Ndugu wa Hamza, mhalifu aliyeua Askari Selander bridge watiwa mbaroni na polisi

Ndugu wa Hamza, mhalifu aliyeua Askari Selander bridge watiwa mbaroni na polisi

Hao jamàa wanavyodai kuwa atakuwa amenyang'anywa gold yake. Wao wenyewe ni wanaume wanajua utafutaji ulivyo mgumu. Wao wanawaza kudhulumu jasho la wanaume wenzao. Wale wafanyabiashara wa madini mahenge waliishia wapi na kamanda wao zombe.

Kule nyamongo Askari waliwanyang'anya ndugu zangu jiwe la gold ambalo walimuuzia maza mmoja hivi.

Huyo maza alijenga ghorofa baada ya kuwa ameuza pure gold.

Mpaka yule maza aliwapa pole ya laki 5.

Yaani bana Askari basi tu ni kwa vile Askari wengi wamekaa kidizaini fulani
 
Hujui lolote kuhusu uaskari, hujui ni mazingira gani wanafyatua risasi kwa nia ya kuua au wanafyatua kwa nia ya kukamata mhalifu akiwa hai. Ila upo unasema unayoyasema. Hahaha, mdomo wa binadamu huo.
Muhalifu mmoja maaskari wanne tena hapo huyo muhalifu yuko wazi wazi katikati ya barabara hakujificha.
Je wahalifu wangekuwa watano kwenye maficho ingekuwaje ndugu?
Fikiria mara mbili mambo ya theory za darasani ziweke pembeni
 
Muhalifu mmoja maaskari wanne tena hapo huyo muhalifu yuko wazi wazi katikati ya barabara hakujificha.
Je wahalifu wangekuwa watano kwenye maficho ingekuwaje ndugu?
Fikiria mara mbili mambo ya theory za darasani ziweke pembeni
Wewe ndo acha kutimia filamu zako za utotoni za kivita zilizotafsiriwa kukosoa weledi wa askari wanaokulinda.

Kama una mapendekezo ya uboreshaji wa binadamu hawa utoe kwa staha na usisahau kukumbuka kwamba pamoja na madhaifu ya jeshi, jeshi ndo sababu ya wewe kuwa huru kufanya kazi zako mtaani.

Wanakufa wanajeshi wetu sana huko mipakani, mitaani n.k ili wewe uwe salama. Hiyo mbona ni sababu tosha ya kuwapa heshima hawa binadamu ambao wangependa kuwa hai kama wewe? Una matatizo gani?
 
Hii huwa wanaita kuisaidia Polisi sio kutiwa Mbaroni, Ndio hivyo Life Sio Fair ndio maana walisema Mchuma Janga hula na Wakwao
 
Wewe ndo acha kutimia filamu zako za utotoni za kivita zilizotafsiriwa kukosoa weledi wa askari wanaokulinda...
Majeshi kutulinda raia ndio kazi yao waliyoajiriwa nayo na kulipwa mshahara,ile ni ajira na inagombaniwa na watu wengi.
Kwenye madhaifu yasemwe tusiweke siasa.

Imagine yule jamaa angeamua kumfyatua kila binadamu anayekatiza mbele yake ingekuwaje?Tungepoteza raia wengi sana ndani ya muda mchache.

Kiufupi polisi bongo hawako vizuri kwenye matukio ya dharula,hiyo kubali mzee baba.
 
Kuna swali hapa sijaona watu wakiliongea yule ndugu alikua anatumia silaha vizuri sana je alipata wapi mafunzo hayo kama ni mtu leo hii ameshika silaha hawezi kufanya yale ambayo tumeshuhudia kuna mengi yakuhoji
Bila shaka umesahau yale mafunzo wanayopewa kile kikundi cha kigaidi UVCCM. Je unahitaji ushahidi wa picha au video? Chagua mwenyewe.
 
fake picture na aliyetuma anafuatiliwa
CCM elezeni ni wapi mna-train hawa MAGAIDI! Yani mnatoa watu SOMALIA kuja kuwapa nafasi kwenye chama ili waje kuwa MAGAIDI! Kwa sasa mnataka kumchafulia Mama utawala wake, mbona hamkutumia kipindi cha JPM! View attachment 1908971
JamiiForums425278321.jpg
 
Back
Top Bottom