take home itakuwa 2.11mHabari ndugu,
Najikita moja kwa moja kwenye swali, Mshahara wa 3.25M Take home ni Shilingi ngapi including HESLB (board)?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
take home itakuwa 2.11mHabari ndugu,
Najikita moja kwa moja kwenye swali, Mshahara wa 3.25M Take home ni Shilingi ngapi including HESLB (board)?
Ila kwa Serikalini (3.25M) ni mshahara wa Principal OfficerMhh. yaani hiyo gross ya 3.5 Million ndo umeona ni hela kwamba mtu hawezi pata?
Baada ya makato yote pamoja na bima ya afya
Ndugu, hukupaswa kujibu namna hiyo hata kidogo. Kama unadhani natania nimepata kazi pale Haven Peace Academy ( HOPAC) mkoa wa Dar es salaam maeneo ya Tegeta ( Mbuyuni) Kama ni wivu basi endelea kuwa nao. Tena nakushangaa unanionea wivu mimi mtu usiyenijua. [emoji13]
Cha muhimu ni kuwa ipo, hayo mengine achana nayoMbona hiyo shule haipo Tegeta?? Ipo mbuyuni njia panda ya kwenda kunduchi na tegeta!
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha upumbavu
Seems unaingiza mamilioni ya hela kwa mwezi, hongera mkuuAsikudanganye mtu, siasa peke yake ndio inayolipa.3.25M ikikatwa si sawa na Milioni moja na point kwa nn ss isiwe hela ya chai hiyo?
Mjini watu hawaishi kwa shughuli moja boss,ukiwa na vitega uchumi vitatu kuna hela unaziona za Mboga ongea na mama Tibaijuka atakwambia.
Ko wewe ndo uko level za mama tibaijuka hadi unasema hizo hela za mboga? Anyway tuendelee kuishiMjini watu hawaishi kwa shughuli moja boss,ukiwa na vitega uchumi vitatu kuna hela unaziona za Mboga ongea na mama Tibaijuka atakwambia.
Mpendwa anazingua huyu jamaa dalali wa simu afu analeta michongo siyo [emoji23][emoji23], u good?Mpendwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haha naona alikuwa anajaribu kuchangamsha jukwaa.......Mpendwa anazingua huyu jamaa dalali wa simu afu analeta michongo siyo [emoji23][emoji23], u good?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe Control vidole hivyoUmri wako utakuwa kati ya 20-25 ,huo umri ni ambao kijana anajikuta anawashwa washwa tu,akili haitulii anatamani mpapaso tu.
Unadhani JF kuna watoto tu,unatukana tukana nyuma ya keyboard siku tukikutana unakuta mm ndio yule ninaye share na mama yako shuka moja sijuhi utafanyaje?
Kama ulikuwa mnufaika wa mkopo toka HELSB, uzuri wa mshahara mkubwa ni kwamba unaumaliza chapu chapu mkopo huo as long as unakatwa Big amount.Baada ya hapo unaanza mlolongo mwingine wa kodi ya nyumba, umeme, maji, ada ya shule (mtoto/watoto), fungu la kumi, michango (misiba, harusi, vicoba), mtonyo kwa wazazi, kilaji kama ni mtu wa gambe...
Halafu bado utaombwa na za kutolea...Damn!!!
Kwa mshahara huo PAYE peke yake ni almost 750,000/- sasa toa hizo % nyingineBaada ya makato yote pamoja na bima ya afya
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji41] Hajasema ni yeye. Ameuliza tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Taaluma
Sasa kwanini hukujibu mwanzo ukaanzia kupuliza mabangi yako 😂😂😂Kwa watumishi wa serikali wana contribute 5% na mwajiri ana contribute 15% kufikia 20% kwa mfuko wa hifadhi ya jamii ,wakati sisi sekta binafsi tunachangia 10% muajiri anaweka 10% kama kawaida.
Payee unaweza ipata kwa kucalculate kiasi unachochangia kwenye mfuko wa hifadhi ya jamii.
Let say upo mfuko X ambao unachagia 10% kwnye hifadhi ya mfuko wa jamii,therefore utachangia Tsh 325,000/= kutoka kwenye mshahara wako wa 3.25M.
If you want to know the payee by referring TRA calculator then utachukua ( Salary
-325,000/=) you get 2,925,000/= then plug this figure to tra calculator to get payee as 756,900/=
Alternatively
Payee=98,100+30%(Payable Tax-720,000).Meza hiyo.
=98,100+0.3(2925000-720,000)
Therefore payee is 756,900/=
=3,250,000-756,900
Salary is 2,493,100/= before further deduction to
NHIF=6%
Loan Board=15%
Others