Ndugu Jumanne Kishimba ni mtu wa aina gani haswa? Mbona ana uwezo mkubwa wa kujenga hoja tofauti na tulivyodhani?

Mbele ya wanaume wanaotafuta maisha kwa kujitoa maisha yao unadhani suala la kukuua wewe ukiwa mnonko ama unajifanya unafanya kazi Basi utaachwa kweli. Unamalizwa mapema kabla jogoo hajawika
 
Kuingiza bidhaa kimagendo nayo yahitaji akili na uchapakaz siunaona jinsi wanavyotafuna Kodi zetu
 
duuuh punguza chuki mkuu
 
Wewe kishimba humjui huyo sio mlamba asali kama Mbowe!
Ni mfanyabiashara mkubwa tatizo mnapenda sana uongo! Mjini kitu gani Kishimba mwenyewe moja ya watanzania wachache weusi kuwa na Supermarket hapo Dar!
Kishimba ni mtoa dira na commedy , hoja zake zinahtaji kuchakatwa kwanza ndo ziingie mjini , ukiziparamia kichwa kichwa utasababisha maafa tuu , pia ni mchumia tumbo mzuri tuu hana jipya
 
Wewe kishimba humjui huyo sio mlamba asali kama Mbowe!
Ni mfanyabiashara mkubwa tatizo mnapenda sana uongo! Mjini kitu gani Kishimba mwenyewe moja ya watanzania wachache weusi kuwa na Supermarket hapo Dar!
Umenielewa lakini au umekrupuka
 
📌📌
 
Michango yake ni kama porojo na comedy tu kwa nchi kama Tanzania, haitekelezeki wala hakuna ambacho kimewahi kufanyiwa kazi.
 
Kishimba hana jipya tukimfukunyua mbona tutakimbiana , hoja zake ni za vichekesho , kuchangamsha akili na kuwaza vitu mbadala na applicability yake inahtaji upembuzi yakinifu ili viweze kufanya kazi , watu washafikria hzo hoja zake kitambo ila wakachagua mbadala ulio sahihi kulingana na mazingira na taratibu za kijamii , mfano anakuambia kilimo cha bangi kihalalishwe kisa gunia linauzwa bei ndefu au anasema wanafunzi wasinunue daftari jipya kisa ubongo ni ule ule ... Na anakupa sababu fikrishi ambazo ni mwehu tuu anaweza ziruhusu zifanye kazi instantly
 
Napenda kumuita mtaalamu wa kufikiri Nje ya box
 
Kila mtu ana upande mzuri na mbaya lakini watu hupimwa kwa mema waliyofanya na wanayofanya pia watu wenye akili huiga Yale yenye faida hvyo hata ukiweka mabaya yake n sawa lakini utakuwa umetoa mwanga wa watu kujifunza
 
Kumbe hii ndio I'd yako Kishimba? Raha jipe mwenyewe.
 
Kishimba ni mtoa dira na commedy , hoja zake zinahtaji kuchakatwa kwanza ndo ziingie mjini , ukiziparamia kichwa kichwa utasababisha maafa tuu , pia ni mchumia tumbo mzuri tuu hana jipya
Kuchumia tumbo ni ccm wote bila kusahau Watanzabia wengine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…