Ndugu wa mateka wapambana vikali na wabunge ndani ya Knesset nchini Israel

Ndugu wa mateka wapambana vikali na wabunge ndani ya Knesset nchini Israel

In the past 72 hours, Hamas DESTROYED 60 ISRAELI military vehicles, including 10 personnel carriers.
Kuna watu wanaona kama ni propaganda wakiamini Israel ni taifa teule.
Siku askari wa IDF wakianza kukimbia vita kuogopa vifo ndio wataelewa.Wao ndio wnauona ukweli mbele yao.Marafiki zao wakiwaona wamelala chini hawafurukuti hakutakuwa na kusikiliza maneno ya Netanyahu.
 
Nalazimika kuziamin taarifa zako kwa sabab km kwel wateule wangekuwa kwel wanadhibit Gaza inakuaje mpaka sasa wameshindwa kujua walipo mateka ilhali wapo humohumo
Takuletea video uone wanajeshi wa Israel wanapiga risasi hovyo kwenye kuta za majengo waliovunja hawajui Hamas wanatoka wapi.

Hamas wanawavizia na hivi walikata umeme usiku wanachezea kichapo balaa
 
Back
Top Bottom