PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
Hahahaha ππππJumamosi ni siku mbaya sana kwa wana CCM, hofu imewatanda katika nyoyo zao. Siku ambayo chama kinaweza kikaendelea kujikongoja au ndio siku chama kinavunjika zaidi ya 2015.
Meku huko alipo hapati usingizi, maana alivyojiachia na kulewa uongozi alijua Oktoba haitofika milele.
And nothing will happen whatsoeverMkuu kinachoonekana walioshindwa kura za maoni watapitishwa kama ilivyotokea leo kwa madiwani.
Niliwahi kusikia fununu kwamba wakati akiwa arasii kuna kipindi alikua anajihisi ni mkubwa kimamlaka kuliko mamaTaarifa za uhakika kutoka chanzo cha ndani kabisa zinasema Bashite alikuwa akimsumbua mama jana Jumanne wakiwa kwenye kikao Chamwino Ikulu.
Mpaka kikao kinaisha majira ya saa2 usiku bado Bashite alikuwa akipiga simu kumuuliza mama imekuwaje.
Hivi hizi harakati za chama ndo zifanyikie ikulu yetu takatifu?
Dathalam is theiiffNamba tatu ndo nani huyo?
Naibu rais, alikuwa anasema ana power kubwa, akitoka jiwe anafuata yeyeNiliwahi kusikia fununu kwamba wakati akiwa arasii kuna kipindi alikua anajihisi ni mkubwa kimamlaka kuliko mama
Kama kweli anamsumbua kwa simu ni dalili tosha ya utovu wa nidhamu, natamani mama amuache apambane na hali yakeNa Mama Namba Mbili 'Kikatiba' nae simwelewi kwani huyu Kijana ( Kubwa Jinga ) alikuwa 'hamuheshimu' leo anataka Kumsaidia na Kumbeba pia.
Atamuachaje kwa mfano?Habari za chinichini Mzee kapitisha nasikia...View attachment 1542238
Akikubali imekula kwake Kama Kalanga wa monduli alidanganywa atalipiwa madeni yake akiiunga juhudi baada ya kuunga wamemwacha apambane na madeni yakeHao Watu wawili tena 'Waandamizi' kabisa wanaotumwa Kwako mara kwa mara kuja 'Kukushawishi' kuwa umuachie Namba Tatu 'agombee' hilo Jimbo na kwamba Wewe 'Utateuliwa' ama kuwa Balozi au Mbunge waambie kuwa Kamati ya Roho Mbaya ya CCM Jimbo la Kigamboni 'itashawishi' Wana CCM wote wampigie 'Kura' Mgombea wa CHADEMA na CCM 'itaanguka' vibaya sana.
Hao Watu wawili wameshajulikana na nakuomba waambie kuwa kama Namba Tatu anataka huo Ubunge asubirie hadi 'Babaake' amteue Novemba.