Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo sahihi CHONGOLO juzi kakutana nazo kautema UKATIBU MKUU wa CCMSiasa za majitaka ni mbinu ya kawaida kabisa katika siasa zote za ushindani duniani, hazikuanza na Mwakyembe wala hazitaisha naye.
Huyo Mwakyembe pia kumbuka alilishwa sumu na marehemu,ila marehemu katanguliaNi salaam tu fupi ,kwa ndugu yangu Harrison mwakyembe ,jamaa mmoja hivi aliyepata umaarufu mkubwa sana kwenye siasa za chuki na visasi ,Harrison mwakyembe wakati erdward lowassa ni waziri mkuu ,alikuwa kiongozi wa kundi maalum ambalo kazi yake kubwa ilikuwa ni kumharibia mheshimiwa erdward lowassa nafasi yake ya uwaziri mkuu ,na heshima yake pia .Harrison mwakyembe alikuwa akitarajia huenda angepata yeye hiyo nafasi lakini mungu akampa mizengo pinda! Tangia hapo lowassa alikuwa mtu mwenye msononeko mkubwa sana !erdward lowassa amelala sasa lakini moyo wake unamatundu yaliyotobolewa na siasa za visa za akina Harrison mwakyembe! Namsisitiza tu ndugu Harrison mwakyembe kwamba tafadhali nenda monduli ukaliguse hata jeneza la ndugu lowassa huenda utakuwa na amani,maana najua tangia miaka ile mlipoamua kumfanyia figisu zote hizo mambo yenu hayajawahi kunyooka ! Shujaa amelala taifa linaomboleza ,lakini mioyo inawasuta sana maadui wa lowassa ,
Yule ni mnafiki Mwandamizi. Mbona anatafanya .. Hana haya wala soniNasubiri kumsikiliza maneno ya kumuaga hayati toka kwa Jakaya, kisha nimtazame akiwa ameshika mic
Hivi Mbowe,Lissu,Slaa,Mnyika nk ni nani haswa walitulisha matango pori katika list of shaame?Mwaky mbe alitulisha ma tango pori kwa mbwe mbwe na madaha.. nasisi tilivuo majuha tukashangiliq bila kitafakari!
Unafikiri atashindaa kuongea owz ajili ya nyie wzpuuzi na wanafiki na wazushi?!!! Yupo kimya si kwz sababu hana majibu yenu, ni kwasababu haoni haja ya kuwajibu vichaa!Nasubiri kumsikiliza maneno ya kumuaga hayati toka kwa Jakaya, kisha nimtazame akiwa ameshika mic
alikuwa kiongozi wa kundi maalum ambalo kazi yake kubwa ilikuwa ni kumharibia Edward Lowassa nafasi yake ya uwaziri mkuu, na heshima yake pia.Ni salaam tu fupi kwa ndugu yangu Harrison Mwakyembe, jamaa mmoja hivi aliyepata umaarufu mkubwa sana kwenye siasa za chuki na visasi. Harrison Mwakyembe, wakati Edward Lowassa ni Waziri Mkuu, alikuwa kiongozi wa kundi maalum ambalo kazi yake kubwa ilikuwa ni kumharibia Edward Lowassa nafasi yake ya uwaziri mkuu, na heshima yake pia.
Harrison Mwakyembe alikuwa akitarajia huenda angepata yeye hiyo nafasi lakini Mungu akampa Mizengo Pinda! Tangia hapo Lowassa alikuwa mtu mwenye msononeko mkubwa sana! Edward Lowassa amelala sasa lakini moyo wake unamatundu yaliyotobolewa na siasa za visa za akina Harrison Mwakyembe!
Namsisitiza tu ndugu Harrison Mwakyembe kwamba tafadhali nenda Monduli ukaliguse hata jeneza la ndugu Lowassa, huenda utakuwa na amani, maana najua tangia miaka ile mlipoamua kumfanyia figisu zote hizo mambo yenu hayajawahi kunyooka! Shujaa amelala, taifa linaomboleza, lakini mioyo inawasuta sana maadui wa Lowassa.
Alifanya vile kwa maelekezo ya kumkinga bwana mkubwa. Nakumbuka ilikuwa February 2008 na uchaguzi uliofuata wa 2010 viongozi wote waandamizi walimsusia bwana mkubwa ule uchaguzi na familia yake ndio ilizunguka nchi nzima kumfanyia kampeni. Isingekuwa TISS Leo hii ungekuwa tunaongelea mageuzi makubwa ya kisiasa kutokea nchiniMwaky mbe alitulisha ma tango pori kwa mbwe mbwe na madaha.. nasisi tilivuo majuha tukashangiliq bila kitafakari!
Hata Ile misheni yao ya kufichua mambo ya ushoga niliitilia mashaka sana na Bado naitilia mashaka sanaaaaa...ukitaka Ngoma ivume lazima uipigeNi salaam tu fupi kwa ndugu yangu Harrison Mwakyembe, jamaa mmoja hivi aliyepata umaarufu mkubwa sana kwenye siasa za chuki na visasi. Harrison Mwakyembe, wakati Edward Lowassa ni Waziri Mkuu, alikuwa kiongozi wa kundi maalum ambalo kazi yake kubwa ilikuwa ni kumharibia Edward Lowassa nafasi yake ya uwaziri mkuu, na heshima yake pia.
Harrison Mwakyembe alikuwa akitarajia huenda angepata yeye hiyo nafasi lakini Mungu akampa Mizengo Pinda! Tangia hapo Lowassa alikuwa mtu mwenye msononeko mkubwa sana! Edward Lowassa amelala sasa lakini moyo wake unamatundu yaliyotobolewa na siasa za visa za akina Harrison Mwakyembe!
Namsisitiza tu ndugu Harrison Mwakyembe kwamba tafadhali nenda Monduli ukaliguse hata jeneza la ndugu Lowassa, huenda utakuwa na amani, maana najua tangia miaka ile mlipoamua kumfanyia figisu zote hizo mambo yenu hayajawahi kunyooka! Shujaa amelala, taifa linaomboleza, lakini mioyo inawasuta sana maadui wa Lowassa.
Lowassa ndio alileta shule za sekondari kila kata nchi nzima. Lowassa kawaletea wasukuma maji ambayo tuliaminishwa hatuna haki ya kuyanywa kwani tukiyanywa wamisri watakosa maji.Alirudisha nyuma sana taifa huyu Lowassa , Mwakyembe ni shujaa kabisa
Kwanini mwakyembe tuu na sio wanasiasa wa harakati wa kipindi kile akina ZZK, akina wilbroad slaa akina Chacha wangwe maana hawa ndo waliliamsha dude. Mwakyembe najua madhaifu yake mengi ila kwa hili alitekeleza majukumu yakeNi salaam tu fupi kwa ndugu yangu Harrison Mwakyembe, jamaa mmoja hivi aliyepata umaarufu mkubwa sana kwenye siasa za chuki na visasi. Harrison Mwakyembe, wakati Edward Lowassa ni Waziri Mkuu, alikuwa kiongozi wa kundi maalum ambalo kazi yake kubwa ilikuwa ni kumharibia Edward Lowassa nafasi yake ya uwaziri mkuu, na heshima yake pia.
Harrison Mwakyembe alikuwa akitarajia huenda angepata yeye hiyo nafasi lakini Mungu akampa Mizengo Pinda! Tangia hapo Lowassa alikuwa mtu mwenye msononeko mkubwa sana! Edward Lowassa amelala sasa lakini moyo wake unamatundu yaliyotobolewa na siasa za visa za akina Harrison Mwakyembe!
Namsisitiza tu ndugu Harrison Mwakyembe kwamba tafadhali nenda Monduli ukaliguse hata jeneza la ndugu Lowassa, huenda utakuwa na amani, maana najua tangia miaka ile mlipoamua kumfanyia figisu zote hizo mambo yenu hayajawahi kunyooka! Shujaa amelala, taifa linaomboleza, lakini mioyo inawasuta sana maadui wa Lowassa.
Ni kweli kwa shule za kata sifa ziende kwa lowasa kwa hilo la maji pia... ila haya mawili ndio yanamfanya kuwa mwema kiasi cha kumpa lawama mwakyembeLowassa ndio alileta shule za sekondari kila kata nchi nzima. Lowassa kawaletea wasukuma maji ambayo tuliaminishwa hatuna haki ya kuyanywa kwani tukiyanywa wamisri watakosa maji.
RIP Shujaa.
Nilijua lazima uje kumtetea mume wako😜Unafikiri atashindaa kuongea owz ajili ya nyie wzpuuzi na wanafiki na wazushi?!!! Yupo kimya si kwz sababu hana majibu yenu, ni kwasababu haoni haja ya kuwajibu vichaa!