Ndugu Faustine Ndugulile tafadhali 'Usitusaliti' na usikubali huo 'Ushawishi' unaopewa ili Namba Tatu agombee

Hahahaha πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Niliwahi kusikia fununu kwamba wakati akiwa arasii kuna kipindi alikua anajihisi ni mkubwa kimamlaka kuliko mama
 
Na Mama Namba Mbili 'Kikatiba' nae simwelewi kwani huyu Kijana ( Kubwa Jinga ) alikuwa 'hamuheshimu' leo anataka Kumsaidia na Kumbeba pia.
Kama kweli anamsumbua kwa simu ni dalili tosha ya utovu wa nidhamu, natamani mama amuache apambane na hali yake
 
Akikubali imekula kwake Kama Kalanga wa monduli alidanganywa atalipiwa madeni yake akiiunga juhudi baada ya kuunga wamemwacha apambane na madeni yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…