Ndugu J. Gwajima, ushahidi wa Mpina haujathibitishwa popote, hivyo huna HAKI ya kusema amedanganya

Ndugu J. Gwajima, ushahidi wa Mpina haujathibitishwa popote, hivyo huna HAKI ya kusema amedanganya

Rabbon

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2022
Posts
21,625
Reaction score
33,688
Salaam, Shalom!!

Leo naongea na Ndugu Gwajima kama kiongozi na mwakilishi wa wananchi, na SI kama Askofu madhabahuni.

Nimekusikia ukidai na kumtuhumu Ndugu Mpina kuwa mwongo bila kuthibitisha UONGO huo Kwa data na ushahidi kama alioutoa ndugu Mpina hadharani.

Umeenda mbali zaidi na Kutoa LAANA Kwa Ndugu Mpina ukiquote maandiko kuwa " Amelaaniwa mtu ampigaye ndugu yake Kwa Siri" Sasa Mpina na Bashe Wana undugu Gani? Nani aliyepaswa kuitwa kamati ya maadili kati ya Mpina na Bashe? Giza na Nuru lini vimewahi kuchangamana?

Leo umeungwa mkono na mtu aina ya chiembe, hiyo ni dhahiri kuwa umetoka kwenye line ya HAKI.

Ndugu Gwajima, ndugu zako ni wananchi maskini, ndugu zako ni wote wanaamini juu ya HAKI kutawala juu ya nchi,

Ndugu Gwajima huna ndugu CCM, wewe unatambulika una Damu ya Upinzani, na record Bado zipo wazi juu ya uhusika wako wa wazi kumleta Lowwassa CDM, hivyo ninakukumbusha kuwa huna mizizi CCM.

Nikupe taarifa kuwa Wananchi tumekielewa alichokisema ndugu Mpina, na ameyasema hayo Kwa Uzalendo wake Kwa nchi na hakuongozwa na chuki binafsi juu ya Waziri Bashe kama unavyodai.

HOJA zijibiwe Kwa HOJA,

Evidence ipingwe Kwa EVIDENCE SI porojo za kisiasa.

USHAURI: Ndugu Gwajima ,BUSARA ni kunyamaza, ulinyamaza kwenye sakata la DP world na ulieleweka kuliko sasa unavyofungua kinywa kumkemea NABII MPINA.

Amebarikiwa sana NABII MPINA Kwa kuwa amesimama upande wa KWELI na HAKI.

Mungu ibariki nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿, Amen

Source: Uhondo Tv.

Karibuni 🙏
 
Salaam, Shalom!!

Leo naongea na Ndugu Gwajima kama kiongozi wa wananchi, na SI kama Askofu madhabahuni.

Nimekusikia ukidai na kumtuhumu Ndugu Mpina kuwa mwongo bila kuthibitisha UONGO huo Kwa data na ushahidi kama alioutoa ndugu Mpina hadharani.

Umeenda mbali zaidi na Kutoka LAANA Kwa Ndugu Mpina ukiquote maandiko kuwa " Amelaaniwa mtu ampigaye ndugu yake Kwa Siri" Sasa Mpina na Bashe Wana undugu Gani? Giza na Nuru lini vimewahi kuchangamana?

Leo umeungwa mkono na mtu aina ya chiembe, hiyo ni dhahiri kuwa umetoka kwenye line ya HAKI.

Ndugu Gwajima, ndugu zako ni wananchi maskini, ndugu zako ni wote wanaamini juu ya HAKI kutawala juu ya nchi,

Ndugu Gwajima huna ndugu CCM, wewe unatambulika una Damu ya Upinzani, na record Bado zipo wazi juu ya uhusika wako wa wazi kumleta Lowwassa CDM, hivyo ninakukumbusha kuwa huna mizizi CCM.

Nikupe taarifa kuwa Wananchi tumekielewa alichokisema ndugu Mpina, na ameyasema hayo Kwa Uzalendo wake Kwa nchi na hakuongozwa na chuki binafsi juu ya Waziri Bashe kama unavyodai.

HOJA zijibiwe Kwa HOJA,

Evidence ipingwe Kwa EVIDENCE SI porojo za kisiasa.

USHAURI: Ndugu Gwajima ,BUSARA ni kunyamaza, ulinyamaza kwenye sakata la DP world na ulieleweka kuliko sasa unavyofungua kinywa kumkemea NABII MPINA.

Amebarikiwa sana NABII MPINA Kwa kuwa amesimama upande wa KWELI na HAKI.

Mungu ibariki nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA. Amen

Source: Uhondo Tv.

Karibuni 🙏
Uchawa wa mtu mzima ni tatizo
 
Salaam, Shalom!!

Leo naongea na Ndugu Gwajima kama kiongozi wa wananchi, na SI kama Askofu madhabahuni.

Nimekusikia ukidai na kumtuhumu Ndugu Mpina kuwa mwongo bila kuthibitisha UONGO huo Kwa data na ushahidi kama alioutoa ndugu Mpina hadharani.

Umeenda mbali zaidi na Kutoa LAANA Kwa Ndugu Mpina ukiquote maandiko kuwa " Amelaaniwa mtu ampigaye ndugu yake Kwa Siri" Sasa Mpina na Bashe Wana undugu Gani? Nani aliyepaswa kuitwa kamati ya maadili kati ya Mpina na Bashe? Giza na Nuru lini vimewahi kuchangamana?

Leo umeungwa mkono na mtu aina ya chiembe, hiyo ni dhahiri kuwa umetoka kwenye line ya HAKI.

Ndugu Gwajima, ndugu zako ni wananchi maskini, ndugu zako ni wote wanaamini juu ya HAKI kutawala juu ya nchi,

Ndugu Gwajima huna ndugu CCM, wewe unatambulika una Damu ya Upinzani, na record Bado zipo wazi juu ya uhusika wako wa wazi kumleta Lowwassa CDM, hivyo ninakukumbusha kuwa huna mizizi CCM.

Nikupe taarifa kuwa Wananchi tumekielewa alichokisema ndugu Mpina, na ameyasema hayo Kwa Uzalendo wake Kwa nchi na hakuongozwa na chuki binafsi juu ya Waziri Bashe kama unavyodai.

HOJA zijibiwe Kwa HOJA,

Evidence ipingwe Kwa EVIDENCE SI porojo za kisiasa.

USHAURI: Ndugu Gwajima ,BUSARA ni kunyamaza, ulinyamaza kwenye sakata la DP world na ulieleweka kuliko sasa unavyofungua kinywa kumkemea NABII MPINA.

Amebarikiwa sana NABII MPINA Kwa kuwa amesimama upande wa KWELI na HAKI.

Mungu ibariki nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA. Amen

Source: Uhondo Tv.

Karibuni 🙏
Ushahidi wa mpina haujajadiliwa. Ripoti ya mpina si kitu cha kuzungumzwa na bunge bila weledi kutumika. Machawa na vyeti feki kina gwajima na msukuma wanajua nini ila kukumbuka posho walizopata dubai kabla speaker hajaongoza bunge kuuza bandari zetu.
Umma wa wananchi ukitaka waite wanyonge wanataka ushahidi wa Mpina ufanyiwe uchunguzi na vyombo husika kama bunge limekataa kutekeleza wajibu wake. Ushahidi mkubwa wa wananchi ni kwamba bei ya sukari haikushuka badala yake ilipabda licha ya mabilioni msamaha wa ushuru.
 
Salaam, Shalom!!

Leo naongea na Ndugu Gwajima kama kiongozi wa wananchi, na SI kama Askofu madhabahuni.

Nimekusikia ukidai na kumtuhumu Ndugu Mpina kuwa mwongo bila kuthibitisha UONGO huo Kwa data na ushahidi kama alioutoa ndugu Mpina hadharani.

Umeenda mbali zaidi na Kutoa LAANA Kwa Ndugu Mpina ukiquote maandiko kuwa " Amelaaniwa mtu ampigaye ndugu yake Kwa Siri" Sasa Mpina na Bashe Wana undugu Gani? Nani aliyepaswa kuitwa kamati ya maadili kati ya Mpina na Bashe? Giza na Nuru lini vimewahi kuchangamana?

Leo umeungwa mkono na mtu aina ya chiembe, hiyo ni dhahiri kuwa umetoka kwenye line ya HAKI.

Ndugu Gwajima, ndugu zako ni wananchi maskini, ndugu zako ni wote wanaamini juu ya HAKI kutawala juu ya nchi,

Ndugu Gwajima huna ndugu CCM, wewe unatambulika una Damu ya Upinzani, na record Bado zipo wazi juu ya uhusika wako wa wazi kumleta Lowwassa CDM, hivyo ninakukumbusha kuwa huna mizizi CCM.

Nikupe taarifa kuwa Wananchi tumekielewa alichokisema ndugu Mpina, na ameyasema hayo Kwa Uzalendo wake Kwa nchi na hakuongozwa na chuki binafsi juu ya Waziri Bashe kama unavyodai.

HOJA zijibiwe Kwa HOJA,

Evidence ipingwe Kwa EVIDENCE SI porojo za kisiasa.

USHAURI: Ndugu Gwajima ,BUSARA ni kunyamaza, ulinyamaza kwenye sakata la DP world na ulieleweka kuliko sasa unavyofungua kinywa kumkemea NABII MPINA.

Amebarikiwa sana NABII MPINA Kwa kuwa amesimama upande wa KWELI na HAKI.

Mungu ibariki nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿, Amen

Source: Uhondo Tv.

Karibuni 🙏
Alaaniwe askofu wa mchongo Josephat Gwajima kwa kusimama upande wa mafisadi
 
Ushahidi wa mpina haujajadiliwa. Ripoti ya mpina si kitu cha kuzungumzwa na bunge bila weledi kutumika. Machawa na vyeti feki kina gwajima na msukuma wanajua nini ila kukumbuka posho walizopata dubai kabla speaker hajaongoza bunge kuuza bandari zetu.
Umma wa wananchi ukitaka waite wanyonge wanataka ushahidi wa Mpina ufanyiwe uchunguzi na vyombo husika kama bunge limekataa kutekeleza wajibu wake.
Tunataka Tume HURU iundwe kuchunguza na kuthibitisha UONGO au ukweli wa HOJA za ndugu Mpina.

Sisi sio wajinga kwamba unaweza kutumia maneno matupu na tukakuamini ndugu Gwajima.

Yajayo yanafurahisha🤔
 
Alaaniwe askofu wa mchongo Josephat Gwajima kwa kusimama upande wa mafisadi
Hapo una hanganya mambo.

Ongea na Gwajima kama mbunge, muwakilishi wa wananchi,

Uaskofu wake mwachie, usijitafutie LAANA Bure.

Jadili issues not personalities 🙏
 
Hapo una hanganya mambo.

Ongea na Gwajima kama mbunge, muwakilishi wa wananchi,

Uaskofu wake mwachie, usijitafutie LAANA Bure.

Jadili issues not personalities 🙏
Alimlaani Mpina kwa kutumia maandiko matakatifu,lakini kwa matendo yake hana moral authority ya kufanya hivyo ndiyo maana nimempeleka kwenye mimbari aliyoinajisi.
 
Salaam, Shalom!!

Leo naongea na Ndugu Gwajima kama kiongozi wa wananchi, na SI kama Askofu madhabahuni.

Nimekusikia ukidai na kumtuhumu Ndugu Mpina kuwa mwongo bila kuthibitisha UONGO huo Kwa data na ushahidi kama alioutoa ndugu Mpina hadharani.

Umeenda mbali zaidi na Kutoa LAANA Kwa Ndugu Mpina ukiquote maandiko kuwa " Amelaaniwa mtu ampigaye ndugu yake Kwa Siri" Sasa Mpina na Bashe Wana undugu Gani? Nani aliyepaswa kuitwa kamati ya maadili kati ya Mpina na Bashe? Giza na Nuru lini vimewahi kuchangamana?

Leo umeungwa mkono na mtu aina ya chiembe, hiyo ni dhahiri kuwa umetoka kwenye line ya HAKI.

Ndugu Gwajima, ndugu zako ni wananchi maskini, ndugu zako ni wote wanaamini juu ya HAKI kutawala juu ya nchi,

Ndugu Gwajima huna ndugu CCM, wewe unatambulika una Damu ya Upinzani, na record Bado zipo wazi juu ya uhusika wako wa wazi kumleta Lowwassa CDM, hivyo ninakukumbusha kuwa huna mizizi CCM.

Nikupe taarifa kuwa Wananchi tumekielewa alichokisema ndugu Mpina, na ameyasema hayo Kwa Uzalendo wake Kwa nchi na hakuongozwa na chuki binafsi juu ya Waziri Bashe kama unavyodai.

HOJA zijibiwe Kwa HOJA,

Evidence ipingwe Kwa EVIDENCE SI porojo za kisiasa.

USHAURI: Ndugu Gwajima ,BUSARA ni kunyamaza, ulinyamaza kwenye sakata la DP world na ulieleweka kuliko sasa unavyofungua kinywa kumkemea NABII MPINA.

Amebarikiwa sana NABII MPINA Kwa kuwa amesimama upande wa KWELI na HAKI.

Mungu ibariki nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿, Amen
Source: Uhondo Tv.

Karibuni 🙏

Yeye ndiye amelaaniwa kwakulitukana Jina la Kristo hadharani....Imeandikwa Kila alitajaye Jina la Kristo na aache uovu, yeye ameshuhudia uwongo...Yaani farisayo mkubwa huyo!
 
Alimlaani Mpina kwa kutumia maandiko matakatifu,lakini kwa matendo yake hana moral authority ya kufanya hivyo ndiyo maana nimempeleka kwenye mimbari aliyoinajisi.
Mbariki ndugu Mpina inatosha.

LAANA ya kumsingizia mtu Huwa haishiki.

Ndugu Gwajima azichange karata zake vizuri,

Kwa alichokifanya ndugu Mpina, tayari amejihakukishia Ushindi 2025 iwe ni kupitia CCM au chama lingine Cha upinzani.
 
Yeye ndiye amelaamiwa kwakulitukana Jina la Kristo hadharani....Imeandikwa Kila alitajaye Jina la Kristo na aache uovu, yeye ameshuhudia uwongo...Yaani farisayo mkubwa huyo!
Yaani anadhalilisha PhD yake.

Haiwezekani kupiga HOJA na ushahidi wazi wa kimaandishi wenye viambatisho( evidence) Kwa maneno matupu.

Gwajima asiwakabidhi CCM Uhuru wake wa kufikiri.
 
Back
Top Bottom