Ndugu naomba ushauri akili imestack

Ndugu naomba ushauri akili imestack

Bora hata huyu kuna mmoja kafungiwa na mlango kalala nje leo yupo kumuomba msamaha mwanamke ila wanaume kuna mda tunajitakia hizi shida
Na bado! nani aliwaambia watu kila binadamu anafaa kuoa/kuolewa? kumzalia/kumzalisha?

Wanatesa watoto.

Kuna watu tunawaona huku mitaani, wamenyooka kama rula, familia ni familia wanapiga hatua.. watoto wanasoma darasa moja, darasa la kumi mwisho wanajitegemea, hakuna vurugu wala heka heka. Na kuna hawa wengine kutwa vita kama gaza, Hatujiulizi kitu? kuna mahali tunakosea na hatuko tayari kwa huu mjadala kama jamii.
 
Sasa Fazaa kwa matukio hayo yote na matendo aliokufanyia bado tu una moyo wa kurudiana nae?

Mimi wa 2000 nina miaka 24 nitajifunza nini kwako wewe wa miaka 35+?

Anakiburi, hajijushi, dharau, ugomvi na MWIZI wa pesa zako za ndani hadi kwenye account za benki na mitandao ya sim bado unataka kurudiana nae tu?

Kama ameondoka huoni ndio tikeki nzuri sasa ya wewe kuishi maishi mazuri? Muache aende ila kama unaweza. Kama huwezi nenda ukweni kapige magoti na kuomba msamaha maana ni kawaida yako hujaanza leo kumpigia magoti
 
We nenda kwa lengo la watoto wako tu, huyo mwanamke hata ukielezea vipi kwao ushachafuliwa kiasi kwamba hautaeleweka. Wewe jishushe lengo likiwa ni watoto wako.

Kama anakupenda angeenda kwenu, nashangaa ameenda kwao, wewe ndio unatakiwa kumshitaki kwao na sio yeye kutangulia kukushitaki. Shituka brother wanawake sio wenzetu.
 
Watoto watoto yaani hao ndo fimbo ya kukuchapia. Utakua bwege hadi lini,utaenda kuomba msamaha kwa kosa gani. Mpotezee kaa kimya. Watoto watakariri darasa mwakani. Ukizembea ukaenda omba msamaha na kujieleza utajikuta siku moja una kesi ya mauaji
 
Mimi Nina umri Miaka 38 sasa Nina mahusiano na mwanamke tangu mwaka 2014 na tumezaa watoto 4 kati ya hao 1 Mungu amemchukua na sasa Hivi tuna ambaye mwezi wa 10 atatimiza mwaka na wawili wapo shule darasa la 3 na 2.

Sijawahi kufika kwao tangu 2014 mpaka mwaka 2022 pale aliponiibia vitu vya ndani TV,pasi ya umeme, laptop,redio,baadhi ya vitambulisho vyangu,simu,blenda,Kadi ya benki,,,shs.477000 Kaitoa benki mana Anajua password.Kaondoka na watot pia!

Sababu za kutofika kwao

1.Umbali kikazi ulichangia mana
nilikuwa busy na uhamisho na mim pia kwetu sijaenda tangu 2017 Hadi 2021 kwa ajil ya Mazish

2.Huwa hatuelewani kwa Muda mrefu Katika mahusiano yetu mana Ana kiburi,madharau,akinikosea hajawahi kuomba msamah mpaka nitakapojirudi mwenyewe,,,hivyo nikawa na hofu kwamba itakuwaje Kama tutafunga ndoa Kama ktk Hali ya sasa yupo hivyo??

3. Hata akinikera hawezi kujishusha yupo tayari kupigana na tulishapigana akanipeleka ofisi ya kata tukashauriwa Lakini hakuna mabadiliko

4.Ana Tabia ya kunipekua,,,kuna siku nilitegesha pesa chini ya meza akaichukua afu nikamwambia kuna pesa nimeangusha chumban Kama aliiona akakataaa katu Lakini mwishow amekubali

5.Huwa tunakosana Sana mpaka nikaanza kunywa pombe,,,Mara pengin nashinda nje usiku Lakini Naona haimugusi wala ushaur hakuna

6.Siku aliponiibia pesa benki akajitetea nyumban kwao kuwa hakuna natumia Jambo ambalo Halina ukwel,,,na wazazi wake wanamuunga mkono Hata nijieleze vipi

KILICHOTOKA SASA HIVI
1.Amekuwa akichukua kila pesa anayoiona kwangu,,,ndani Hata kweny akaunti ya mitandao yangu ya simu na kucheza nayo kamari

2.Amekuwa na madeni mengi ya nje hiyo pesa amepeka kweny kamari

3.Nimemshirikisha baba yake juu ya kuchukua pesa zangu kwa siri na madeni ya nje Lakini baba yake katulia tu

4.Tareh 10 kuchukua pesa iliyo ndani nilipomuuliza lawama hajui baadaye kakubali,,tarehe 11 kachukua pesa
nyingin nikaumia Sana nikampigia usiku baba yake akaniambia nimpandishe kwenye gari na watot wake,,,mim nikaenda kunywa pombe asubuh nikamtaka aondoka na Arudishe pesa zangu,,,,,tukalumbana Sana mpaka nikachukua kisu mwishowe ameondoka na watot.

KESI HUKO KWAO
Ninahitaji kwenda KWAO nikajieleze na kuomba msamah kuwa nimemfukuza pamoja na watot,,,kumbuk watot wanatakiwa kwenda shule kesho

Naombeni ushaur jaman,,,,akili haifanyi Kazi mana Nataka tuachane Lakini nasi inakataa Sababu Nina watot Naye,,,nyumbani wanajua nimeoa hata kazin pia,,,,,,NAONA AIBU

Endelea na Maisha, achana na mambo ya wanawake
 
Mimi Nina umri Miaka 38 sasa Nina mahusiano na mwanamke tangu mwaka 2014 na tumezaa watoto 4 kati ya hao 1 Mungu amemchukua na sasa Hivi tuna ambaye mwezi wa 10 atatimiza mwaka na wawili wapo shule darasa la 3 na 2.

Sijawahi kufika kwao tangu 2014 mpaka mwaka 2022 pale aliponiibia vitu vya ndani TV,pasi ya umeme, laptop,redio,baadhi ya vitambulisho vyangu,simu,blenda,Kadi ya benki,,,shs.477000 Kaitoa benki mana Anajua password.Kaondoka na watot pia!

Sababu za kutofika kwao

1.Umbali kikazi ulichangia mana
nilikuwa busy na uhamisho na mim pia kwetu sijaenda tangu 2017 Hadi 2021 kwa ajil ya Mazish

2.Huwa hatuelewani kwa Muda mrefu Katika mahusiano yetu mana Ana kiburi,madharau,akinikosea hajawahi kuomba msamah mpaka nitakapojirudi mwenyewe,,,hivyo nikawa na hofu kwamba itakuwaje Kama tutafunga ndoa Kama ktk Hali ya sasa yupo hivyo??

3. Hata akinikera hawezi kujishusha yupo tayari kupigana na tulishapigana akanipeleka ofisi ya kata tukashauriwa Lakini hakuna mabadiliko

4.Ana Tabia ya kunipekua,,,kuna siku nilitegesha pesa chini ya meza akaichukua afu nikamwambia kuna pesa nimeangusha chumban Kama aliiona akakataaa katu Lakini mwishow amekubali

5.Huwa tunakosana Sana mpaka nikaanza kunywa pombe,,,Mara pengin nashinda nje usiku Lakini Naona haimugusi wala ushaur hakuna

6.Siku aliponiibia pesa benki akajitetea nyumban kwao kuwa hakuna natumia Jambo ambalo Halina ukwel,,,na wazazi wake wanamuunga mkono Hata nijieleze vipi

KILICHOTOKA SASA HIVI
1.Amekuwa akichukua kila pesa anayoiona kwangu,,,ndani Hata kweny akaunti ya mitandao yangu ya simu na kucheza nayo kamari

2.Amekuwa na madeni mengi ya nje hiyo pesa amepeka kweny kamari

3.Nimemshirikisha baba yake juu ya kuchukua pesa zangu kwa siri na madeni ya nje Lakini baba yake katulia tu

4.Tareh 10 kuchukua pesa iliyo ndani nilipomuuliza lawama hajui baadaye kakubali,,tarehe 11 kachukua pesa
nyingin nikaumia Sana nikampigia usiku baba yake akaniambia nimpandishe kwenye gari na watot wake,,,mim nikaenda kunywa pombe asubuh nikamtaka aondoka na Arudishe pesa zangu,,,,,tukalumbana Sana mpaka nikachukua kisu mwishowe ameondoka na watot.

KESI HUKO KWAO
Ninahitaji kwenda KWAO nikajieleze na kuomba msamah kuwa nimemfukuza pamoja na watot,,,kumbuk watot wanatakiwa kwenda shule kesho

Naombeni ushaur jaman,,,,akili haifanyi Kazi mana Nataka tuachane Lakini nasi inakataa Sababu Nina watot Naye,,,nyumbani wanajua nimeoa hata kazin pia,,,,,,NAONA AIBU
expand...
Ikibidi fuata hii nukuu:- "Haijalishi ni umbali gani umekwenda, lakini kama unahisi umepotea njia rudi mwanzo ukaanze tena safari yako". - Kama umetoka MBEYA kwa lengo la kwenda DAR ES SALAAM lakini kwa bahati mbaya umefika sehemu unaulizia wapi ulipo; unaambiwa upo SINGIDA, ni dhahiri kuwa umepotea njia hivyo ni vyema kurudi nyuma ili uelekee njia sahihi ya kwenda DAR ES SALAAM kuliko kuendelea kunyoosha lami ya kwenda MWANZA...Ukijifanya mvumilivu wa kuendelea kunyoosha lami utafika MWANZA halafu utaambiwa rudi nyuma, na ili kuwahi hitaji lako utalazimika tena kupanda ndege kwa gharama kubwa....KWA HUYO MWANAMKE UMEPOTEA NJIA....Kama umesoma CUBA utakuwa ushanielewa.
 
Mkuu usije thubutu kuja kuishi na huyo mwanamke ama kufikiria kumuoa, alipaswa awe mpole akijua kwamba wewe ndio mwanaume wake. Kwa matukio yote hayo hapo juu, hakuna mwanamke hapo. Nimewahi kuwa na mwanamke kama huyo, kiburi, hawezi kujishusha, neno samahani ni msamiati kwake.

Huyo wako anatokea mkoa gani?
 
jnbg kwanza pole.

Kwa ulivyoandika tu inaonekana wewe ni tatizo kubwa.
Mke anaingia madeni makubwa wewe upo tu.

Mke anaiba na kuiba wewe upo tu

Mke anapenda kwao na kurudi Tena kwa kutoroka

Unachukua kisu, ili uchinje iweje sasa? Unapigana na jitu kubwa miaka yote, unachokitafuta utakipata. Huu ni ugonjwa wa akili.

Anza upya, jirekebishe acha kuwahusisha wazazi wenu kwenye ndoa Tena. chungulia vizuri hadi umpate yule mke uliyetongozana nae. Afu mjulishe kwamba Sasa unamtaka yule nae mwambie arudi hiyo stage.

Tuzna familia yako.
 
Back
Top Bottom