Ndugu naomba ushauri akili imestack

Ndugu naomba ushauri akili imestack

Na bado! nani aliwaambia watu kila binadamu anafaa kuoa/kuolewa? kumzalia/kumzalisha?

Wanatesa watoto.

Kuna watu tunawaona huku mitaani, wamenyooka kama rula, familia ni familia wanapiga hatua.. watoto wanasoma darasa moja, darasa la kumi mwisho wanajitegemea, hakuna vurugu wala heka heka. Na kuna hawa wengine kutwa vita kama gaza, Hatujiulizi kitu? kuna mahali tunakosea na hatuko tayari kwa huu mjadala kama jamii.
Wanaume tunao wanawake wasio wake zetu, na wanawake wanaolewa na wanaume wasio wao, ndio maana kuna na drama za kutosha kwenye ndoa.. yani ni kama tumewekewa Laana na Baraka ila wengi huwa tunachagua Laana 😅😅😅
 
....Kaenda kwao we kausha, piga hesabu za kuwafuata watoto, yaani hiyo ndiyo sababu ya kupiga chini mazima.
 
1. Bado hauna sifa ya kuitwa mwanamme/Baba
2. Umeongea uwongo
3. Hauna msimamo
4. Unamwogopa sana mkeo bila shaka kakuzidi nguvu
5. Ulevi haujaanza kwasababu ya mkeo, umeanza kitambo sana
6. Maisha yako ni ya duni

Mwisho: Huenda wewe ni mwalimu
 
Baba kaja kutuomba ushauri wanae any way, fukuza huyo au uende mbali ukajitafte tena umwachie Kila ki2
 
Naomba ushaur wako boss kuhus post
1. Bado hauna sifa ya kuitwa mwanamme/Baba
2. Umeongea uwongo
3. Hauna msimamo
4. Unamwogopa sana mkeo bila shaka kakuzidi nguvu
5. Ulevi haujaanza kwasababu ya mkeo, umeanza kitambo sana
6. Maisha yako ni ya duni

Mwisho: Huenda wewe ni mwalimu
 
😅😅😅 kwani andiko lasemaje ?

Nimewawekea mbele zenu BARAKA NA LAANA.. ila hata dunia ya leo watu wengi tunajichagulia Laana. Hizi seke seke ni matokeo ya watu kupenda laana kuliko baraka.. acha waisome namba
Nimekuelewa vizuri kabisa na kukuunga mkono.

Mimi nilishawahi shuhudia watu wanavyofanya machaguzi ya wenza, unaona kabisa huyu anaenda kuangukia pua 😂😂
na kuna mwingine unaona kabisa huyu amelamba bingo!
 
Naomba ushaur wako boss kuhus post
Karb boss,,,Hali si hali
Ushauri ambao ntaanza kukupa ni huu.


Ukiwa unaishi na mwanamke /ndugu /rafiki au mtu yeyote yule Ila mkawa mnagombana Mara kwa Mara .

Basi hamtoweza kufanikiwa .


Mfano at your age 38 na umekaa na umekuwa na mwanamke 10 yrs since 2014.

Katika kipindi cha miaka 10 ambayo umekuwa na mke wako jiulize haya mambo

Mmeenda mbele ?
Mmerudi nyuma ?
Mpo pale pale ?


Jibu utakalopata ndo tutalitUmia kukupa ushauri mzuri wa nini ufanye na wapi uanzie .

Kumbuka unbidi kuwa makini sana unbidia uandae kesho yako bora Ila hapo hapo unabidi kuandaa kesho bora ya watoto wako.

Na kama ukiwa katika migogoro ni ngumu wewe kustawi kiuchumi na usipostawi kiuchumi utajikuta umeigeukia pombe Kama mfariji wako na anguko lako kitatokea hapo .


Be positive
Detachment ndo kitu kitakusaidia.
 
Nimekuelewa vizuri kabisa na kukuunga mkono.

Mimi nilishawahi shuhudia watu wanavyofanya machaguzi ya wenza, unaona kabisa huyu anaenda kuangukia pua 😂😂
na kuna mwingine unaona kabisa huyu amelamba bingo!
Kinachoponza watu ni tamaa ( kama edeni pale Eva aliona mti wa ujuzi na mewa wafaa na kutamanika kwa macho - taabu ndio inaanzia hapo ). Tamaa ya macho na hisia za mwili ndio zimekuwa zinaongoza sana watu kuchagua wenza.. hisia zikiisha moto unawaka 😅😅

Upendo sio hisia, ila wengi wanaingia na hisia.. acha watu wanyooke hakuna namna.. kuna vijana humu JF wanatoka wamuoe Irene Uwoya 😅😅
 
Naomba ushaur wako boss kuhus post
1. Jipange kisha nenda kwao kama ni faini ya kukaa na binti yao muda mrefu pasipo utaratibu basi kawalipe
2. Chukua damu yako uondokenayo, waachie mwanaye, nasema hivi WAACHIE MWANAYE
3. Kuhusu mtoto mdogo, fanya nao makubaliano ya kuwaachia wamlee hadi afikishe walao miaka mitatu/minne kisha kamchukue ili aanze shule
4. ACHA KABISA POMBE
5. Waeleze wazazi/ndugu zako kuhusu situation ilivyokuwa.

Mwisho, Pambana sana ili ukuze kipato chako
 
Kabla ya yote nikulize una pesa ? Au upo zako Na mishahara ya Tamisemi , kama unayo pesa achana naye haraka sana , tafta mwanamke mwingine usichukue chochote mlichochuma naye , anzisha familia nyingine mimi huyu mzazi mwenzangu hazingui kivile , ila nakwambia nimeanzisha familia yingine yaani huko napewa Mahaba ya ajabu na single mother wa sasa nilichompatia ni kanyumba ka kuishi na mtaji kidogo tu ili ahudumie mtoto niliyezaa naye hakika linapokuja suala la mapenzi naenjoy sana ntaacha kuoa if I will be blessed to live longer huku duniani na nikifika miaka 70, niumize kichwa kuhusu pesa na mapenzi eti yaniendeshe hapana, huyu mwenzangu baada ya kujua nimejiweka mahali na single mother aisee amebadilika sana mtiifu na msikivu maana nimemuahidi kuongeza mke ramsi akileta mbwembwe na Mali zangu mimi Nina tofauti ndogo Sana na hakim yule chezaji ya psg nandika watoto na nawajulisha ndugu so Huwa anasikia tu mumeo huko kanzisha mradi fulani
 
Kinachoponza watu ni tamaa ( kama edeni pale Eva aliona mti wa ujuzi na mewa wafaa na kutamanika kwa macho - taabu ndio inaanzia hapo ). Tamaa ya macho na hisia za mwili ndio zimekuwa zinaongoza sana watu kuchagua wenza.. hisia zikiisha moto unawaka 😅😅

Upendo sio hisia, ila wengi wanaingia na hisia.. acha watu wanyooke hakuna namna.. kuna vijana humu JF wanatoka wamuoe Irene Uwoya 😅😅
😂😂😂😂
 
Kabla ya yote nikulize una pesa ? Au upo zako Na mishahara ya Tamisemi , kama unayo pesa achana naye haraka sana , tafta mwanamke mwingine usichukue chochote mlichochuma naye , anzisha familia nyingine mimi huyu mzazi mwenzangu hazingui kivile , ila nakwambia nimeanzisha familia yingine yaani huko napewa Mahaba ya ajabu na single mother wa sasa nilichompatia ni kanyumba ka kuishi na mtaji kidogo tu ili ahudumie mtoto niliyezaa naye hakika linapokuja suala la mapenzi naenjoy sana siumsumbui moto, ntaacha kuoa if I will be blessed to love longer huku duniani na nikifika miaka 70, kudadeki kichwa kuhusu pesa na mapenzi eti yaniendeshe
 
Mimi Nina umri Miaka 38 sasa Nina mahusiano na mwanamke tangu mwaka 2014 na tumezaa watoto 4 kati ya hao 1 Mungu amemchukua na sasa Hivi tuna ambaye mwezi wa 10 atatimiza mwaka na wawili wapo shule darasa la 3 na 2.

Sijawahi kufika kwao tangu 2014 mpaka mwaka 2022 pale aliponiibia vitu vya ndani TV,pasi ya umeme, laptop,redio,baadhi ya vitambulisho vyangu,simu,blenda,Kadi ya benki,,,shs.477000 Kaitoa benki mana Anajua password.Kaondoka na watot pia!

Sababu za kutofika kwao

1.Umbali kikazi ulichangia mana
nilikuwa busy na uhamisho na mim pia kwetu sijaenda tangu 2017 Hadi 2021 kwa ajil ya Mazish

2.Huwa hatuelewani kwa Muda mrefu Katika mahusiano yetu mana Ana kiburi,madharau,akinikosea hajawahi kuomba msamah mpaka nitakapojirudi mwenyewe,,,hivyo nikawa na hofu kwamba itakuwaje Kama tutafunga ndoa Kama ktk Hali ya sasa yupo hivyo??

3. Hata akinikera hawezi kujishusha yupo tayari kupigana na tulishapigana akanipeleka ofisi ya kata tukashauriwa Lakini hakuna mabadiliko

4.Ana Tabia ya kunipekua,,,kuna siku nilitegesha pesa chini ya meza akaichukua afu nikamwambia kuna pesa nimeangusha chumban Kama aliiona akakataaa katu Lakini mwishow amekubali

5.Huwa tunakosana Sana mpaka nikaanza kunywa pombe,,,Mara pengin nashinda nje usiku Lakini Naona haimugusi wala ushaur hakuna

6.Siku aliponiibia pesa benki akajitetea nyumban kwao kuwa hakuna matumizi Jambo ambalo Halina ukwel,,,na wazazi wake wanamuunga mkono Hata nijieleze vipi

KILICHOTOKA SASA HIVI
1.Amekuwa akichukua kila pesa anayoiona kwangu,,,ndani Hata kweny akaunti ya mitandao yangu ya simu na kucheza nayo kamari

2.Amekuwa na madeni mengi ya nje hiyo pesa amepeka kweny kamari

3.Nimemshirikisha baba yake juu ya kuchukua pesa zangu kwa siri na madeni ya nje Lakini baba yake katulia tu

4.Tareh 10 kuchukua pesa iliyo ndani nilipomuuliza lawama hajui baadaye kakubali,,tarehe 11 kachukua pesa
nyingin nikaumia Sana nikampigia usiku baba yake akaniambia nimpandishe kwenye gari na watot wake,,,mim nikaenda kunywa pombe asubuh nikamtaka aondoka na Arudishe pesa zangu,,,,,tukalumbana Sana mpaka nikachukua kisu mwishowe ameondoka na watot.

KESI HUKO KWAO
Ninahitajika kwenda KWAO nikajieleze na kuomba msamah kuwa nimemfukuza pamoja na watot,,,kumbuk watot wanatakiwa kwenda shule kesho

Naombeni ushaur jaman,,,,akili haifanyi Kazi mana Nataka tuachane Lakini nafsi inakataa Sababu Nina watot Naye,,,nyumbani wanajua nimeoa hata kazin pia,,,,,,NAONA AIBU
Ushauri wangu kwanza fanyia kazi makosa yote ya nyuma yanayokuangusha mfano badili password,imarisha ulinzi WA Mali zako.

Pili,uyu mwanamke ana uhakika kwa SAsa huna pa kwenda ndio maana ana leta nyodo,usimchekee na mpige stop kuwa na mazoea na familia yao maana ndio inampa kiburi(Kata mazoea na familia yake maana Kuna namna wanakurudisha nyuma)
Mwisho,,Omba Mungu akusaidie upate amani ya Moyo maana ni mazito .
 
Back
Top Bottom