Salaam, Shalom!!
Leo naongea na Ndugu Gwajima kama kiongozi na mwakilishi wa wananchi, na SI kama Askofu madhabahuni.
Nimekusikia ukidai na kumtuhumu Ndugu Mpina kuwa mwongo bila kuthibitisha UONGO huo Kwa data na ushahidi kama alioutoa ndugu Mpina hadharani.
Umeenda mbali zaidi na Kutoa LAANA Kwa Ndugu Mpina ukiquote maandiko kuwa " Amelaaniwa mtu ampigaye ndugu yake Kwa Siri" Sasa Mpina na Bashe Wana undugu Gani? Nani aliyepaswa kuitwa kamati ya maadili kati ya Mpina na Bashe? Giza na Nuru lini vimewahi kuchangamana?
Leo umeungwa mkono na mtu aina ya chiembe, hiyo ni dhahiri kuwa umetoka kwenye line ya HAKI.
Ndugu Gwajima, ndugu zako ni wananchi maskini, ndugu zako ni wote wanaamini juu ya HAKI kutawala juu ya nchi,
Ndugu Gwajima huna ndugu CCM, wewe unatambulika una Damu ya Upinzani, na record Bado zipo wazi juu ya uhusika wako wa wazi kumleta Lowwassa CDM, hivyo ninakukumbusha kuwa huna mizizi CCM.
Nikupe taarifa kuwa Wananchi tumekielewa alichokisema ndugu Mpina, na ameyasema hayo Kwa Uzalendo wake Kwa nchi na hakuongozwa na chuki binafsi juu ya Waziri Bashe kama unavyodai.
HOJA zijibiwe Kwa HOJA,
Evidence ipingwe Kwa EVIDENCE SI porojo za kisiasa.
USHAURI: Ndugu Gwajima ,BUSARA ni kunyamaza, ulinyamaza kwenye sakata la DP world na ulieleweka kuliko sasa unavyofungua kinywa kumkemea NABII MPINA.
Amebarikiwa sana NABII MPINA Kwa kuwa amesimama upande wa KWELI na HAKI.
Mungu ibariki nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿, Amen
Source: Uhondo Tv.
Karibuni 🙏
Leo naongea na Ndugu Gwajima kama kiongozi na mwakilishi wa wananchi, na SI kama Askofu madhabahuni.
Nimekusikia ukidai na kumtuhumu Ndugu Mpina kuwa mwongo bila kuthibitisha UONGO huo Kwa data na ushahidi kama alioutoa ndugu Mpina hadharani.
Umeenda mbali zaidi na Kutoa LAANA Kwa Ndugu Mpina ukiquote maandiko kuwa " Amelaaniwa mtu ampigaye ndugu yake Kwa Siri" Sasa Mpina na Bashe Wana undugu Gani? Nani aliyepaswa kuitwa kamati ya maadili kati ya Mpina na Bashe? Giza na Nuru lini vimewahi kuchangamana?
Leo umeungwa mkono na mtu aina ya chiembe, hiyo ni dhahiri kuwa umetoka kwenye line ya HAKI.
Ndugu Gwajima, ndugu zako ni wananchi maskini, ndugu zako ni wote wanaamini juu ya HAKI kutawala juu ya nchi,
Ndugu Gwajima huna ndugu CCM, wewe unatambulika una Damu ya Upinzani, na record Bado zipo wazi juu ya uhusika wako wa wazi kumleta Lowwassa CDM, hivyo ninakukumbusha kuwa huna mizizi CCM.
Nikupe taarifa kuwa Wananchi tumekielewa alichokisema ndugu Mpina, na ameyasema hayo Kwa Uzalendo wake Kwa nchi na hakuongozwa na chuki binafsi juu ya Waziri Bashe kama unavyodai.
HOJA zijibiwe Kwa HOJA,
Evidence ipingwe Kwa EVIDENCE SI porojo za kisiasa.
USHAURI: Ndugu Gwajima ,BUSARA ni kunyamaza, ulinyamaza kwenye sakata la DP world na ulieleweka kuliko sasa unavyofungua kinywa kumkemea NABII MPINA.
Amebarikiwa sana NABII MPINA Kwa kuwa amesimama upande wa KWELI na HAKI.
Mungu ibariki nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿, Amen
Source: Uhondo Tv.
Karibuni 🙏