Ndugu wa mke kuja nyumbani kwangu bila mimi kujulishwa imekaa kitaalamu kweli hii kitu?

Ndugu wa mke kuja nyumbani kwangu bila mimi kujulishwa imekaa kitaalamu kweli hii kitu?

Nmetoka kuwaaga shemej zangu wawili na Mtoto mmoja wote wamerud mkoani asbuh ya kuamkia Jana.

Nilitaarifiwa na wife pamoja na ma mkwe kua Kuna shemeji yangu watakuja k'koo kufunga mzigo so watafikia kwangu, nikasema OKEY

Siku ya siku,
Nashangaa nampokea shemej yangu akiwa na mwanae (1yr) pamoja na mdg wake wa kike (20yrs), wakiwa binamu Yao WA kiume (17yr).

Wamekaa home almost wiki,sioni dalili yyt ya kwenda kufunga mzg k'koo Wala nini, nikaambiwa shemej anasubir atumiwe Ela na mumewe.

Nikahoji hao wengn vipi, nikaambiwa uyo WA kike kamsindkza dada ake kufunga mzgo, na uyo WA kiume kaja kuangalia vyuo vya kusoma mana matokeo yake ya form4 hayakua mazuri. Nikapiga Kimya.

Wamekaa almost mwezi na wiki 1, wife kaja kumuombea dada ake nauli anaomba arud mkoani, nikahoji mtu kaja kibiashara afu naul nimlipie Mimi
iyo vipi, akasema wamegombana na mmewe kaghairi kumpa nauli. Nikaona sio kesi, nikampa nauli akakate ticket aende.

Yule mdg wake nae kanifata anaomba nauli aende na dada ake. Nikamwambia mbona ghafla Sana, sikua na bajet iyo, Endelea kukaa nikipata nauli utarud mkoani. Kasema sawa.

Kesho yake Nashangaa shemej na mdg wake wote wamefungasha, nikaulza vp wee mdg SI unabaki, akasema "mama kantumia nauli,so na Mimi narud mkoani". Nikamtakia KILA la heri.

Yule binamu wa kiume, nafikiria wiki ijayo nimpe TU nauli nae arud mkoani maana sioni Cha maana kilichomleta mjini,maana ata vyuo alivyosema kaja kuangalia hajishughulishi navyo zaidi ya ubishi WA Simba na yanga.

Yote Kwa yote,
Wageni Ni baraka, Home Palichangamka Sana, Ila Wageni waje Kwa utaratibu na Kwa Sababu maalum.
fact aiseee uo ndo uwanaume hongera babu kwa kua ALPHAMAN
sasa wewe ndo kchwa cha familia yan huyu mwenye hoja anapashwa kujfunza kwako
suala n bajet na ustaarabu mengne n ziada na akubaliane na mazngira ya nyumba huska
 
Mkuu taarifa ni muhimu asee
Ipo siku atakuja augue kwako na wewe huna taarifa.

Mwambie wife kuwa hii tabia nimeivumilia Sasa iwe mwisho akija mgeni lazima atoe taarifa mapema.

Pia wewe kwenda kwako bila kutoa taarifa sio lazima Hilo hapo ni kwako utoe taarifa ama uitoe yte heri
 
anaanzaje na anamuogopa mke wake huyo
kiufup ukwel unauma na kama mwanaume asimamie uwanaume wake kiufup kama yeye ndo anatafuta.hapasw kupleaseplease kzembe yan maana yangu n kwamba amfungukie ukwel no.matter what hali ngumu sanaa mafuta hayachanganyikan na maji yan kwaio aamue kua mwanaume thabit kchwa cha familia thabit au alearn from hardway
Nimempa lugha ya kuongea Kwa namna hiyo, maanajamaa kweli anaonekana ni muoga Kwa mkewe na mkewe kagundua hivyo anatumia udhaifi wa jamaa. Hao wageni lazima wanatoka na mtaji wa kutosha hapo.
 
Nimempa lugha ya kuongea Kwa namna hiyo, maanajamaa kweli anaonekana ni muoga Kwa mkewe na mkewe kagundua hivyo anatumia udhaifi wa jamaa. Hao wageni lazima wanatoka na mtaji wa kutosha hapo.
kwel.kaka
alaf kuna changamoto za.kbinaadam kama kuumwa na kazalika sasa unapokua huna taaarfa aiseeeee liktokea la kutokea utakosa pakuanzia so its better mkewe abadlishe huo mfumo hata kama anamueza mumewe lakn respect muim
pia naona jamaaa hakaag na mchuksi wake ndo mana daaaaah shame upon him
 
Habari zenu watu wa mapenzi.
Iko hivi,kwanza naomba kudiclea interest mimi sio mchoyo wala sina chembe za uchoyo kama ambavyo wengi wenu mngeweza kudhani.
Naishi mkoa tofauti na ambao familia yangu inaishi,so tarehe za mwisho wa mwezi kama hizi huwa natoroka kuja kuwasalimia siku kadhaa then narudi kituo changu cha kazi.
So ktk ujaji wangu home me huwa sitoi taarifa kwa yeyote huwa nawashtukiza tu ghafla ghafla..
Kama mara tano hivi kila nikija home nakuta ndugu za wife tofauti tofauti wapo home hapa,me sikua naona shida sana as me hawanibani kwa lolote,last month nilikuja nikamkuta mdogo wa wife na mwanae wako hapo home na toka nifike mpaka wanaondoka tulikaa nao karibu siku 8 sikutaka kuuliza wamekuja lini.
So jana tena nimekuja kimya kimya home nimemkuta ndugu mwingine wa kike wa wife wamefunga chuo yupo home hapa sijahoji lolote.
So leo nikiwa ndani na laptop yangu namalizia vimeo vyangu vya job mara ghafla nasikia geti linagongwa kaingia wifi wa wife yani mke wa kaka yake na mwanae na ninavyoona hawa sio wa kuondoka leo coz naona mpaka wana kibegi wamebeba.
Sitaki kumuuliza wife hizi mambo za ndugu zake kuja hapa as anajua me sio mtu wa kujali sana mambo hayo ila sasa kama baba wa familia nashangaa kwa nini sihusishwi kwenye ujaji wa hawa wageni as mnavyojua sahivi hali ya maisha imekua ngumu kidogo na watu tunapambania tu familia zetu ziende chooni, sasa huu ugeni mwingine ambao mimi nakua sina taarifa nao naona ka unaenda kinyume na bajeti zangu za mwezi.
Mimi binafsi ndugu zangu huwa wanatoa taarifa siku 3 nyuma kabla hawajaja kwangu hivyo tunajiandaa mapema.
So wakuu hii kitu imekaa kitaalamu kweli na nitumie mbinu gani kufikisha ujumbe kwa wife bila kumkwaza?

Bora wageni ni wa kike ,wangekuwa wa kiume wengine wanasema huyu nio Brother wangu au Mjomba kumbe ni Mambo ya Bizman - Ametoroshwa.
 
Ongeza bustani nyuma ya nyumba na punguza vitu Kwa friji . Kuja waje tu ila lazima taarifa upewe hiyo inakuwa inaonyesha mipaka ya mambo ndani ya nyumba mm huwa nataarifiwa mwezi kabla maana nikitoa bajeti ya mwezi hiyo imetoka hivyo wakiover spend hiyo ni juu yao . Lazima boundaries zieshimiwe only pirates ndo uwa hawaeshimu boundaries
 
Habari zenu watu wa mapenzi.
Iko hivi,kwanza naomba kudiclea interest mimi sio mchoyo wala sina chembe za uchoyo kama ambavyo wengi wenu mngeweza kudhani.
Naishi mkoa tofauti na ambao familia yangu inaishi,so tarehe za mwisho wa mwezi kama hizi huwa natoroka kuja kuwasalimia siku kadhaa then narudi kituo changu cha kazi.
So ktk ujaji wangu home me huwa sitoi taarifa kwa yeyote huwa nawashtukiza tu ghafla ghafla..
Kama mara tano hivi kila nikija home nakuta ndugu za wife tofauti tofauti wapo home hapa,me sikua naona shida sana as me hawanibani kwa lolote,last month nilikuja nikamkuta mdogo wa wife na mwanae wako hapo home na toka nifike mpaka wanaondoka tulikaa nao karibu siku 8 sikutaka kuuliza wamekuja lini.
So jana tena nimekuja kimya kimya home nimemkuta ndugu mwingine wa kike wa wife wamefunga chuo yupo home hapa sijahoji lolote.
So leo nikiwa ndani na laptop yangu namalizia vimeo vyangu vya job mara ghafla nasikia geti linagongwa kaingia wifi wa wife yani mke wa kaka yake na mwanae na ninavyoona hawa sio wa kuondoka leo coz naona mpaka wana kibegi wamebeba.
Sitaki kumuuliza wife hizi mambo za ndugu zake kuja hapa as anajua me sio mtu wa kujali sana mambo hayo ila sasa kama baba wa familia nashangaa kwa nini sihusishwi kwenye ujaji wa hawa wageni as mnavyojua sahivi hali ya maisha imekua ngumu kidogo na watu tunapambania tu familia zetu ziende chooni, sasa huu ugeni mwingine ambao mimi nakua sina taarifa nao naona ka unaenda kinyume na bajeti zangu za mwezi.
Mimi binafsi ndugu zangu huwa wanatoa taarifa siku 3 nyuma kabla hawajaja kwangu hivyo tunajiandaa mapema.
So wakuu hii kitu imekaa kitaalamu kweli na nitumie mbinu gani kufikisha ujumbe kwa wife bila kumkwaza?
💥💥💥TATIZO HILI HAPA💥💥💥

1. Wewe ni mume dhaifu
2. Mkeo anakujua kuwa u dhaifu
3. Baba na mume anayejielewa huhakikisha mke na watoto wanajua misimamo yake.
4. Mkeo ni kilaza, alitakiwa akutaarifu mapema
5. Mkeo anatakiwa awadhibiti nduguze huu sio upendo ni uzuzu
6. Umeo mnyamwezi? Mrangi?
Mnyiramba?
Mrombo?
Moja ya makabila yanapenda kufuatana kama kondoo.

Sipendagi ujinga huu
 
Nina Rafiki yangu Bwana yule Ndugu wa Mke wakija kwake anapita nao wakija wa kiume anamfanyia vituko hadi anasepa mwenyewe..... Anasema NDUGU AKIJA AJE NA KUSEPA SIO KUWEKA HANDBREAK Hii story imenikumbusha Bwana yule🤠🤠🤠
Elezea kidogo kuhusu hao wakike anawatomba sio?
 
Back
Top Bottom