Ndugu naomba ushauri akili imestack

Ndugu naomba ushauri akili imestack

Pole sana. Kwanza usiende watoto wahamishiwe shule hukohuko kwa mama yao, hakikisha unatoa matunzo kwa ushahidi.

Mpeleke ustawi wa jamnii ya huko kwao mkaandikishane vizuri tuu
 
Huyo mwanamke alishakuona zwazwa huna msimamo huna maamuzi unajihofia ndo maana na yeye anafanya upumbavu maana ashajua anakuweza Umeshindwa nini kubadili pin yako ya bank, hujamuoa kwanini usiachane nae ukatoa huduma za watoto wako tu, ukaombe msamaha wa nini mwanamke kahaba kaondoka mwenyewe maisha yamempiga badala aombe msamaha anataka akuchukulie advantage wewe Usiwe msenge broh
 
Wanawake wa Kanda ya ziwa na kaskazini wana changamoto hizo sana. Pole mkuu. Kwa kifupi hizo tabia ni za familia yake. Huwezi pata msaada wowote toka kwa baba au Mama yake. Na usionyeshe weakness kuwa unawaza sana watoto. Watakusumbua sana (yeye na familia yake). Fanya kama unapotezea usitume matumizi.

Usinyenyekee kupata kiasi.
Mkuu huo ushaur wako Nataka kuuzingatia Lakini nafsi inakataa Mana watoto nawapenda,,,Naona Aibu kwa jamii kuwa nimeachana naye Mana jamii ya kwetu na kazini inajua Mana ninaheshimika,,,,,sasa Hivi sijasema mahali popote namna yule mwanamke alivyonitenda,,,,mambo yote hayo imekuwa siri yetu pamoja na wazazi wake Hata wazaz wangu hawajui lolote
 
Huyo mwanamke alishakuona zwazwa huna msimamo huna maamuzi unajihofia ndo maana na yeye anafanya upumbavu maana ashajua anakuweza Umeshindwa nini kubadili pin yako ya bank, hujamuoa kwanini usiachane nae ukatoa huduma za watoto wako tu, ukaombe msamaha wa nini mwanamke kahaba kaondoka mwenyewe maisha yamempiga badala aombe msamaha anataka akuchukulie advantage wewe Usiwe msenge broh
Alivyonichukulia pesa mfululizo wakari nishamwambia ile ni pesa ya nini na kuichukua nilikasirika Sana,,,,,nikampigia baba yake usiku Kusa Nini huyu binti yako ananitania hivyo Kila siku?kila mwezi ni bora aende nyumban!!!! Baba yake kasema nimpandishe mwenye gari akiwa na watoto wake,,,,, asubuh tukaanza kulumbana mwishow nikamshikia kisu Kama kumtisha vile kuona Kama ataogopa na kujishusha Lakini wala!!!!,,,,sasa Hivi wananiita kwao tukayamalize kwa Nini nimeshikia kisu na kumfukuza na watot???
 
Mkuu huo ushaur wako Nataka kuuzingatia Lakini nafsi inakataa Mana watoto nawapenda,,,Naona Aibu kwa jamii kuwa nimeachana naye Mana jamii ya kwetu na kazini inajua Mana ninaheshimika,,,,,sasa Hivi sijasema mahali popote namna yule mwanamke alivyonitenda,,,,mambo yote hayo imekuwa siri yetu pamoja na wazazi wake Hata wazaz wangu hawajui lolote
Wanawake wasumbufu hutumia watoto kama kinga ya kufanya ujinga wao. Ukionyesha huo udhaifu wa mapenzi kwa watoto ndio unazidi kuwaangamiza. Kwake hatojali watoto wanaumia vipi na matendo yake/yenu as long as anapata sehemu ya udhaifu wako kukukomoa au kukuumiza na kukuburuza.

Sisemi usiwapende na kuwajali watoto wako la hasha!
 
Alivyonichukulia pesa mfululizo wakari nishamwambia ile ni pesa ya nini na kuichukua nilikasirika Sana,,,,,nikampigia baba yake usiku Kusa Nini huyu binti yako ananitania hivyo Kila siku?kila mwezi ni bora aende nyumban!!!! Baba yake kasema nimpandishe mwenye gari akiwa na watoto wake,,,,, asubuh tukaanza kulumbana mwishow nikamshikia kisu Kama kumtisha vile kuona Kama ataogopa na kujishusha Lakini wala!!!!,,,,sasa Hivi wananiita kwao tukayamalize kwa Nini nimeshikia kisu na kumfukuza na watot???
Kwanini usingempandisha kwenye gari peke yake ukabaki na watoto wako? Au unamuogopa baba yake maana naona ndio anaeendesha familia yako.
 
Mimi Nina umri Miaka 38 sasa Nina mahusiano na mwanamke tangu mwaka 2014 na tumezaa watoto 4 kati ya hao 1 Mungu amemchukua na sasa Hivi tuna ambaye mwezi wa 10 atatimiza mwaka na wawili wapo shule darasa la 3 na 2.

Sijawahi kufika kwao tangu 2014 mpaka mwaka 2022 pale aliponiibia vitu vya ndani TV,pasi ya umeme, laptop,redio,baadhi ya vitambulisho vyangu,simu,blenda,Kadi ya benki,,,shs.477000 Kaitoa benki mana Anajua password.Kaondoka na watot pia!

Sababu za kutofika kwao

1.Umbali kikazi ulichangia mana
nilikuwa busy na uhamisho na mim pia kwetu sijaenda tangu 2017 Hadi 2021 kwa ajil ya Mazish

2.Huwa hatuelewani kwa Muda mrefu Katika mahusiano yetu mana Ana kiburi,madharau,akinikosea hajawahi kuomba msamah mpaka nitakapojirudi mwenyewe,,,hivyo nikawa na hofu kwamba itakuwaje Kama tutafunga ndoa Kama ktk Hali ya sasa yupo hivyo??

3. Hata akinikera hawezi kujishusha yupo tayari kupigana na tulishapigana akanipeleka ofisi ya kata tukashauriwa Lakini hakuna mabadiliko

4.Ana Tabia ya kunipekua,,,kuna siku nilitegesha pesa chini ya meza akaichukua afu nikamwambia kuna pesa nimeangusha chumban Kama aliiona akakataaa katu Lakini mwishow amekubali

5.Huwa tunakosana Sana mpaka nikaanza kunywa pombe,,,Mara pengin nashinda nje usiku Lakini Naona haimugusi wala ushaur hakuna

6.Siku aliponiibia pesa benki akajitetea nyumban kwao kuwa hakuna matumizi Jambo ambalo Halina ukwel,,,na wazazi wake wanamuunga mkono Hata nijieleze vipi

KILICHOTOKA SASA HIVI
1.Amekuwa akichukua kila pesa anayoiona kwangu,,,ndani Hata kweny akaunti ya mitandao yangu ya simu na kucheza nayo kamari

2.Amekuwa na madeni mengi ya nje hiyo pesa amepeka kweny kamari

3.Nimemshirikisha baba yake juu ya kuchukua pesa zangu kwa siri na madeni ya nje Lakini baba yake katulia tu

4.Tareh 10 kuchukua pesa iliyo ndani nilipomuuliza lawama hajui baadaye kakubali,,tarehe 11 kachukua pesa
nyingin nikaumia Sana nikampigia usiku baba yake akaniambia nimpandishe kwenye gari na watot wake,,,mim nikaenda kunywa pombe asubuh nikamtaka aondoka na Arudishe pesa zangu,,,,,tukalumbana Sana mpaka nikachukua kisu mwishowe ameondoka na watot.

KESI HUKO KWAO
Ninahitajika kwenda KWAO nikajieleze na kuomba msamah kuwa nimemfukuza pamoja na watot,,,kumbuk watot wanatakiwa kwenda shule kesho

Naombeni ushaur jaman,,,,akili haifanyi Kazi mana Nataka tuachane Lakini nafsi inakataa Sababu Nina watot Naye,,,nyumbani wanajua nimeoa hata kazin pia,,,,,,NAONA AIBU
Red flags zote hizo bado unajishauri tu, achana nae somesha watoto nankila mtu aishi kivyake maana unapoelekea mnatafuta kuuwana
 
Ume sahau kusema mkeo ana vuta bangi
Havuti bangi mkuu,,,,nilichopendea Sana kwake kwa Muda wote tulioishi sijaona dalili ya cheating,,,hanywi pombe Ila Ana kiburi,dharau,kuomba msamaha ni kitu hajui Hata Kama KOSA ni lake,,,,,Nikimnunia kidogo kuonyeha nimekereka na yeye ananuna nisipojirudi mim NdO imetoka Hiyo!!!
 
Alivyonichukulia pesa mfululizo wakari nishamwambia ile ni pesa ya nini na kuichukua nilikasirika Sana,,,,,nikampigia baba yake usiku Kusa Nini huyu binti yako ananitania hivyo Kila siku?kila mwezi ni bora aende nyumban!!!! Baba yake kasema nimpandishe mwenye gari akiwa na watoto wake,,,,, asubuh tukaanza kulumbana mwishow nikamshikia kisu Kama kumtisha vile kuona Kama ataogopa na kujishusha Lakini wala!!!!,,,,sasa Hivi wananiita kwao tukayamalize kwa Nini nimeshikia kisu na kumfukuza na watot???
Baba ake ameshajua binti yake ni mwanamke wa aina gani sio mwanamke wa kutulia na mwanaume au kuolewa na ndo maana amekwambia mpandishe kwenye gari na watoto wake means umuache abaki single mother ashike adabu ili ajifunzez wewe umeshindwa kujiongeza kwa ujinga wako bado unamng'ang'ania, Huyo mwanamke kashaona wewe ni Mpumbavu na anakumudu Nyumbani kwao wanakuita mkayamalize sio kwamba wanakupenda sana NO wameona wewe ndo mtu pekee (zwazwa) unaeweza kuvumilia upunguwani wa binti yao so wakikubali umuache ataolewa na nani,?na ndo maana wanataka uende ukachukue mzigo wako na kwa upumbavu wako japo huyo binti alikukosea utaenda mtayamaliza kwa sababu huna msimamo unatumia hisia kwenye sehemu za kutumia akili, Huyo mwanamke ameondoka na ameshaona yamemshinda pa kukimbilia ni wapi,? Ni kwako, Je atarudije na alikufanyia upumbavu kaona ngoja aanze drama uonekane wewe ndo mwenye makosa then umuombe msamaha aje aendelee kukuendesha kama kawaida yake sio kwamba hajui upumbavu alioufanya ila ni kua amekuona wewe ni mpumbavu kiasi cha kuvumilia upumbavu wake na Wazazi wake hapo nyumbani hawamtaki na ndo mana wanakuita myamalize uchukue takataka yako sio kwamba wanapenda mahusiano yenu Broh natamani niwe karibu nikupige mibao ufungue hizo akili wanaume hatuwi wapumbavu kama wewe Wanaume hatuendeshwi na hisia kwenye sehem za kutumia akili na kureason USIWE MPUMBAVU
 
MM NIKIONA MTU ANAKOSA AMANI YA MOYO NA AKILI KISA SIJUI WATOTO NAONA BADO WW UNASHIDA. ACHA KUFA TARATIBU AMUA MOJA UNALIA LIA HAPA NA HUNA MAAMUZI HUO NI UDHAIFU. MJIFUNZE KUJIANGALIA NYIE KWANZA,JIFUNZE KUJIPENDA WW KWANZA UKUTE HATA HAO WATOTO SIO WAKO ILA UNAKAZI YA KUJITUTUMUA KUWALEA. JIHESHIMU UTAHESHIMIWA MZEE!!!!MAMA YAO AKIONA UMUHIMU WAKO ATAKUESHIMU!!!HESHIMA HAILAZIMISHI,AFYA YAKO YA AKILI NI MUHIMU SANA.
WANAWAKE WOTE HAO UKO NJE NA BADO UNALIALIA HAPA ETI WAKWE WAMEKUITA UKAOMBE MSAMAHA, YAANI INAONYESHA NI KIASI GANI HAO WATU WAMEKUDHARAU😡😡
UANAUME UNAPIMWA NA MAAMUZI MAGUMU CHANGAMKA ACHA KULIALIA,PIGA BLOCK HAO NG'OMBE WOTE ALAFU CHUKUA MWANAMKE MWINGINE ANZA MAISHA NAYEYE AKIZINGUA PIGA CHINI TAFUTA MWINGINE YAANI MWENDO NI HUO MPAKA KIELEWEKE🤝
 
Huu utamaduni wa kuoa Bado mmeukumbatia mpaka Karne hii, huo utamaduni ushapitwa na wakati Mzee baba!
 
MM NIKIONA MTU ANAKOSA AMANI YA MOYO NA AKILI KISA SIJUI WATOTO NAONA BADO WW UNASHIDA. ACHA KUFA TARATIBU AMUA MOJA UNALIA LIA HAPA NA HUNA MAAMUZI HUO NI UDHAIFU. MJIFUNZE KUJIANGALIA NYIE KWANZA,JIFUNZE KUJIPENDA WW KWANZA UKUTE HATA HAO WATOTO SIO WAKO ILA UNAKAZI YA KUJITUTUMUA KUWALEA. JIHESHIMU UTAHESHIMIWA MZEE!!!!MAMA YAO AKIONA UMUHIMU WAKO ATAKUESHIMU!!!HESHIMA HAILAZIMISHI,AFYA YAKO YA AKILI NI MUHIMU SANA.
WANAWAKE WOTE HAO UKO NJE NA BADO UNALIALIA HAPA ETI WAKWE WAMEKUITA UKAOMBE MSAMAHA, YAANI INAONYESHA NI KIASI GANI HAO WATU WAMEKUDHARAU😡😡
UANAUME UNAPIMWA NA MAAMUZI MAGUMU CHANGAMKA ACHA KULIALIA,PIGA BLOCK HAO NG'OMBE WOTE ALAFU CHUKUA MWANAMKE MWINGINE ANZA MAISHA NAYEYE AKIZINGUA PIGA CHINI TAFUTA MWINGINE YAANI MWENDO NI HUO MPAKA KIELEWEKE🤝
Ushahuri wa ki-gangstar... Umetisha master...
 
Punguzeni upole,huyo ungekuwa unamzibua makofi tangu mwanzo angenyooka
Hata kama sio mtu wa kupiga

Dah huyu mwenzetu kazidi aisee
Anatabia mbaya zote za kike na za kiume zote mbaya

Dah mwizi?? Mcheza kamari ana pigana??
Duh analeaje watoto
 
Wanawake wa Kanda ya ziwa na kaskazini wana changamoto hizo sana. Pole mkuu. Kwa kifupi hizo tabia ni za familia yake. Huwezi pata msaada wowote toka kwa baba au Mama yake. Na usionyeshe weakness kuwa unawaza sana watoto. Watakusumbua sana (yeye na familia yake). Fanya kama unapotezea usitume matumizi.

Usinyenyekee kupata kiasi.
Sio kanda
Mi nishashuhudoa wa mbeya
Ana gombeza mume wake kama mtoto

Dah ni tabia tu ya mtu
 
Back
Top Bottom