binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Na bado! nani aliwaambia watu kila binadamu anafaa kuoa/kuolewa? kumzalia/kumzalisha?Bora hata huyu kuna mmoja kafungiwa na mlango kalala nje leo yupo kumuomba msamaha mwanamke ila wanaume kuna mda tunajitakia hizi shida
Sio kidogoIla tuwe serious kuishi na mtu mliokutana nae ukubwani ni shughuli pevu.
Mimi Nina umri Miaka 38 sasa Nina mahusiano na mwanamke tangu mwaka 2014 na tumezaa watoto 4 kati ya hao 1 Mungu amemchukua na sasa Hivi tuna ambaye mwezi wa 10 atatimiza mwaka na wawili wapo shule darasa la 3 na 2.
Sijawahi kufika kwao tangu 2014 mpaka mwaka 2022 pale aliponiibia vitu vya ndani TV,pasi ya umeme, laptop,redio,baadhi ya vitambulisho vyangu,simu,blenda,Kadi ya benki,,,shs.477000 Kaitoa benki mana Anajua password.Kaondoka na watot pia!
Sababu za kutofika kwao
1.Umbali kikazi ulichangia mana
nilikuwa busy na uhamisho na mim pia kwetu sijaenda tangu 2017 Hadi 2021 kwa ajil ya Mazish
2.Huwa hatuelewani kwa Muda mrefu Katika mahusiano yetu mana Ana kiburi,madharau,akinikosea hajawahi kuomba msamah mpaka nitakapojirudi mwenyewe,,,hivyo nikawa na hofu kwamba itakuwaje Kama tutafunga ndoa Kama ktk Hali ya sasa yupo hivyo??
3. Hata akinikera hawezi kujishusha yupo tayari kupigana na tulishapigana akanipeleka ofisi ya kata tukashauriwa Lakini hakuna mabadiliko
4.Ana Tabia ya kunipekua,,,kuna siku nilitegesha pesa chini ya meza akaichukua afu nikamwambia kuna pesa nimeangusha chumban Kama aliiona akakataaa katu Lakini mwishow amekubali
5.Huwa tunakosana Sana mpaka nikaanza kunywa pombe,,,Mara pengin nashinda nje usiku Lakini Naona haimugusi wala ushaur hakuna
6.Siku aliponiibia pesa benki akajitetea nyumban kwao kuwa hakuna natumia Jambo ambalo Halina ukwel,,,na wazazi wake wanamuunga mkono Hata nijieleze vipi
KILICHOTOKA SASA HIVI
1.Amekuwa akichukua kila pesa anayoiona kwangu,,,ndani Hata kweny akaunti ya mitandao yangu ya simu na kucheza nayo kamari
2.Amekuwa na madeni mengi ya nje hiyo pesa amepeka kweny kamari
3.Nimemshirikisha baba yake juu ya kuchukua pesa zangu kwa siri na madeni ya nje Lakini baba yake katulia tu
4.Tareh 10 kuchukua pesa iliyo ndani nilipomuuliza lawama hajui baadaye kakubali,,tarehe 11 kachukua pesa
nyingin nikaumia Sana nikampigia usiku baba yake akaniambia nimpandishe kwenye gari na watot wake,,,mim nikaenda kunywa pombe asubuh nikamtaka aondoka na Arudishe pesa zangu,,,,,tukalumbana Sana mpaka nikachukua kisu mwishowe ameondoka na watot.
KESI HUKO KWAO
Ninahitaji kwenda KWAO nikajieleze na kuomba msamah kuwa nimemfukuza pamoja na watot,,,kumbuk watot wanatakiwa kwenda shule kesho
Naombeni ushaur jaman,,,,akili haifanyi Kazi mana Nataka tuachane Lakini nasi inakataa Sababu Nina watot Naye,,,nyumbani wanajua nimeoa hata kazin pia,,,,,,NAONA AIBU
Apigie mstari hapa.huyo mwanamke hata ukielezea vipi kwao ushachafuliwa kiasi kwamba hautaeleweka
Siku utakifanyia kazi hicho kisu ndipo mtakapo gawana majengo ya serikali.mpaka nikachukua kisu
Mimi Nina umri Miaka 38 sasa Nina mahusiano na mwanamke tangu mwaka 2014 na tumezaa watoto 4 kati ya hao 1 Mungu amemchukua na sasa Hivi tuna ambaye mwezi wa 10 atatimiza mwaka na wawili wapo shule darasa la 3 na 2.
Sijawahi kufika kwao tangu 2014 mpaka mwaka 2022 pale aliponiibia vitu vya ndani TV,pasi ya umeme, laptop,redio,baadhi ya vitambulisho vyangu,simu,blenda,Kadi ya benki,,,shs.477000 Kaitoa benki mana Anajua password.Kaondoka na watot pia!
Sababu za kutofika kwao
1.Umbali kikazi ulichangia mana
nilikuwa busy na uhamisho na mim pia kwetu sijaenda tangu 2017 Hadi 2021 kwa ajil ya Mazish
2.Huwa hatuelewani kwa Muda mrefu Katika mahusiano yetu mana Ana kiburi,madharau,akinikosea hajawahi kuomba msamah mpaka nitakapojirudi mwenyewe,,,hivyo nikawa na hofu kwamba itakuwaje Kama tutafunga ndoa Kama ktk Hali ya sasa yupo hivyo??
3. Hata akinikera hawezi kujishusha yupo tayari kupigana na tulishapigana akanipeleka ofisi ya kata tukashauriwa Lakini hakuna mabadiliko
4.Ana Tabia ya kunipekua,,,kuna siku nilitegesha pesa chini ya meza akaichukua afu nikamwambia kuna pesa nimeangusha chumban Kama aliiona akakataaa katu Lakini mwishow amekubali
5.Huwa tunakosana Sana mpaka nikaanza kunywa pombe,,,Mara pengin nashinda nje usiku Lakini Naona haimugusi wala ushaur hakuna
6.Siku aliponiibia pesa benki akajitetea nyumban kwao kuwa hakuna natumia Jambo ambalo Halina ukwel,,,na wazazi wake wanamuunga mkono Hata nijieleze vipi
KILICHOTOKA SASA HIVI
1.Amekuwa akichukua kila pesa anayoiona kwangu,,,ndani Hata kweny akaunti ya mitandao yangu ya simu na kucheza nayo kamari
2.Amekuwa na madeni mengi ya nje hiyo pesa amepeka kweny kamari
3.Nimemshirikisha baba yake juu ya kuchukua pesa zangu kwa siri na madeni ya nje Lakini baba yake katulia tu
4.Tareh 10 kuchukua pesa iliyo ndani nilipomuuliza lawama hajui baadaye kakubali,,tarehe 11 kachukua pesa
nyingin nikaumia Sana nikampigia usiku baba yake akaniambia nimpandishe kwenye gari na watot wake,,,mim nikaenda kunywa pombe asubuh nikamtaka aondoka na Arudishe pesa zangu,,,,,tukalumbana Sana mpaka nikachukua kisu mwishowe ameondoka na watot.
KESI HUKO KWAO
Ninahitaji kwenda KWAO nikajieleze na kuomba msamah kuwa nimemfukuza pamoja na watot,,,kumbuk watot wanatakiwa kwenda shule kesho
Naombeni ushaur jaman,,,,akili haifanyi Kazi mana Nataka tuachane Lakini nasi inakataa Sababu Nina watot Naye,,,nyumbani wanajua nimeoa hata kazin pia,,,,,,NAONA AIBU
Ikibidi fuata hii nukuu:- "Haijalishi ni umbali gani umekwenda, lakini kama unahisi umepotea njia rudi mwanzo ukaanze tena safari yako". - Kama umetoka MBEYA kwa lengo la kwenda DAR ES SALAAM lakini kwa bahati mbaya umefika sehemu unaulizia wapi ulipo; unaambiwa upo SINGIDA, ni dhahiri kuwa umepotea njia hivyo ni vyema kurudi nyuma ili uelekee njia sahihi ya kwenda DAR ES SALAAM kuliko kuendelea kunyoosha lami ya kwenda MWANZA...Ukijifanya mvumilivu wa kuendelea kunyoosha lami utafika MWANZA halafu utaambiwa rudi nyuma, na ili kuwahi hitaji lako utalazimika tena kupanda ndege kwa gharama kubwa....KWA HUYO MWANAMKE UMEPOTEA NJIA....Kama umesoma CUBA utakuwa ushanielewa.expand...
Mimi Nina umri Miaka 38
tumezaa watoto 4
Sijawahi kufika kwao tangu 2014 mpaka mwaka 2022
Wewe ni mtu mzima ila ni:mim pia kwetu sijaenda tangu 2017 Hadi 2021 kwa ajil ya Mazish