Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,677
Mhh. yaani hiyo gross ya 3.5 Million ndo umeona ni hela kwamba mtu hawezi pata?Kwa mwandiko huu Nan akupe 3.25m?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mhh. yaani hiyo gross ya 3.5 Million ndo umeona ni hela kwamba mtu hawezi pata?Kwa mwandiko huu Nan akupe 3.25m?
Hacha wivu na ww !
3.25M ni mshahara wa mtu kweli,ss anaishije mbona ni ka hela ka chai tu ukitoa makato.
Waajiri wengine hawana huruma unakuta huyu jamaa ni daktari kwa mshahara huo inamaana hata budget ya bia haijazingatiwa ndio tatizo la kuwa na boss mlokole. 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Acha ✔Hacha wivu na ww !
My God....3.25M ni mshahara wa mtu kweli,ss anaishije mbona ni ka hela ka chai tu ukitoa makato.
Waajiri wengine hawana huruma unakuta huyu jamaa ni daktari kwa mshahara huo inamaana hata budget ya bia haijazingatiwa ndio tatizo la kuwa na boss mlokole. 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Asante taratibu nitajua kiswahili,ndio tatizo la kusoma nje ya nchi toka chekechea .
Kwa huo msharaha na kama unakatwa bima ya afya, slip yako itakuwa kama ifuatavyoHabari ndugu.
Najikita moja kwa moja kwenye swali, Mshahara wa 3.25M Take home ni Shilingi ngapi including HELBS (board)?
Including nduguIncluding OR excluding HESLB?
NamshangaaMy God....
Subiri ukishalipwa utaangalia bank umeingiziwa sh ngapi.
Ndugu, hukupaswa kujibu namna hiyo hata kidogo. Kama unadhani natania nimepata kazi kwenye reputatory INSTITUTION iliyoko mkoa wa Dar es salaam. Kama ni wivu basi endelea kuwa nao. Tena nakushangaa unanionea wivu mimi mtu usiyenijua. 😝3.25M ni mshahara wa mtu kweli,ss anaishije mbona ni ka hela ka chai tu ukitoa makato.
Waajiri wengine hawana huruma unakuta huyu jamaa ni daktari kwa mshahara huo inamaana hata budget ya bia haijazingatiwa ndio tatizo la kuwa na boss mlokole. 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Halafu wewe....
Mzee udalali unalipa kiasi hicho eeh[emoji1]3.25M ni mshahara wa mtu kweli,ss anaishije mbona ni ka hela ka chai tu ukitoa makato.
Waajiri wengine hawana huruma unakuta huyu jamaa ni daktari kwa mshahara huo inamaana hata budget ya bia haijazingatiwa ndio tatizo la kuwa na boss mlokole. [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Baada ya hapo unaanza mlolongo mwingine wa kodi ya nyumba, umeme, maji, ada ya shule (mtoto/watoto), fungu la kumi, michango (misiba, harusi, vicoba), mtonyo kwa wazazi, kilaji kama ni mtu wa gambe...Kwa huo msharaha na kama unakatwa bima ya afya, slip yako itakuwa kama ifuatavyo
Basic salary 3,250,000 - Pension 325,000 - NHIF 97,500 - HELSB 487,500 - PAYE 759,600 = Take home TZS 1,580,400
Unaweza tembelea www.vabusiness.co.tz kwa ufafanuzi zaidi
Gross....so anauliza after all deduction take home itabaki ngapitake home au gross?
Take home inakatwaje tena!
Asikudanganye mtu, siasa peke yake ndio inayolipa.3.25M ikikatwa si sawa na Milioni moja na point kwa nn ss isiwe hela ya chai hiyo?