Ndugu Harrison Mwakyembe tafadhali tukutane Monduli kwenye mazishi ya shujaa Edward Lowassa!

Ndugu Harrison Mwakyembe tafadhali tukutane Monduli kwenye mazishi ya shujaa Edward Lowassa!

Alifanya vile kwa maelekezo ya kumkinga bwana mkubwa. Nakumbuka ilikuwa February 2008 na uchaguzi uliofuata wa 2010 viongozi wote waandamizi walimsusia bwana mkubwa ule uchaguzi na familia yake ndio ilizunguka nchi nzima kumfanyia kampeni. Isingekuwa TISS Leo hii ungekuwa tunaongelea mageuzi makubwa ya kisiasa kutokea nchini

Sasa huoni kama huyo Bwana mkubwa ni mwamba, watu wote wakususie uchaguzi eti TISS wabaki peke yao na wewe halafu ushinde uchaguzi, 2010 huyo jamaa alishinda kihalali kabisa.

Huyo Bwana mkubwa unayemsema ndiye Bwana mipango mwenyewe refer 1995 pale chimwaga umri Ile na ujasiri wa kuutaka Urais na Ile speech iliyomfanya JK Nyerere asimame kumpa mkono na kumkumbatia.

Kifupi tumuombee Marehemu kwenye safari yake mpya, huku kwenye mtifuano wa Urais hakuwa na nguvu kumdhidi yule jamaa wa Saigon.
 
Ni salaam tu fupi kwa ndugu yangu Harrison Mwakyembe, jamaa mmoja hivi aliyepata umaarufu mkubwa sana kwenye siasa za chuki na visasi. Harrison Mwakyembe, wakati Edward Lowassa ni Waziri Mkuu, alikuwa kiongozi wa kundi maalum ambalo kazi yake kubwa ilikuwa ni kumharibia Edward Lowassa nafasi yake ya uwaziri mkuu, na heshima yake pia.

Harrison Mwakyembe alikuwa akitarajia huenda angepata yeye hiyo nafasi lakini Mungu akampa Mizengo Pinda! Tangia hapo Lowassa alikuwa mtu mwenye msononeko mkubwa sana! Edward Lowassa amelala sasa lakini moyo wake unamatundu yaliyotobolewa na siasa za visa za akina Harrison Mwakyembe!

Namsisitiza tu ndugu Harrison Mwakyembe kwamba tafadhali nenda Monduli ukaliguse hata jeneza la ndugu Lowassa, huenda utakuwa na amani, maana najua tangia miaka ile mlipoamua kumfanyia figisu zote hizo mambo yenu hayajawahi kunyooka! Shujaa amelala, taifa linaomboleza, lakini mioyo inawasuta sana maadui wa Lowassa.
Kweli duniani kuna mambo ya ajabu. Harrison Mwakyembe aliteuliwa auchunguze mkataba wa Richmond na TANESCO akafanya hivyo. Je alitakiwa akatae kazi aliyopewa na bunge? Akatoa ripoti ya Uchunguzi kuonyesha alichogundua. Nakumbuka wajumbe wa Tume waliapa kuwa ikiwa mtu yeyote ndani au nje ya bunge angegundua jambo lolote la uongo ndani ya ripoti basi wajumbe wote wangejiuzulu nafasi zao zote za uongozi ndani ya bunge serikali chama. Sasa baada ya ripoti kujadiliwa yakatokea yaliyotokea. Sasa kosa la Mwakyembe ni lipi? Kuongoza tume? Au alitakiwa asiandike vilivyogunduliwa?
 
Ni salaam tu fupi kwa ndugu yangu Harrison Mwakyembe, jamaa mmoja hivi aliyepata umaarufu mkubwa sana kwenye siasa za chuki na visasi. Harrison Mwakyembe, wakati Edward Lowassa ni Waziri Mkuu, alikuwa kiongozi wa kundi maalum ambalo kazi yake kubwa ilikuwa ni kumharibia Edward Lowassa nafasi yake ya uwaziri mkuu, na heshima yake pia.

Harrison Mwakyembe alikuwa akitarajia huenda angepata yeye hiyo nafasi lakini Mungu akampa Mizengo Pinda! Tangia hapo Lowassa alikuwa mtu mwenye msononeko mkubwa sana! Edward Lowassa amelala sasa lakini moyo wake unamatundu yaliyotobolewa na siasa za visa za akina Harrison Mwakyembe!

Namsisitiza tu ndugu Harrison Mwakyembe kwamba tafadhali nenda Monduli ukaliguse hata jeneza la ndugu Lowassa, huenda utakuwa na amani, maana najua tangia miaka ile mlipoamua kumfanyia figisu zote hizo mambo yenu hayajawahi kunyooka! Shujaa amelala, taifa linaomboleza, lakini mioyo inawasuta sana maadui wa Lowassa.
Kwa maelezo hayo, nimeamini kweli Dk. Mwakyembe ni Mwamba!
 
Ni salaam tu fupi kwa ndugu yangu Harrison Mwakyembe, jamaa mmoja hivi aliyepata umaarufu mkubwa sana kwenye siasa za chuki na visasi. Harrison Mwakyembe, wakati Edward Lowassa ni Waziri Mkuu, alikuwa kiongozi wa kundi maalum ambalo kazi yake kubwa ilikuwa ni kumharibia Edward Lowassa nafasi yake ya uwaziri mkuu, na heshima yake pia.

Harrison Mwakyembe alikuwa akitarajia huenda angepata yeye hiyo nafasi lakini Mungu akampa Mizengo Pinda! Tangia hapo Lowassa alikuwa mtu mwenye msononeko mkubwa sana! Edward Lowassa amelala sasa lakini moyo wake unamatundu yaliyotobolewa na siasa za visa za akina Harrison Mwakyembe!

Namsisitiza tu ndugu Harrison Mwakyembe kwamba tafadhali nenda Monduli ukaliguse hata jeneza la ndugu Lowassa, huenda utakuwa na amani, maana najua tangia miaka ile mlipoamua kumfanyia figisu zote hizo mambo yenu hayajawahi kunyooka! Shujaa amelala, taifa linaomboleza, lakini mioyo inawasuta sana maadui wa Lowassa.
Jamaa alinibowa pale kwenye kampeni za uchaguzi mwaka 2020 alipomuambia mtu wa darasa la Saba kuwa yeye ana degree 4.

Huyu Mwakyembe alisoma shule lakini HAKUELIMIKA
 
Nasubiri kumsikiliza maneno ya kumuaga hayati toka kwa Jakaya, kisha nimtazame akiwa ameshika mic
JK ni mnafiki tu. Kimsingi hastahili kusogelea karibu na jeneza la EL. Hebu tuishi na maneno ya Hussein Bashe hapa ya mwaka 2019
IMG-20240210-WA0066.jpg
 
CCM kuwa na minyukano ni jambo la kawaida hata Lowassa kuna watu/kundi la watu alikuwa anawanyuka na ndio maana akawa na mafanikio CCM
Minyukano ya ccm ndio uhai wao...jamaa niliwakubali walipotuzuga na vua gamba ..ni km wanagombana kumbe ndio wanawekana sawa
 
Back
Top Bottom