Ndugu Jumanne Kishimba ni mtu wa aina gani haswa? Mbona ana uwezo mkubwa wa kujenga hoja tofauti na tulivyodhani?

Ndugu Jumanne Kishimba ni mtu wa aina gani haswa? Mbona ana uwezo mkubwa wa kujenga hoja tofauti na tulivyodhani?

Jumanne Kishimba tunamjua vizuri. Ni maarufu kwenye biashara za magendo kutoka Kenya kupitia Lake Victoria miaka ya 1990s. Ila ni mmoja kati ya wafanya biashara walikuwa wanatumia tindikali katika kuwatisha wafanyakazi wa TRA wakati wanadhibiti mali inayoingia nchini bila kulipia kodi. Walikuwa wanawakodi vijana na wanawatuma wakawamwagie tindikali.

Muulizeni kilichomkimbiza nchini na kwenda kuishi Zimbabwe. Alikimbia RB pale Mwanza Central Police ya kujeruhi/ kuua
Mbele ya wanaume wanaotafuta maisha kwa kujitoa maisha yao unadhani suala la kukuua wewe ukiwa mnonko ama unajifanya unafanya kazi Basi utaachwa kweli. Unamalizwa mapema kabla jogoo hajawika
 
Jumanne Kishimba tunamjua vizuri. Ni maarufu kwenye biashara za magendo kutoka Kenya kupitia Lake Victoria miaka ya 1990s. Ila ni mmoja kati ya wafanya biashara walikuwa wanatumia tindikali katika kuwatisha wafanyakazi wa TRA wakati wanadhibiti mali inayoingia nchini bila kulipia kodi. Walikuwa wanawakodi vijana na wanawatuma wakawamwagie tindikali.

Muulizeni kilichomkimbiza nchini na kwenda kuishi Zimbabwe. Alikimbia RB pale Mwanza Central Police ya kujeruhi/ kuua
Kuingiza bidhaa kimagendo nayo yahitaji akili na uchapakaz siunaona jinsi wanavyotafuna Kodi zetu
 
Jumanne Kishimba tunamjua vizuri. Ni maarufu kwenye biashara za magendo kutoka Kenya kupitia Lake Victoria miaka ya 1990s. Ila ni mmoja kati ya wafanya biashara walikuwa wanatumia tindikali katika kuwatisha wafanyakazi wa TRA wakati wanadhibiti mali inayoingia nchini bila kulipia kodi. Walikuwa wanawakodi vijana na wanawatuma wakawamwagie tindikali.

Muulizeni kilichomkimbiza nchini na kwenda kuishi Zimbabwe. Alikimbia RB pale Mwanza Central Police ya kujeruhi/ kuua
duuuh punguza chuki mkuu
 
Wewe kishimba humjui huyo sio mlamba asali kama Mbowe!
Ni mfanyabiashara mkubwa tatizo mnapenda sana uongo! Mjini kitu gani Kishimba mwenyewe moja ya watanzania wachache weusi kuwa na Supermarket hapo Dar!
Kishimba ni mtoa dira na commedy , hoja zake zinahtaji kuchakatwa kwanza ndo ziingie mjini , ukiziparamia kichwa kichwa utasababisha maafa tuu , pia ni mchumia tumbo mzuri tuu hana jipya
 
Babalao
JamiiForums-2110823458.jpg
 
Wewe kishimba humjui huyo sio mlamba asali kama Mbowe!
Ni mfanyabiashara mkubwa tatizo mnapenda sana uongo! Mjini kitu gani Kishimba mwenyewe moja ya watanzania wachache weusi kuwa na Supermarket hapo Dar!
Umenielewa lakini au umekrupuka
 
Huyu mbunge wa Kahama Kiukweli ndio mbunge anaejua kujenga hoja na kila akiongea anatoa vitu ambavyo vinafikirisha na vinajijenga mpaka unajiuliza vipi wale wataalamu hawakuliona Hilo au hawakuweza kujipa muda wa kulifikiria?

Kwa wale tuliofika mwanza kipindi cha nyuma naamini mpaka sasa ukiwa pale mjini utasikia ghorofa la Kishimba au stendi ya Kishimba huyu ndugu iliaminika kuwa n mfanyabisha mkubwa na n mtu aisejua kusoma na kuandika hzi ndio stori zilizopo huko mtaani lakini mbona anahoja nzito hapo ndio utajua kusoma haikutenganishi na ujinga Bali niwewe mwenyewe ndio unaweza kujitenga na ujinga kwanjia zako mwenyewe unazoziamini.

Kwa stori zilizopo inasemekana alijipatia pesa na Umaarufu ws kibiashara kujua mnamo miaka ya 80's na mwanzon mwa 90's inasemekana alirisk kufanya Biashara ndani ya mipaka ya Rwanda na Burundi ikiwa kwenye Vita Kali ndio hapo alipopata pa kutokea.

Lengo kuu la kuandika hapa Kiukweli huwa ananivutia kumsikiliza na maneno yake ysnafikirisha sana mpaka unajiuliza huwa anakuwa wap akijenga hoja zake moja ya hoja zake alizosema juzi eti "wazazi pamoja na serikali unatumia sio chini ya 40millions kumsomesha daktari na akimaliza aruhusiwi kutoa huduma ya matibabu mpaka awe na kibali wakati hapo hapo.

Kuna ndugu zetu Masai na jamii zingine wanazunguka mitaani au kwenye mabasi wakisema ninakupa dawa inatibu magonjwa kadhaa nahuyu hajasomea na serikali imemruhusu auzie watu dawa wakati huyu daktari aliesomea na serikali kumpa Cheri Cha uhitimu na utabibu afya eti aruhusiwi kutoa matibabu mpaka awe na kibali ambapo kiuhalisia inachukua muda na gharama nyingi" huyu mbunge wa Kahama kweli n akili kubwa.

Kwanini serikali au taasisi za Elimu isitumie kumuomba huyu Kishimba aende akawape darasa wanafunzi waliopo chuo na kuwalisha mentality za kujitegemea wao binafsi baada ya kuhitimu na wasitegemee serikali?

Ni muda Sasa chuo kikuuu cha DAR ES SALAAM kwanini kisimpe udaktari wa heshima kwa kuenzi mchango wake kwa Taifa bungeni Mana huwa akiongea ukimuona anaonekana kajipanga na anaongea kitu kwa kumaanisha yaan yupo makini.

Mimi namuelewa kwa hayo machache he wewe unamuelewa vp au ulishawahi kumsikia kwenye Nini pia napenda nipate upande wa kibiashara jinsi anavyopambana.

Asanteni.
📌📌
 
Michango yake ni kama porojo na comedy tu kwa nchi kama Tanzania, haitekelezeki wala hakuna ambacho kimewahi kufanyiwa kazi.
 
Jumanne Kishimba tunamjua vizuri. Ni maarufu kwenye biashara za magendo kutoka Kenya kupitia Lake Victoria miaka ya 1990s. Ila ni mmoja kati ya wafanya biashara walikuwa wanatumia tindikali katika kuwatisha wafanyakazi wa TRA wakati wanadhibiti mali inayoingia nchini bila kulipia kodi. Walikuwa wanawakodi vijana na wanawatuma wakawamwagie tindikali.

Muulizeni kilichomkimbiza nchini na kwenda kuishi Zimbabwe. Alikimbia RB pale Mwanza Central Police ya kujeruhi/ kuua
Kishimba hana jipya tukimfukunyua mbona tutakimbiana , hoja zake ni za vichekesho , kuchangamsha akili na kuwaza vitu mbadala na applicability yake inahtaji upembuzi yakinifu ili viweze kufanya kazi , watu washafikria hzo hoja zake kitambo ila wakachagua mbadala ulio sahihi kulingana na mazingira na taratibu za kijamii , mfano anakuambia kilimo cha bangi kihalalishwe kisa gunia linauzwa bei ndefu au anasema wanafunzi wasinunue daftari jipya kisa ubongo ni ule ule ... Na anakupa sababu fikrishi ambazo ni mwehu tuu anaweza ziruhusu zifanye kazi instantly
 
Huyu mbunge wa Kahama Kiukweli ndio mbunge anaejua kujenga hoja na kila akiongea anatoa vitu ambavyo vinafikirisha na vinajijenga mpaka unajiuliza vipi wale wataalamu hawakuliona Hilo au hawakuweza kujipa muda wa kulifikiria?

Kwa wale tuliofika mwanza kipindi cha nyuma naamini mpaka sasa ukiwa pale mjini utasikia ghorofa la Kishimba au stendi ya Kishimba huyu ndugu iliaminika kuwa n mfanyabisha mkubwa na n mtu aisejua kusoma na kuandika hzi ndio stori zilizopo huko mtaani lakini mbona anahoja nzito hapo ndio utajua kusoma haikutenganishi na ujinga Bali niwewe mwenyewe ndio unaweza kujitenga na ujinga kwanjia zako mwenyewe unazoziamini.

Kwa stori zilizopo inasemekana alijipatia pesa na Umaarufu ws kibiashara kujua mnamo miaka ya 80's na mwanzon mwa 90's inasemekana alirisk kufanya Biashara ndani ya mipaka ya Rwanda na Burundi ikiwa kwenye Vita Kali ndio hapo alipopata pa kutokea.

Lengo kuu la kuandika hapa Kiukweli huwa ananivutia kumsikiliza na maneno yake ysnafikirisha sana mpaka unajiuliza huwa anakuwa wap akijenga hoja zake moja ya hoja zake alizosema juzi eti "wazazi pamoja na serikali unatumia sio chini ya 40millions kumsomesha daktari na akimaliza aruhusiwi kutoa huduma ya matibabu mpaka awe na kibali wakati hapo hapo.

Kuna ndugu zetu Masai na jamii zingine wanazunguka mitaani au kwenye mabasi wakisema ninakupa dawa inatibu magonjwa kadhaa nahuyu hajasomea na serikali imemruhusu auzie watu dawa wakati huyu daktari aliesomea na serikali kumpa Cheri Cha uhitimu na utabibu afya eti aruhusiwi kutoa matibabu mpaka awe na kibali ambapo kiuhalisia inachukua muda na gharama nyingi" huyu mbunge wa Kahama kweli n akili kubwa.

Kwanini serikali au taasisi za Elimu isitumie kumuomba huyu Kishimba aende akawape darasa wanafunzi waliopo chuo na kuwalisha mentality za kujitegemea wao binafsi baada ya kuhitimu na wasitegemee serikali?

Ni muda Sasa chuo kikuuu cha DAR ES SALAAM kwanini kisimpe udaktari wa heshima kwa kuenzi mchango wake kwa Taifa bungeni Mana huwa akiongea ukimuona anaonekana kajipanga na anaongea kitu kwa kumaanisha yaan yupo makini.

Mimi namuelewa kwa hayo machache he wewe unamuelewa vp au ulishawahi kumsikia kwenye Nini pia napenda nipate upande wa kibiashara jinsi anavyopambana.

Asanteni.
Napenda kumuita mtaalamu wa kufikiri Nje ya box
 
Kishimba hana jipya tukimfukunyua mbona tutakimbiana , hoja zake ni za vichekesho , kuchangamsha akili na kuwaza vitu mbadala na applicability yake inahtaji upembuzi yakinifu ili viweze kufanya kazi , watu washafikria hzo hoja zake kitambo ila wakachagua mbadala ulio sahihi kulingana na mazingira na taratibu za kijamii , mfano anakuambia kilimo cha bangi kihalalishwe kisa gunia linauzwa bei ndefu au anasema wanafunzi wasinunue daftari jipya kisa ubongo ni ule ule ... Na anakupa sababu fikrishi ambazo ni mwehu tuu anaweza ziruhusu zifanye kazi instantly
Kila mtu ana upande mzuri na mbaya lakini watu hupimwa kwa mema waliyofanya na wanayofanya pia watu wenye akili huiga Yale yenye faida hvyo hata ukiweka mabaya yake n sawa lakini utakuwa umetoa mwanga wa watu kujifunza
 
Huyu mbunge wa Kahama Kiukweli ndio mbunge anaejua kujenga hoja na kila akiongea anatoa vitu ambavyo vinafikirisha na vinajijenga mpaka unajiuliza vipi wale wataalamu hawakuliona Hilo au hawakuweza kujipa muda wa kulifikiria?

Kwa wale tuliofika mwanza kipindi cha nyuma naamini mpaka sasa ukiwa pale mjini utasikia ghorofa la Kishimba au stendi ya Kishimba huyu ndugu iliaminika kuwa n mfanyabisha mkubwa na n mtu aisejua kusoma na kuandika hzi ndio stori zilizopo huko mtaani lakini mbona anahoja nzito hapo ndio utajua kusoma haikutenganishi na ujinga Bali niwewe mwenyewe ndio unaweza kujitenga na ujinga kwanjia zako mwenyewe unazoziamini.

Kwa stori zilizopo inasemekana alijipatia pesa na Umaarufu ws kibiashara kujua mnamo miaka ya 80's na mwanzon mwa 90's inasemekana alirisk kufanya Biashara ndani ya mipaka ya Rwanda na Burundi ikiwa kwenye Vita Kali ndio hapo alipopata pa kutokea.

Lengo kuu la kuandika hapa Kiukweli huwa ananivutia kumsikiliza na maneno yake ysnafikirisha sana mpaka unajiuliza huwa anakuwa wap akijenga hoja zake moja ya hoja zake alizosema juzi eti "wazazi pamoja na serikali unatumia sio chini ya 40millions kumsomesha daktari na akimaliza aruhusiwi kutoa huduma ya matibabu mpaka awe na kibali wakati hapo hapo.

Kuna ndugu zetu Masai na jamii zingine wanazunguka mitaani au kwenye mabasi wakisema ninakupa dawa inatibu magonjwa kadhaa nahuyu hajasomea na serikali imemruhusu auzie watu dawa wakati huyu daktari aliesomea na serikali kumpa Cheri Cha uhitimu na utabibu afya eti aruhusiwi kutoa matibabu mpaka awe na kibali ambapo kiuhalisia inachukua muda na gharama nyingi" huyu mbunge wa Kahama kweli n akili kubwa.

Kwanini serikali au taasisi za Elimu isitumie kumuomba huyu Kishimba aende akawape darasa wanafunzi waliopo chuo na kuwalisha mentality za kujitegemea wao binafsi baada ya kuhitimu na wasitegemee serikali?

Ni muda Sasa chuo kikuuu cha DAR ES SALAAM kwanini kisimpe udaktari wa heshima kwa kuenzi mchango wake kwa Taifa bungeni Mana huwa akiongea ukimuona anaonekana kajipanga na anaongea kitu kwa kumaanisha yaan yupo makini.

Mimi namuelewa kwa hayo machache he wewe unamuelewa vp au ulishawahi kumsikia kwenye Nini pia napenda nipate upande wa kibiashara jinsi anavyopambana.

Asanteni.
Kumbe hii ndio I'd yako Kishimba? Raha jipe mwenyewe.
 
Kishimba ni mtoa dira na commedy , hoja zake zinahtaji kuchakatwa kwanza ndo ziingie mjini , ukiziparamia kichwa kichwa utasababisha maafa tuu , pia ni mchumia tumbo mzuri tuu hana jipya
Kuchumia tumbo ni ccm wote bila kusahau Watanzabia wengine
 
Back
Top Bottom