Uchaguzi 2020 Ndugu Polepole kitendo cha kusema hadharani kuwa Lissu "Siyo mwenzetu" na umepanga kumuanika siku saba za mwisho ni upuuzi mwingine katika siasa!

Ubeberu, ukoloni mamboleo hizi Ni falsafa za watu waliofilisika fikra.wenye mawazo ya kijima
 
Ccm hawana hoja wala siasa. Ila wana madaraka na yamewalevya . Lissu ametendwa na mahayawani hawa na sasa wana hasira kwanini hakufa.

Hata ni mTz gani ataamini maneno ya Polepole ?!. Mtu kigeugeu wa siasa za hoja .
 
Ubeberu, ukoloni mamboleo hizi Ni falsafa za watu waliofilisika fikra.wenye mawazo ya kijima
 
Usikonde eti ndo semina elekezi ya siku tano
 
Haiuziki hio hoja,wajibu hoja ya cheti Cha kuzaliwa Cha mgombea wao,na ishu ya kuzulumiwa watu ardhi karagwe mbona wapo kimya.
Ccm awakujipanga kabisa.Na hii ndio hasara ya kuzuia watu kuongea 5 yrs
 
Haiuziki hio hoja,wajibu hoja ya cheti Cha kuzaliwa Cha mgombea wao,na ishu ya kuzulumiwa watu ardhi karagwe mbona wapo kimya.
Ccm awakujipanga kabisa.Na hii ndio hasara ya kuzuia watu kuongea 5 yrs
 
Hahahaha mapigo ndiyo yanaanza mpaka mtaomba po....niliwaambia humu kuwa kuhamasisha vurugu na kuzungumzia the Hague wengine hamjui kuwa anayehamasisha vurugu ndiye mtuhhmiwa nambari wani wa The Hague...halafu msiwaone wenzenu polisi na dola wake kimya ...mnachorwa tu...
 

Tuliwaambia mgombea wenu hauziki amkusikia Ni mweupe na mwepesi Sana kwenye reasoning kujenga hoja za ushawishi kulingana na eneo husika Sasa kijijini unazungumzia ndege, flyover, mabeberu hata awaelewi.Jiwe ajawahi shinda chochote bila kubebwa.
 
Aliyempa Polepole kazi ya kumshambulia Lisu anakosea sana.

Polepole ni mtendaji katika CCM , na shughuli yake inatakiwa kuwa uenezi wa itikadi ya chama, si vinginevyo.

Huyu si mgombea wala mwanasiasa wa kuchaguliwa.

Polepole ni mtu wa mshahara.
Hana vision wala nguvu ya utekelaji wa ilani, yeye ni kupiga chapuo tu.

Bahati mbaya zaidi hana mvuto kulinganishwa na Nape.

Kitendo cha kumtumia si afya.
 
CCM wamebaki na vioja,hawana sera. Press nzima anamuongelea Lissu. Mara anamwita msukule ?Msukule unawafanya hadi wanaitisha Press ?Nimesikia Nec wamemwita Lissu kamati ya maadili. Lissu awe makini. Nikikumbuka yule mpinzani wa Putin aliyelishwa sumu kule Serbia. Lissu awe makini tena sana. CCM hawasiti kumuua tena this time kwa sumu.
 
Ccm hawana hoja wala siasa. Ila wana madaraka na yamewalevya . Lissu ametendwa na mahayawani hawa na sasa wana hasira kwanini hakufa.

Hata ni mTz gani ataamini maneno ya Polepole ?!. Mtu kigeugeu wa siasa za hoja .
Utaona mTz alieamini maneno ya Polepole baada ya tarehe 28 october
 
Kupitia uzi huu kuna jambo nimeligundua...siasa tuwaachie wanasiasa sisi tuandae vichinjio tu sio maneno tu huku jf.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…