Ndugu wa mke kuja nyumbani kwangu bila mimi kujulishwa imekaa kitaalamu kweli hii kitu?

Ndugu wa mke kuja nyumbani kwangu bila mimi kujulishwa imekaa kitaalamu kweli hii kitu?

Huu upepo uache upite kwa muda fulani, kwasasa unaweza kuliamsha dude hata hivyo wageni ni baraka ilitakiwa kabla ya hao wageni kuja ungeli mwandaa mkeo umuhimu wa wageni kutoa taarifa mapema kumbe hata wakitoa taarifa watakuja tu yaani kwako wewe taarifa haikatazi mtu kuja ila lengo lako ni kujiandaa, hebu tubadilishane uzoefu huu, mimi kuna wakati wageni walifululiza tena wakati mdogo wake wife yupo nikasema mwezi huu tuna mfululizo wa wageni na haikuwa kwa nia mbaya kwa vile nilikuwa na uwezo lakini jibu alilonipa lilikuwa kwa mtindo kufoka, what"s wrong with that, I can feed you from 1-30, bahati nzuri wife alikuwa muajiliwa alimaanisha kwani kuna tatizo gani naweza kulisha kuanzia tarehe 1 hadi 30, mimi ilibidi niwe mpole jilikuwa 1991, je kuna kitu umejifunza kwa maelezo hayo, karibu
Sawa mkuu
 
Wewe na mkeo huwa hamzungumzi..?? Maana katika maongezi yenu ya kawaida ya kila siku ndipo humo hizo taarifa zingekuwa zinakufikia..!!

Hamuwezi kuwa mnaongea kila siku kisha kuna wageni kwako na mkeo asiseme chochote kabisa, it doesn't sit well with me kiukweli..!!

Na mambo mengine anakushirikisha kama kawaida mkuu..? Ama mnaishi tu kama watu mnaoshea nyumba na siyo familia ya mke na mume..? MAWASILIANO yenu yapoje mkuu..?
Mazungumzo huwa yapo chief
 
Umeshindwa ku-manage nyumba yako, usipewe hata ukatibu kata mkuu. Nyie ndio mkipewa uongozi wa nchi mnatuingiza chaka coz hata familia zenu mmeshindwa kuziongoza
Kwa hiyo ushauri wako ni nini chief?
 
Wewe mwenyewe ukienda kwako hutoi taarifa umesema na unaona ni kawaida tu, usilaumu kaka, ni mtindo wa maisha uiiouanzisha mwenyewe tulia uuishi!

Kutoa taarifa kwenda kwako hakukuondolei ubaba wako wala haukushushii cheo chako home, ni ustaarabu tu.

Usilalamike kwa mkeo kutokukushirikisha mambo. Anajifunza kwako
What goes around comes around, uyafanyayo kwa wengine huwa yanakurudia , (yanakufanya wewe hahahaa)
 
Mimi binafsi ndugu zangu huwa wanatoa taarifa siku 3 nyuma kabla hawajaja kwangu hivyo tunajiandaa mapema.
So wakuu hii kitu imekaa kitaalamu kweli na nitumie mbinu gani kufikisha ujumbe kwa wife bila kumkwaza?
Mkuu, inaonyesha UNAMUOGOPA MKEO, kitu ambacho ni sahihi. Accept it or Not.

Jingine pia inaonekana umeoa COOPERATE WOMAN, Yaani Mke mfanyakazi, hivyo ndio maana UNAMUOGOPA.

USHAURI: Kwenye Ulimwengu wa Mapenzi, ukiona Mwanaume unahofia kumkwaza Mke wako, basi ni ishara kuwa ameshakupanda kichwani, kwasababu maamuzi mengi ya KIUME huwa hayawafurahishi wanawake, na mara zote ndio maamuzi sahihi.

Fanya maamuzi wa kuweka sheria katika nyumba yako na hakikisha umeyasimamia. Swala la kumkwaza au kuto-mkwaza hilo muachie yeye. Wewe weka sheria na zisimamie FULLSTOP.

Be a Man, mwanaume hupaswi kukosa Uhuru nyumbani kwako.
 
Mkuu, inaonyesha UNAMUOGOPA MKEO, kitu ambacho ni sahihi. Accept it or Not.

Jingine pia inaonekana umeoa COOPERATE WOMAN, Yaani Mke mfanyakazi, hivyo ndio maana UNAMUOGOPA.

USHAURI: Kwenye Ulimwengu wa Mapenzi, ukiona Mwanaume unahofia kumkwaza Mke wako, basi ni ishara kuwa ameshakupanda kichwani, kwasababu maamuzi mengi ya KIUME huwa hayawafurahishi wanawake, na mara zote ndio maamuzi sahihi.

Fanya maamuzi wa kuweka sheria katika nyumba yako na hakikisha umeyasimamia. Swala la kumkwaza au kuto-mkwaza hilo muachie yeye. Wewe weka sheria na zisimamie FULLSTOP.

Be a Man, mwanaume hupaswi kukosa Uhuru nyumbani kwako.
Umesomeka vyema chief
 
Mkuu, inaonyesha UNAMUOGOPA MKEO, kitu ambacho ni sahihi. Accept it or Not.

Jingine pia inaonekana umeoa COOPERATE WOMAN, Yaani Mke mfanyakazi, hivyo ndio maana UNAMUOGOPA.

USHAURI: Kwenye Ulimwengu wa Mapenzi, ukiona Mwanaume unahofia kumkwaza Mke wako, basi ni ishara kuwa ameshakupanda kichwani, kwasababu maamuzi mengi ya KIUME huwa hayawafurahishi wanawake, na mara zote ndio maamuzi sahihi.

Fanya maamuzi wa kuweka sheria katika nyumba yako na hakikisha umeyasimamia. Swala la kumkwaza au kuto-mkwaza hilo muachie yeye. Wewe weka sheria na zisimamie FULLSTOP.

Be a Man, mwanaume hupaswi kukosa Uhuru nyumbani kwako.
Nimeipenda hii

Na asishangae behind the scene mke analalamika yan mume wangu hata nikifanya jambo gani yan hasemi kabisa?
 
Japo umedeclare kwamba huna uchoyo ila una dalili za uchoyo. Hiyo bajeti unayompa kila mwezi alikwambia haitoshi? Mbona inaonekana kama anaweza kumanage. Ukishaanza kumpangia wife kuhusu ndugu zake nakuhakikishia ndugu zako watapata tabu sana hapo kwako. Hayo mambo madogo sana hebu achana nayo. Mwenyezi Mungu anatokuongezeeni riziki kwa kuwakirimu wageni
 
Back
Top Bottom