Ndugu J. Gwajima, ushahidi wa Mpina haujathibitishwa popote, hivyo huna HAKI ya kusema amedanganya

Mchungaji uchwara
 
Mchungaji kanjanja
Tujifunze kujadili issue not personalities.

HOJA hapo ni Mpina ameleta HOJA za maandishi zenye evidence,

Hakuna Tume au uchunguzi wowote uliofanywa kuthibitisha HOJA za Mpina ni UONGO,

Mpina amepigwa stop kuhudhuria vikao SI Kwa Sababu ya HOJA alizotoa, Bali Kwa kutumia eneo la Bunge.

Na wabunge wanamtuhumu kudanganya bila kusema ukweli ni upi.

Tujadili hayo, SI kujadili watu, Bali HOJA wasemazo.🙏
 
"The world will not be destroyed by those who do evil, but by those who watch them without doing anything" - Albert Einstein
Ahsante kwa Mpina kwa kukataa hili.
 
Hapana SI Mimi.
kumbe kuna Rabbon wawili huku ndio
maana, sorry sana nimeshampata yeye in single R wewe ni double R

 
Wako watatu Rabonn ,Rabbon na Rabboni
 
Na kale kakiosk ka kuuza simu pale Ilala
Michango mingi ya wabunge kuhusu Tume ya Spika juu ya Mpina, ilikuwa maelekezo baada ya kupata party corcas,

Yaani waliamini, CCM ingeruhusu HOJA za Mpina zijadiliwe, zingeangusha chama na Serikali.

Bunge la Spika Sitta, linabaki kuwa Bunge la kihistoria lililosimama kama Muhimili mkuu wa pili.

Hivi sasa Spika anatoka na kuipongeza Serikali Kwa u umilivu wa kuhusu alichoongea Mpina 🤔
 
Maana yake yale yote aliyoleta Mpina yamezikwa rasmi. Laiti tungekuwa na uchaguzi huru na haki tusingeshuhudia ujinga huu kwani tungetoa hukumu kwenye sanduku la kura, lakini kwa kile kilichofanyika 2020 ni dhahiri kamwe watawala hawatakaa waweheshimu wananchi tena kwani wanajua hatuna cha kuwafanya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…