae aweze kujitegemea na kama atakupa chochote basi ridhika nacho nasio kwenda unamuanika kwa watu.
 
Bamkubwa wangu aliweza kumsomesha ndugu yake aliekuja nyumbani kwake kutoka kijijini, aliweza kumsomesha form 1 hadi chuo na kumtaftia kazi.

kijana huyo aliweza kupokelewa vizuri na kuwa sehemu ya familia, yani kuanzia bamkubwa, mke wake, watoto wao watano na wengine kwenye nyumba waliishi nae vizuri sana, walikiwa marafiki sana na mtoto mojawapo wa kiume wa bamkubwa, walisoma shule moja form 1 hadi form 6 kasoro chuoni, walikuwa mabesti sana.

sasa baada ya kumaliza chuo bamkubwa alimtaftia connection ya kazi huyo ndugu sambamba na mtoto wake, ni kazi walifanya kama miaka miwili hivi huku urafiki ukiwa safi tu, kipindi hiki bamkubwa aliwapa wote nyumba za kuishi sababu bamkubwa huwa anajenga nyumba na kuzikodisha.

sasa ikatokea ile kazi ikaisha, bamkubea akampigia connection yule ndugu yake kupata kazi shirika flan la serikali kile kipindi cha Kikwete 2015 kazi za connection, alikuwa anavuta 1.8 milion baada ya makato kila mwezi na posho si haba, kwa sasa kapandishwa daraja mshahara utakuwa mkubwa zaidi.

Kwa huyu mtoto wa bamkubwa akasema yeye ajira hataki, alianza biashara kwa kusua sua kwa miaka ile miwili ila akawa mzoefu na comnection za mzee zikamsaidia, 2019 niliweza kujiridhisha kwenye vitabu vyake na financial statements anapata faida ya milioni 30 kila mwezi baada ya kulipa mishahara, kodi na matumizi mengine, kwa sasa sijaweza kuona vitabu vyake ila sina shaka itakuwa hata 60, kwakweli biashara yake imepanuka sana na hata wafanyakazi mishahara wameongezewa si kama zamani.

kilichotokea ni kwamba tangu mwaka 2017 huyo ndugu hataki kabisa mawasiliano, hata kwenye misiba haonekani wala sherehe, kwa sasa yupo zaidi na ndugu zake wale wa kijijini.

Yeye bamkubwa alishasema hakusaidia kungoja shukrani ama kunyenyekewa, anapenda mtu awe huru, watoto nao kawaasa sana wasimjengee chuki yoyote wala kumzungumzia vibaya na ndio maana hata kwenye sherehe bado wanamualika (lakini haji)
Ni maamuzi yake wao wasomeshe na wao pia
 
SI SAWA

Ila hawakuandikishana mkataba kuwa ni lazima aje amsaidie kwahiyo asilaumu maana msaada hauhitaji Asante ya lazima na ukifanya wema usingoje shukurani na hakuna lolote litamkuta huyo kijana mwenye kazi maana hajadhurumu haki ya mtu

Mpwayungu Village
Hata tabia mbaya udhurumu, kushindwa kushukuru ni dhulima pia vitabu vya dini vimetufudisha kushukuru na kunyenyekea je? Unadhan bamkubwa nayeye asinge poteza hela zake kusomesha punda Kwan angepatwa na nn? Je unadhan bamkubwa hakuona bia za baridi? Je bamkubwa hakuona suti nzuri kipindi hicho
 
Kulikuw na makubaliano ya kumlipa fadhila kabla ya kumsomesha.tuanzie hapo lakini angalizo kwa ndugu wazaz na rafiki tuache tabia ya kutegemea msaada mara baada ya kusomesha watoto wetu kwasabab huo n wajibu wa mzazi,wewe ndugu na mzaz tafuta kwa juhud hasa ukiwa kijana ili uzeeni ufanye yako kwa raha na sio kulia misaada ya fedha hasa kwa wale uliowasaidia..
Lengo la kutoa msaada ni pamoja na kutendewa mema baadae kama uliyotenda ww, ndo maana dini zinasema usiwatendee watu mambo ambayo usingependa kutendewa ww, tukienda hvo hata ww watoto wako kesho haupo watabaki mitaani kama mbwa sababu hawatokua na hayo makubaliano ya et kulipa fadhila wakisaidiwa
 
Hata tabia mbaya udhurumu, kushindwa kushukuru ni dhulima pia vitabu vya dini vimetufudisha kushukuru na kunyenyekea je? Unadhan bamkubwa nayeye asinge poteza hela zake kusomesha punda Kwan angepatwa na nn? Je unadhan bamkubwa hakuona bia za baridi? Je bamkubwa hakuona suti nzuri kipindi hicho
Waambie waende mahakamani kudai haki ya matunzo na mafadhila kama ipo kisheria la sivyo hivyo vijamaa vitaishia kulaani tuu dua la kuku....

Wakati yeye mnamsaidia tena kwa kumsimanga mitoto yenu ilikuwa ikidekezwa na kula raha sasa jamaa kakomaa kwa shida baada ya kutoka mnataka kumfanya kitegauchumi shenzi type mizazi yenye hulka hii. Pita kule nayo kabisa kizazi cha laana nyie.....
 
Waambie waende mahakamani kudai haki ya matunzo na mafadhila kama ipo kisheria la sivyo hivyo vijamaa vitaishia kulaani tuu dua la kuku....

Wakati yeye mnamsaidia tena kwa kumsimanga mitoto yenu ilikuwa ikidekezwa na kula raha sasa jamaa kakomaa kwa shida baada ya kutoka mnataka kumfanya kitegauchumi shenzi type mizazi yenye hulka hii. Pita kule nayo kabisa kizazi cha laana nyie.....
Eehhh uko broke ama? Unabwia unga au Bangi?
 
Eehhh uko broke ama? Unabwia unga au Bangi?
HSIRAJI ! Naomba wewe usiniattack personality! Wewe mpe ushauri wako ila mimi nimemwambia awapotezee! Sasa naona wewe unanidhalilisha kwa nini sasa dadangu!
 
HSIRAJI ! Naomba wewe usiniattack personality! Wewe mpe ushauri wako ila mimi nimemwambia awapotezee! Sasa naona wewe unanidhalilisha kwa nini sasa dadangu!
We ndo umeanza kuita watu kizaz Cha laana kwenye bandiko lako, so tutumie lugha safi Kwa manufaa ya wote
 
Back
Top Bottom