Ndugu wa mateka wapambana vikali na wabunge ndani ya Knesset nchini Israel

Ndugu wa mateka wapambana vikali na wabunge ndani ya Knesset nchini Israel

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Vita vikali vya maneno vimetokea kwenye bunge la knesset nchini Israel baina ya wabunge wahafidhina wa kiyahudi na makundi ya ndugu za mateka wanaokisiwa 247 walioko Gaza.

Mapambano hayo yamesababisha kushindikana kupitishwa sheria ya kifo kwa wafungwa wa kiarabu walioko kwenye magereza ya Israel ambao ni miongoni mwa hadidu rejea za mazungumzo ya kusitishwa kwa vita yanayoendelea Qatar.

Katika maneno yao makali ndugu hao walisema yanini kupitisha sheria ya kifo kwa waarabu badala ya kutilia mkazo juhudi za kuokoa maisha ya wayahudi.Tamko hilo lilikuwa na maana ya kuhimiza harakati za kusitisha vita ili kuokoa maisha ya mateka.

Kwa upande wa wahafidhina walisikika wakifoka kwa nguvu kuwaambia upande wa pili kuwa na wao wametekwa na kifikra na Hamas kwani kusitisha vita kutawapa nguvu Hamas kuendeleza mashambulizi yao.

Israeli Knesset Committee Faces Turmoil Over Death Penalty Proposal for Palestinian Prisoners
 
Hezbollah just BLEW UP an entire ISRAELI MILITARY BASE.
Kambi nzima imesambaratishwa,Maafa ya askari itakuwa ni kubwa.
Makombora wanayotumia ni aina ya Burqan ambalo kila moja linabeba vilipuzi nusu tani.hapo wamerusha mawili.
Vita katika ulimwengu wa kileo ni ngumu sana.Ukiwa na kibri unaweza ukapigwa na maskini kirahisi sana
 
Kambi nzima imesambaratishwa,Maafa ya askari itakuwa ni kubwa.
Makombora wanayotumia ni aina ya Burqan ambalo kila moja linabeba vilipuzi nusu tani.hapo wamerusha mawili.
Vita katika ulimwengu wa kileo ni ngumu sana.Ukiwa na kibri unaweza ukapigwa na maskini kirahisi sana
Hezbollah wamejipanga na wamejiandaa sana na Israel wataingia kama Gaza watakipata wasichokitarajia kabisa.
Hezbollah kaangalia vita na Hamas kaona udhaifu mkubwa wa Israel ndiyo maana anataka vita kwa nguvu.
 
Israel na sponsa wake wanajaribu kuivumilia Hezbollah pamoja na Ansarullah kwa sabab wanahofia endapo km watawajib kwa kiwango kikubwa inaweza pelekea mzozo kuwa mkubwa wakashindwa kuudhibit na kupelekea mtanange kuwa endelev ndio maana licha ya mara kadhaa wanashambuliwa lkn mrejesho wao unakuwa hafifu
 
Israel na sponsa wake wanajaribu kuivumilia Hezbollah pamoja na Ansarullah kwa sabab wanahofia endapo km watawajib kwa kiwango kikubwa inaweza pelekea mzozo kuwa mkubwa wakashindwa kuudhibit na kupelekea mtanange kuwa endelev ndio maana licha ya mara kadhaa wanashambuliwa lkn mrejesho wao unakuwa hafifu
Umri wako mdogo wewe ulikuwepo Beirut bombing 1982 ?
 
Hezbollah wamejipanga na wamejiandaa sana na Israel wataingia kama Gaza watakipata wasichokitarajia kabisa.
Hezbollah kaangalia vita na Hamas kaona udhaifu mkubwa wa Israel ndiyo maana anataka vita kwa nguvu.
Mkuu embu tupe Military analytical tuone jinsi gani hao Hezbollah wamelizidi jeshi la Israel mpaka anatamani kuingia kwenye vita.
 
Israel na sponsa wake wanajaribu kuivumilia Hezbollah pamoja na Ansarullah kwa sabab wanahofia endapo km watawajib kwa kiwango kikubwa inaweza pelekea mzozo kuwa mkubwa wakashindwa kuudhibit na kupelekea mtanange kuwa endelev ndio maana licha ya mara kadhaa wanashambuliwa lkn mrejesho wao unakuwa hafifu
Hizo ndizo dalili halisi za kuzidiwa kwenye vita.Ikiwa unapigwa na huwezi kujibu adui yake anapata nguvu kukupiga mpaka unadondoka chini.
 
Hizo ndizo dalili halisi za kuzidiwa kwenye vita.Ikiwa unapigwa na huwezi kujibu adui yake anapata nguvu kukupiga mpaka unadondoka chini.
Kwahiyo kwa sasa wapinzani wa Israel wapo vizuri sana,nadhani vita iendelee na wasiendelee kutuonyesha maiti za watoto tushazichoka.Midhari wako fit na wanaendelea kuwachokoza basi wapigane kiume bila kulia lia mpaka waifute Israel
 
Kwahiyo kwa sasa wapinzani wa Israel wapo vizuri sana,nadhani vita iendelee na wasiendelee kutuonyesha maiti za watoto tushazichoka.Midhari wako fit na wanaendelea kuwachokoza basi wapigane kiume bila kulia lia mpaka waifute Israel
Kwa picha za watoto wakiuliwa wewe peke yako ndio umechoka na unaona sawa.Lakini ulimwengu mzima mpa New York zimewakera sana.
Kuwa fit na kuendelea kupigana kwa silaha dhaifu wewe ndio jiulize huo ushujaa unatokana na nini na unatoka wapi.
 
Maji ya shingo...
Habari imetokea kweli ukiambiwa unajidai tunajifariji
Kuna vitu tunakubali matokeo na nyinyi kuna vitu mkubali matokeo.Vita si lelemama.
 
Kwahiyo kwa sasa wapinzani wa Israel wapo vizuri sana,nadhani vita iendelee na wasiendelee kutuonyesha maiti za watoto tushazichoka.Midhari wako fit na wanaendelea kuwachokoza basi wapigane kiume bila kulia lia mpaka waifute Israel
Na kwa hali hii kila adui wa mwisraeli laziam ajizatiti kwa huu uonefu kutakuwa amna unyonge tena
 
In the past 72 hours, Hamas DESTROYED 60 ISRAELI military vehicles, including 10 personnel carriers.
 
In the past 72 hours, Hamas DESTROYED 60 ISRAELI military vehicles, including 10 personnel carriers.
Nalazimika kuziamin taarifa zako kwa sabab km kwel wateule wangekuwa kwel wanadhibit Gaza inakuaje mpaka sasa wameshindwa kujua walipo mateka ilhali wapo humohumo
 
Back
Top Bottom