Ndugu Harrison Mwakyembe tafadhali tukutane Monduli kwenye mazishi ya shujaa Edward Lowassa!

Ndugu Harrison Mwakyembe tafadhali tukutane Monduli kwenye mazishi ya shujaa Edward Lowassa!

Ni salaam tu fupi kwa ndugu yangu Harrison Mwakyembe, jamaa mmoja hivi aliyepata umaarufu mkubwa sana kwenye siasa za chuki na visasi. Harrison Mwakyembe, wakati Edward Lowassa ni Waziri Mkuu, alikuwa kiongozi wa kundi maalum ambalo kazi yake kubwa ilikuwa ni kumharibia Edward Lowassa nafasi yake ya uwaziri mkuu, na heshima yake pia.

Harrison Mwakyembe alikuwa akitarajia huenda angepata yeye hiyo nafasi lakini Mungu akampa Mizengo Pinda! Tangia hapo Lowassa alikuwa mtu mwenye msononeko mkubwa sana! Edward Lowassa amelala sasa lakini moyo wake unamatundu yaliyotobolewa na siasa za visa za akina Harrison Mwakyembe!

Namsisitiza tu ndugu Harrison Mwakyembe kwamba tafadhali nenda Monduli ukaliguse hata jeneza la ndugu Lowassa, huenda utakuwa na amani, maana najua tangia miaka ile mlipoamua kumfanyia figisu zote hizo mambo yenu hayajawahi kunyooka! Shujaa amelala, taifa linaomboleza, lakini mioyo inawasuta sana maadui wa Lowassa.
Hivi kuna kulazimishana kwenda kwenye misiba
 
Nasubiri kumsikiliza maneno ya kumuaga hayati toka kwa Jakaya, kisha nimtazame akiwa ameshika mic
Wakwere hawana aibu,wana msemo wao "aibu utaona wewe"
FB_IMG_17075915849842605.jpg


Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
 
Ni salaam tu fupi kwa ndugu yangu Harrison Mwakyembe, jamaa mmoja hivi aliyepata umaarufu mkubwa sana kwenye siasa za chuki na visasi. Harrison Mwakyembe, wakati Edward Lowassa ni Waziri Mkuu, alikuwa kiongozi wa kundi maalum ambalo kazi yake kubwa ilikuwa ni kumharibia Edward Lowassa nafasi yake ya uwaziri mkuu, na heshima yake pia.

Harrison Mwakyembe alikuwa akitarajia huenda angepata yeye hiyo nafasi lakini Mungu akampa Mizengo Pinda! Tangia hapo Lowassa alikuwa mtu mwenye msononeko mkubwa sana! Edward Lowassa amelala sasa lakini moyo wake unamatundu yaliyotobolewa na siasa za visa za akina Harrison Mwakyembe!

Namsisitiza tu ndugu Harrison Mwakyembe kwamba tafadhali nenda Monduli ukaliguse hata jeneza la ndugu Lowassa, huenda utakuwa na amani, maana najua tangia miaka ile mlipoamua kumfanyia figisu zote hizo mambo yenu hayajawahi kunyooka! Shujaa amelala, taifa linaomboleza, lakini mioyo inawasuta sana maadui wa Lowassa.
Mwakyembe kibaraka wa Samuel Sitta
 
Ni salaam tu fupi kwa ndugu yangu Harrison Mwakyembe, jamaa mmoja hivi aliyepata umaarufu mkubwa sana kwenye siasa za chuki na visasi. Harrison Mwakyembe, wakati Edward Lowassa ni Waziri Mkuu, alikuwa kiongozi wa kundi maalum ambalo kazi yake kubwa ilikuwa ni kumharibia Edward Lowassa nafasi yake ya uwaziri mkuu, na heshima yake pia.

Harrison Mwakyembe alikuwa akitarajia huenda angepata yeye hiyo nafasi lakini Mungu akampa Mizengo Pinda! Tangia hapo Lowassa alikuwa mtu mwenye msononeko mkubwa sana! Edward Lowassa amelala sasa lakini moyo wake unamatundu yaliyotobolewa na siasa za visa za akina Harrison Mwakyembe!

Namsisitiza tu ndugu Harrison Mwakyembe kwamba tafadhali nenda Monduli ukaliguse hata jeneza la ndugu Lowassa, huenda utakuwa na amani, maana najua tangia miaka ile mlipoamua kumfanyia figisu zote hizo mambo yenu hayajawahi kunyooka! Shujaa amelala, taifa linaomboleza, lakini mioyo inawasuta sana maadui wa Lowassa.
Mkuu mbona unayemsema alishaonja sehemu ya malipo yake, bado amalizie sehemu iliyobaki!
 
Ni kweli kwa shule za kata sifa ziende kwa lowasa kwa hilo la maji pia... ila haya mawili ndio yanamfanya kuwa mwema kiasi cha kumpa lawama mwakyembe
Sasa Mwakyembe Kama mlume kweli aende kuzika Monduli.
 
Kweli duniani kuna mambo ya ajabu. Harrison Mwakyembe aliteuliwa auchunguze mkataba wa Richmond na TANESCO akafanya hivyo. Je alitakiwa akatae kazi aliyopewa na bunge? Akatoa ripoti ya Uchunguzi kuonyesha alichogundua. Nakumbuka wajumbe wa Tume waliapa kuwa ikiwa mtu yeyote ndani au nje ya bunge angegundua jambo lolote la uongo ndani ya ripoti basi wajumbe wote wangejiuzulu nafasi zao zote za uongozi ndani ya bunge serikali chama. Sasa baada ya ripoti kujadiliwa yakatokea yaliyotokea. Sasa kosa la Mwakyembe ni lipi? Kuongoza tume? Au alitakiwa asiandike vilivyogunduliwa?
Achana na wanafiki mkuu
 
JK anajua kupanga maneno, atawashangaza watu
Hamna kitu... mbona kwa JPM alijichanganya... bahati mzee Ruksa akabalansi mzani kwa kuwachekesha waombolezaji... lakini mkwere alijichanganya kwenye speech
 
Yani na PhD yake aliamua kujishushia heshima.na ule ugonjwa wa kupukutika sijui uliishia wapi??
 
Back
Top Bottom