Fya-fyafya
Member
- May 2, 2019
- 43
- 125
😎 Hajasema ni yeye. Ameuliza tu.Kwa mwandiko huu Nan akupe 3.25m?
Huu sasa wivuKwa mwandiko huu Nan akupe 3.25m?
Acha Ujuaji Kijana Ok?Kwa mwandiko huu Nan akupe 3.25m?
Subiri ukishalipwa utaangalia bank umeingiziwa sh ngapi.Habari ndugu.
Najikita moja kwa moja kwenye swali, Mshahara wa 3.25M Take home ni Shilingi ngapi including HELBS (board)?
Yupo right ni HESLB..if incase ulidhani yupo wrongHELBS
Hacha wivu wewe kuna professionals mwandiko hauna marks km maDokta na Wahandisi.Kwa mwandiko huu Nan akupe 3.25m?
Inaitwa HESLB...yeye kaandikaje? Check spellingYupo right ni HESLB..if incase ulidhani yupo wrong
Members wengi hapa JF taaluma zao ni walimu .Inaitwa HESLB...yeye kaandikaje? Check spelling
TaalumaMembers wengi hapa JF taaruma zao ni walimu .
Ndio maana nikasema wengi humu ni walimu , professional nyingine kuchapia spelling ni kawaida sana na professor aangalii huo ujinga anachoangalia ile concept ambayo ulikusudia kuifikisha.Taaluma
UongoNdio maana nikasema wengi humu ni walimu , professional nyingine kuchapia spelling ni kawaida sana na professor aangalii huo ujinga anachoangalia ile concept ambayo ulikusudia kuifikisha.
Harafu ukibase sana kwny matumizi ya English unajikuta unasahau kuandika maneno ya kiswahili fasaha.
Uongo upi?wengi ni ngwini.Uongo
Ngwini ni nini?Uongo upi?wengi ni ngwini.
Kwa mwandiko huu Nan akupe 3.25m?
Waulize vijana wa UDSM pale jalalani watakujibu maana ya Ngwini!Ngwini ni nini?