Tulishawasamehe ,!Hivi Mbowe,Lissu,Slaa,Mnyika nk ni nani haswa walitulisha matango pori katika list of shaame?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulishawasamehe ,!Hivi Mbowe,Lissu,Slaa,Mnyika nk ni nani haswa walitulisha matango pori katika list of shaame?
Kiparalizationsumu aina gani alilishwa?
hii sijawai isikia.Kiparalization
Jamaa nywele zote zilipukutikahii sijawai isikia.
noma sanaJamaa nywele zote zilipukutika
Hivi kuna kulazimishana kwenda kwenye misibaNi salaam tu fupi kwa ndugu yangu Harrison Mwakyembe, jamaa mmoja hivi aliyepata umaarufu mkubwa sana kwenye siasa za chuki na visasi. Harrison Mwakyembe, wakati Edward Lowassa ni Waziri Mkuu, alikuwa kiongozi wa kundi maalum ambalo kazi yake kubwa ilikuwa ni kumharibia Edward Lowassa nafasi yake ya uwaziri mkuu, na heshima yake pia.
Harrison Mwakyembe alikuwa akitarajia huenda angepata yeye hiyo nafasi lakini Mungu akampa Mizengo Pinda! Tangia hapo Lowassa alikuwa mtu mwenye msononeko mkubwa sana! Edward Lowassa amelala sasa lakini moyo wake unamatundu yaliyotobolewa na siasa za visa za akina Harrison Mwakyembe!
Namsisitiza tu ndugu Harrison Mwakyembe kwamba tafadhali nenda Monduli ukaliguse hata jeneza la ndugu Lowassa, huenda utakuwa na amani, maana najua tangia miaka ile mlipoamua kumfanyia figisu zote hizo mambo yenu hayajawahi kunyooka! Shujaa amelala, taifa linaomboleza, lakini mioyo inawasuta sana maadui wa Lowassa.
Wakwere hawana aibu,wana msemo wao "aibu utaona wewe"Nasubiri kumsikiliza maneno ya kumuaga hayati toka kwa Jakaya, kisha nimtazame akiwa ameshika mic
Mwakyembe kibaraka wa Samuel SittaNi salaam tu fupi kwa ndugu yangu Harrison Mwakyembe, jamaa mmoja hivi aliyepata umaarufu mkubwa sana kwenye siasa za chuki na visasi. Harrison Mwakyembe, wakati Edward Lowassa ni Waziri Mkuu, alikuwa kiongozi wa kundi maalum ambalo kazi yake kubwa ilikuwa ni kumharibia Edward Lowassa nafasi yake ya uwaziri mkuu, na heshima yake pia.
Harrison Mwakyembe alikuwa akitarajia huenda angepata yeye hiyo nafasi lakini Mungu akampa Mizengo Pinda! Tangia hapo Lowassa alikuwa mtu mwenye msononeko mkubwa sana! Edward Lowassa amelala sasa lakini moyo wake unamatundu yaliyotobolewa na siasa za visa za akina Harrison Mwakyembe!
Namsisitiza tu ndugu Harrison Mwakyembe kwamba tafadhali nenda Monduli ukaliguse hata jeneza la ndugu Lowassa, huenda utakuwa na amani, maana najua tangia miaka ile mlipoamua kumfanyia figisu zote hizo mambo yenu hayajawahi kunyooka! Shujaa amelala, taifa linaomboleza, lakini mioyo inawasuta sana maadui wa Lowassa.
Mkuu mbona unayemsema alishaonja sehemu ya malipo yake, bado amalizie sehemu iliyobaki!Ni salaam tu fupi kwa ndugu yangu Harrison Mwakyembe, jamaa mmoja hivi aliyepata umaarufu mkubwa sana kwenye siasa za chuki na visasi. Harrison Mwakyembe, wakati Edward Lowassa ni Waziri Mkuu, alikuwa kiongozi wa kundi maalum ambalo kazi yake kubwa ilikuwa ni kumharibia Edward Lowassa nafasi yake ya uwaziri mkuu, na heshima yake pia.
Harrison Mwakyembe alikuwa akitarajia huenda angepata yeye hiyo nafasi lakini Mungu akampa Mizengo Pinda! Tangia hapo Lowassa alikuwa mtu mwenye msononeko mkubwa sana! Edward Lowassa amelala sasa lakini moyo wake unamatundu yaliyotobolewa na siasa za visa za akina Harrison Mwakyembe!
Namsisitiza tu ndugu Harrison Mwakyembe kwamba tafadhali nenda Monduli ukaliguse hata jeneza la ndugu Lowassa, huenda utakuwa na amani, maana najua tangia miaka ile mlipoamua kumfanyia figisu zote hizo mambo yenu hayajawahi kunyooka! Shujaa amelala, taifa linaomboleza, lakini mioyo inawasuta sana maadui wa Lowassa.
Shida aliyopata Lowassa ni Shida ya CCM yote, CCM tanuru la moto...alikuwa kiongozi wa kundi maalum ambalo kazi yake kubwa ilikuwa ni kumharibia Edward Lowassa nafasi yake ya uwaziri mkuu, na heshima yake pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pamoja na mwenzie, Eng Stella Manyanya (Mb). Siwapendi hadi leoMwaky mbe alitulisha ma tango pori kwa mbwe mbwe na madaha.. nasisi tilivuo majuha tukashangiliq bila kitafakari!
Sasa Mwakyembe Kama mlume kweli aende kuzika Monduli.Ni kweli kwa shule za kata sifa ziende kwa lowasa kwa hilo la maji pia... ila haya mawili ndio yanamfanya kuwa mwema kiasi cha kumpa lawama mwakyembe
Achana na wanafiki mkuuKweli duniani kuna mambo ya ajabu. Harrison Mwakyembe aliteuliwa auchunguze mkataba wa Richmond na TANESCO akafanya hivyo. Je alitakiwa akatae kazi aliyopewa na bunge? Akatoa ripoti ya Uchunguzi kuonyesha alichogundua. Nakumbuka wajumbe wa Tume waliapa kuwa ikiwa mtu yeyote ndani au nje ya bunge angegundua jambo lolote la uongo ndani ya ripoti basi wajumbe wote wangejiuzulu nafasi zao zote za uongozi ndani ya bunge serikali chama. Sasa baada ya ripoti kujadiliwa yakatokea yaliyotokea. Sasa kosa la Mwakyembe ni lipi? Kuongoza tume? Au alitakiwa asiandike vilivyogunduliwa?
Bashe ni nani bhana zaidi ya kuwa chawa wa marehemu, Jakaya ana mazuri yake piaJK ni mnafiki tu. Kimsingi hastahili kusogelea karibu na jeneza la EL. Hebu tuishi na maneno ya Hussein Bashe hapa ya mwaka 2019View attachment 2900430
Hapo mwehu anakuwa basheWakwere hawana aibu,wana msemo wao "aibu utaona wewe"View attachment 2900977
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
Hamna kitu... mbona kwa JPM alijichanganya... bahati mzee Ruksa akabalansi mzani kwa kuwachekesha waombolezaji... lakini mkwere alijichanganya kwenye speechJK anajua kupanga maneno, atawashangaza watu
Nenda kapate chakula cha usiku uimarishe afya ya akiliBashe ni nani bhana zaidi ya kuwa chawa wa marehemu, Jakaya ana mazuri yake pia